Urithi wa Dunia : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: mn:Дэлхийн өв
No edit summary
Mstari 1:
'''Urithi wa Dunia''' ni maeneo yenye thamani kubwa ya kiutamaduni au kimazingira duniani yanayoangaliwa na shirika la [[UNESCO]]. Orodha rasmi la UNESCO lina mahali pa urithi wa dunia wa kiutamaduni na mahali pa urithi wa dunia wa kimazingira.
 
Mwanzo wa mwaka 20062009 sehemu 827878 katika nchi 137145 zimekubaliwa. Nchi inayoongoza kwa wingi wa mahali ni [[Italia]] yenye 43.
 
Orodha rasmi ya UNESCO ina mahali 679 pa urithi wa dunia wa kiutamaduni na mahali 174 pa urithi wa dunia wa kimazingira, mbali ya 25 pa mseto.
Mwanzo wa jitihada za kuanzisha hifadhi la urithi wa dunia ulikuwa ujenzi wa bwawa la [[Assuan]] lililoelekea kuzamisha majengo mbalimbali ya utamaduni wa [[Misri]] na [[Nubia]] wa kale chini ya maji. Wakati ule UNESCO ilifaulu kukusanya pesa ili hekalu ya [[Abu Simbel]] iliweza kuhamishwa mlimani kabla ya kujaa kwa bwawa.
 
Mwanzo wa jitihada za kuanzisha hifadhi lakuhifadhi urithi wa dunia ulikuwa ujenzi wa bwawa la [[Assuan]] lililoelekea kuzamisha majengo mbalimbali ya utamaduni wa [[Misri]] na [[Nubia]] wa kale chini ya maji. Wakati ule UNESCO ilifaulu kukusanya pesa ili hekalu yala [[Abu Simbel]] iliwezaliweze kuhamishwa mlimani kabla ya kujaa kwa bwawa.
Tangu 1972 kuna mkataba wa kimataifa wa [[Stockholm]] kuhusu hifadhi la urithi wa dunia kiutamaduni na kimazingira. Kila mahali panapopendekezwa ili pakubaliwe panahitaji angalau sifa moja kati ya sita zifuatazo:
 
Tangu 1972 kuna mkataba wa kimataifa wa [[Stockholm]] kuhusu hifadhi laya urithi wa dunia kiutamaduni na kimazingira. Kila mahali panapopendekezwa ili pakubaliwe panahitaji angalau sifa moja kati ya sita zifuatazo:
* kuwa na thamani ya pekee ya kisanii
* kuwa na athira muhimu katika eneo fulani au kipindi cha historia
Line 15 ⟶ 17:
 
== Viungo vya nje ==
* {{en}}[http://whc.unesco.org/ Tovuti rasmi kwa Kiingereza]
{{Link FA|sv}}