Kenya Airways : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ru:Kenya Airways
d roboti Nyongeza: es:Kenya Airways; cosmetic changes
Mstari 1:
'''Kenya Airways''' ni [[kampuni]] ya [[ndege (uanahewa)|ndege]] ya [[taifa]] ya [[Kenya]] yenye makao makuu jijini [[Nairobi]]. Kampuni hii ilianza kufanya kazi zake mwaka 1977 baada ya kuvunjika kwa [[Jumuiya ya Afrika Mashariki]] kulikopelekea kuvunjika kwa [["East African Airways"]]. Hivi sasa kampuni hii inatoa huduma barani [[Afrika]], [[Ulaya]] na [[India]]. Kampuni hii ina safari nyingi za ndege nje ya Afrika kuliko kampuni yoyote barani Afrika. Kampuni hii ilikuwa ikimilikiwa asilimia 100 na serikali ya Kenya mpaka mwaka 1996.
 
[[CategoryJamii:Usafiri Kenya]]
 
[[bs:Kenya Airways]]
[[de:Kenya Airways]]
[[en:Kenya Airways]]
[[es:Kenya Airways]]
[[fi:Kenya Airways]]
[[fr:Kenya Airways]]