Kiyunani : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ru:Койне |
d +def |
||
Mstari 3:
Neno la kale limetokana na lugha ya Kiarabu اليونان likatumikiwa hasa katika matoleo mbalimbali ya Biblia. Miaka ya nyuma neno la "Kigiriki" likasambaa zaidi, kutokana na athira ya Kiingereza kinachotumia "Greek" kutokana na tamko ya Kilatini "Graeci" ambayo ni kawaida katika lugha nyingi za Kiulaya. Wanaotajwa wenyewe hujiita "Helleni", lugha yao "Helleniki".
{{DEFAULTSORT:Yunani}}
[[Category:Lugha za Kihindi-Kiulaya]]
|