John Locke : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: war:John Locke
mbegu-mwandishi
Mstari 1:
'''John Locke''' ([[29 Agosti]], [[1632]] – [[28 Oktoba]], [[1704]]) alikuwa mwanafalsafa [[Uingereza|Mwingereza]] aliyetoa nadharia ya "Mkataba Jamii": mkataba huu unahusisha watawala na watawaliwa ambapo watawaliwa huwapa watawala madaraka ya kuongoza kwa kufuata matakwa ya watawaliwa. Nadharia hii ilisaidia kwa kiwango kikubwa kujengwa kwa taifa la Marekani kutoka katika utawala wa Kifalme uliokuwa chini ya Uingereza.
 
{{mbegu-mwandishi}}
 
{{DEFAULTSORT:Locke, John}}