Go-Mizunoo : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
mbegu-Kaizari-Japani
Mstari 1:
'''Go-Mizunoo''' ([[29 Juni]], [[1596]] – [[11 Septemba]], [[1680]]) alikuwa mfalme mkuu wa 108 (''[[Tenno]]'') wa [[Japani]]. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa ''Masahito''. Mwaka wa [[1611]] alimfuata [[Go-Yozei]], na kuwa mfalme hadi kujiuzulu tarehe [[22 Desemba]], [[1629]]. Aliyemfuata ni binti wake, [[Meisho]].
 
{{mbegu-Kaizari-Japani}}
 
{{DEFAULTSORT:Go-Mizunoo}}