Go-Mizunoo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: uk:Імператор Ґо-Мідзуноо |
mbegu-Kaizari-Japani |
||
Mstari 1:
'''Go-Mizunoo''' ([[29 Juni]], [[1596]] – [[11 Septemba]], [[1680]]) alikuwa mfalme mkuu wa 108 (''[[Tenno]]'') wa [[Japani]]. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa ''Masahito''. Mwaka wa [[1611]] alimfuata [[Go-Yozei]], na kuwa mfalme hadi kujiuzulu tarehe [[22 Desemba]], [[1629]]. Aliyemfuata ni binti wake, [[Meisho]].
{{mbegu-Kaizari-Japani}}
{{DEFAULTSORT:Go-Mizunoo}}
|