Meles Zenawi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: it:Meles Zenawi
d roboti Nyongeza: ms:Meles Zenawi; cosmetic changes
Mstari 1:
[[ImagePicha:Meles Zenawi.jpg|thumb|Meles Zenawi]]
 
'''Meles Zenawi''' (*[[9 Mei]] [[1955]] mjini [[Adowa]], jimbo la [[Tigray]]) ni waziri mkuu wa [[Ethiopia]] tangu [[22 Agosti]] [[1995]]. Alitangulia kuwa rais wa nchi kati ya [[28 Mei]] [[1991]] na [[22 Agosti]] [[1995]].
 
== Historia yake ==
Zenawi alikuwa mwanafunzi wa [[tiba]] kwenye [[chuo kikuu]] cha [[Addis Ababa]] wakati wa [[mapinduzi ya Ethiopia ya 1974|mapinduzi ya kikomunisti ya Ethiopia]] ya mwaka [[1974]]. 1975 aliacha masomo akarudi kwake Tigray akajiunga na [[Harakati ya Ukombozi wa Tigray TPLF]] iliyopinga serikali mpya. Tangu 1985 aliongoza TPLF.
1989 alikuwa mwenyekiti wa ushirikiano wa TPLF na vikundi vingine vya upinzani kutoka sehemu mbalimbali za Ethiopia.
 
Baada ya kupinduliwa kwa serikali ya kikomunisti ya [[Mengistu]] katika Mei 1991 Zenawi aliteuliwa kuwa Rais.
 
1995 katiba ilibadilishwa. Cheo cha [[Waziri Mkuu]] kilikuwa cheo chenye uzito kuliko [[rais]] na Zenawi alihamia katika ofisi ya waziri mkuu.
 
== Elimu na maisha ya binafsi ==
Meles Zenawi ameshika shahada ya MA ya utawala wa biashara kutoka Uingereza na MSc ya uchumi kutoka Uholanzi.
 
Mstari 17:
 
{{DEFAULTSORT:Zenawi, Meles}}
 
[[CategoryJamii:Waliozaliwa 1955]]
[[Category:Wanasiasa wa Ethiopia]]
[[CategoryJamii:MaraisWanasiasa wa Ethiopia]]
[[CategoryJamii:Waziri WakuuMarais wa Ethiopia]]
[[CategoryJamii:WanasiasaWaziri Wakuu wa Ethiopia]]
 
[[am:መለስ ዜናዊ]]
Line 41 ⟶ 42:
[[ja:メレス・ゼナウィ]]
[[ko:멜레스 제나위]]
[[ms:Meles Zenawi]]
[[nl:Meles Zenawi]]
[[no:Meles Zenawi]]