Abuja : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ml:അബുജ |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: sl:Abuja; cosmetic changes |
||
Mstari 1:
[[
'''Abuja''' ni [[mji mkuu]] wa [[Nigeria]]. Idadi ya wakazi wake imekadiriwa kuwa watu 178,462 [http://www.world-gazetteer.com/wg.php?x=&men=gcis&lng=en&dat=32&geo=-158&srt=npan&col=aohdq&pt=c&va=x]. Mwaka wa 1976, serikali ya Nigeria iliamua kuanzisha mji mkuu mpya badala ya [[Lagos]]. Wakachagua katikati ya nchi, na mipango ya ujenzi ikaundwa chini ya makampuni matatu ya Marekani: PRC Corporation; Wallace, McHarg, Roberts na Todd; na Archisystems. Mipango hiyo ikabadilishwa baadaye na [[Kenzo Tange]], msanifu majengo maarufu wa [[Japani]]. Abuja ikatangazwa rasmi kuwa mji mkuu wa Nigeria tarehe 12 Desemba 1991. Iko mahali pa 9, 10, Kaskazini na 7, 10, Mashariki. [http://earth-info.nga.mil/gns/html/cntry_files.html]
Mstari 5:
Balozi za nchi nyingi zikahamishwa Abuja kutoka Lagos.
== Historia ==
Sifa muhimu ya Abuja ni [[Mlima wa Aso]] ambao ni mwamba ulio na urefu wa mita 400. Upande wa kusini wa mlima huo, kuna [[Ikulu]] ya [[Rais]], [[Bunge]] la Nigeria, [[Mahakama Kuu]] na sehemu nyingi za mji.
Majengo maarufu mengine ni Msikiti wa Taifa (''Nigerian National Mosque'') na Kanisa Kuu la Madhehebu (''National Ecumenical Centre Cathedral'').
Mji wa Abuja unagombea kuwa mahali pa [[Michezo ya Jumuiya ya Madola]] kwa mwaka wa 2014 (''2014 Commonwealth Games'').
== Marejeo ya nje ==
* [http://www.fct.gov.ng/ Official site of Nigeria's Federal Capital Territory (FCT) and City of Abuja]
* [http://omcea.be/195304,abuja,nigeria,capitol/ Makala ya WorldPress inayohusu mabadiliko kwenye Abuja]
Mstari 18:
* [http://www.proav.de/photopages/abuja// Picha za Abuja]
[[
[[
[[
[[af:Abuja]]
Mstari 85:
[[simple:Abuja]]
[[sk:Abuja]]
[[sl:Abuja]]
[[sr:Абуџа]]
[[sv:Abuja]]
|