Bahari ya Chumvi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: br:Mor Marv |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: za:Sijhaij; cosmetic changes |
||
Mstari 1:
[[
'''Bahari ya Chumvi''' ([[Kiebrania]]: יָם הַמֶּלַח ''yam ha-melaḥ'' "bahari ya chumvi"; [[Kar.]]:''' ألبَحْر ألمَيّت''' ''al-bahrᵘ l-mayyit'', "bahari ya mauti") ni ziwa lililoko kati ya [[Israel]], [[Palestina]] na [[Yordani]]. Eneo lake ni takriban 600 km². Mwambao wa ziwa ni mahali pa chini kabisa kwenye nchi kavu ya dunia uko mita 400 chini ya [[uwiano wa bahari]].
Ziwa liko ndani ya bonde la [[mto Yordani]] ambalo ni sehemu ya [[Bonde la Ufa la Afrika ya Mashariki]].
Kiasi kikubwa cha chumvi kimesababisha [[densiti]] ya maji yake kuwa juu; hivyo mwanadamu [[ueleaji|huelea]] katika maji haya tu bila jitihada yoyote. Watalii hupenda kufika hapa wakiogelea na kujipakia matope ya ziwa yanayosemekana kuwa nia tabia za kuponya magonjwa ya ngozi.
Mstari 11:
Kwa jumla kiasi cha maji ziwani kimerudi nyuma kwa sababu mto Yordani ambayo ni mto wa pekee unaoingia humo umehamishwa kwa shughuli za umwagiliaji.
[[
[[
[[an:Mar Muerta]]
Mstari 88:
[[wuu:死海]]
[[yi:ים המלח]]
[[za:Sijhaij]]
[[zh:死海]]
[[zh-min-nan:Sí-hái]]
|