Edinburgh : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
mbegu-jio-Ulaya |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: lmo:Edimbùrgh; cosmetic changes |
||
Mstari 1:
[[
[[
'''Edinburgh''' ([[Kigaeli]]: ''Dùn Èideann'') ni [[mji mkuu]] pia mji mkubwa wa pili wa [[Uskoti]] mwenye wakazi 435,790 (2005). Mji uko kwenye pwani la
[[Boma la Edinburgh]] liko katikati ya mji kwenye kilima kikali.
Mstari 8:
Edinburgh imejulikana kote Ulaya kwa sababu ya sherehe yake ya maigizo inayofanyika kila mwaka na washiriki maelfu.
== Historia ==
Boma lilianzishwa kabla ya [[karne ya 7]] BK. Mji ulianza kukua kando la boma. Mwaka 1437 umekuwa mji mkuu wa Uskoti badala ya [[Perth]]. Ilikuwa pia mahali pa kukutana kwa bunge la Uskoti liliopata jengo lake la pekee mwaka 1639. Baada ya maungano ya [[Uingereza]] na Uskoti mwaka 1707 hapakuwa tena na serikali au bunge la pekee hadi [[1999]] mwaka wa kurudishwa bunge na serikaliya kijimbo kwa Uskoti. Edinburgh imekuwa tena mji mkuu wa angalau wa jimbo linalojitawala katika mambo ya ndani.
== Picha za Edinburgh ==
<gallery>
Image:Arthurs Seat Edinburgh.jpg|Kilima cha "Kiti cha Arthur" (kwa Kiingereza "''Arthur's Seat''") kinavyoonekana kutoka "Kilima cha Blackford" ("''Blackford Hill''")
Mstari 21:
{{commons|Edinburgh}}
{{mbegu-jio-Ulaya}}
[[
[[
[[
[[
[[af:Edinburg]]
Mstari 75:
[[la:Edimburgum]]
[[lb:Edinburgh]]
[[lmo:Edimbùrgh]]
[[lt:Edinburgas]]
[[lv:Edinburga]]
|