Quito : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Badiliko: ro:Quito
..
Mstari 1:
[[Image:Quito_ChurchSanFranciscoQuito ChurchSanFrancisco.JPG|200px|thumb|Kanisa la Quito]]
[[Image:Pichincha desde Itchimbia.jpg|thumb|200px|Quito]]
 
'''Quito''' ''(tamka: "kito" - Kihisp. "San Francisco de Quito")'' ni [[mji mkuu]] wa [[Ekuador]]. Mwaka [[2005]] ilikuwa na wakazi 1,865,541. Quito ni mji mkubwa wa pili nchini baada ya [[Guayaquil]].
 
Mji uko 20  km kusini ya mstari wa [[ikweta]] katika bonde la milima ya [[Andes]] kwenye kimo cha 2850 [[m]] juu ya [[UB]].
 
Kuna kiwanja cha ndega na chuo kikuu pamoja na viwanda.
Mstari 15:
Mwaka 1809 wakati wa ghasia katika sehemu mbalimbali za [[Amerika Kusini]] dhidi ya serikali ya mfalme mpya wa Hispania [[Joseph Bonaparte]] (mdogo wake [[Napoleon Bonaparte]]) kamati ya raia katika Quito ilitangaza uhuru wa eneo lake kutoka Hispania. Utawala wa Hispania ulirudishwa kwa mabavu hadi 1822 wakati Hispania ilishindwa na mapinduzi ya [[Simon Bolivar]] na kuundwa kwa jamhuri ya [[Gran Colombia]]. Baada ya mwisho wa jamhuri hii sehemu zake ziliachana Quito ikawa mji mkuu wa nchi mpya ya Ekuador.
 
[[CategoryJamii:Miji ya Ekuador]]
[[CategoryJamii:Miji Mikuu Amerika]]
[[CategoryJamii:Quito| ]]
 
[[af:Quito]]