Yordani (mto) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: arc:ܢܗܪܐ ܕܝܘܪܕܢܢ |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: ga:Abhainn na hIordáine; cosmetic changes |
||
Mstari 18:
'''Yordani'''
Chanzo cha Yordani ni mito minne inayoanza karibu na [[mlima Hermoni]] mpakani wa Israel, [[Lebanon]] na [[Syria]].
Mito ya chanzo inaungana katika Israel ya kaskazini. Yordani hupita [[Galilea]] na kutelemka kwa kunyoka mara nyingi hadi [[Bahari ya Chumvi]].
Kiasi cha maji kwenye sehemu ya kusini ya mto kimepungua sana kwa sababu Israel inavuta sehemu kubwa ya maji na kuitumia kwa ajili ya matumizi kibinadamu katika miji yake.
Mstari 27:
Bonde la Yordani ni sehemu ya kaskazini ya [[Bonde la Ufa la Afrika ya Mashariki]] linaloenelea katika bonde la Araba na kupita [[Bahari ya Shamu]] hadi kuonekana tena [[Eritrea]].
[[
[[
[[
[[ar:نهر الأردن]]
Mstari 52:
[[fr:Jourdain]]
[[fy:Jordaan]]
[[ga:Abhainn na hIordáine]]
[[gd:Abhainn Iòrdan]]
[[gl:Río Xordán]]
|