Yosafat wa Polotsk : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
mbegu-mtu |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Mtakatifu Yosafat wa Polotsk''' ([[1580]] – [[1623]]) alikuwa [[askofu]] wa [[Polotsk]] (leo nchini [[Belarus]]). Ametambuliwa na [[Kanisa Katoliki]] kuwa [[mtakatifu]]
==Maisha==
Yohane Kuntsevych alizaliwa nchini [[Ukraine]] mwaka 1580 katika familia ya [[Waorthodoksi]].
Baada ya kusoma [[Vilnius]] ([[Lithuania]]), mwaka [[1604]] alijiunga na [[Wakatoliki wa mashariki]] waliokubali mapatano ya [[muungano wa Brest]] yaliyoanzisha [[Kanisa Katoliki la Kigiriki la Ukraine]]. Akajiunga na [[wamonaki]] wa mtakatifu [[Basili Mkuu]] kwa jina la Yosafat.
Alipata [[upadri]], akateuliwa kuwa askofu wa Polotsk. Alijitahidi kutunza urithi wa [[liturgia]] ya Kiorthodoksi na pia [[umoja]] na Kanisa Katoliki kwa jumla.
Alifanya kazi kubwa sana kutunza urithi huo wa pekee wa kanisa lake hadi mwaka 1623 alipouawa na Waorthodoksi waliopinga umoja huo.
==Viungo vya nje==
* [http://www.catholic-forum.com/saints/saintj61.htm Maisha yake kwa [[Kiingereza]] katika Catholic Forum]
==Tazama pia==
Line 10 ⟶ 19:
*"Sala ya Kanisa - Vipindi vya Liturjia", Toleo la Tatu 1996, Ndanda - Peramiho: Benedictine Publications, uk.1568
[[Jamii:Maaskofu]]
[[Category:Watakatifu
[[Category:Waliozaliwa 1580]]
[[Category:Waliofariki 1623]]
[[
{{mbegu-mtu}}
|