Saturnus : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Ondoa: tl:Saturno (mitolohiya) |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: th:เทพแซทเทิร์น; cosmetic changes |
||
Mstari 1:
[[
'''Saturnus''' ni jina la mungu mmojawapo aliyeabudiwa katika [[Roma ya Kale]].
Katika masimulizi ya Waroma wa Kale Saturnus alikuwa mwana wa mungu wa mbingu [[Uranos]] na mungu wa kike wa ardhi [[Gaia]]. Alimpindua babake kwa kukata uume wake. Baadaye alihofia ya kwamba watoto wake watampindua vile hivyo alikula watoto wake wote isipokuwa mwana wa sita [[Jupiter]] alifichwa mbele yake. Saturnus alipaswa kukimbia akafikia Italia alipowafundisha wenyeji elimu ya kilimo.
Mstari 10:
Siku ya [[Jumamosi]] huitwa "siku ya Saturnus" yaani Saturday hadi leo kwa [[Kiingereza]] na [[Kiholanzi]].
[[
[[af:Saturnus (mitologie)]]
Mstari 49:
[[sr:Сатурн (митологија)]]
[[sv:Saturnus (mytologi)]]
[[th:เทพแซทเทิร์น]]
[[uk:Сатурн (міфологія)]]
[[zh:萨图尔努斯]]
|