Windhoek : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: lmo:Windhoek |
infobox |
||
Mstari 1:
{{Infobox Settlement
|jina_rasmi = Jiji la Windhoek
|picha_ya_satelite =
|settlement_type = Jiji
|subdivision_type = [[Madola|Nchi]]
|subdivision_name = [[Namibia]]
|subdivision_type1 =
|subdivision_name1 =
|subdivision_type2 =
|subdivision_name2 =
|wakazi_kwa_ujumla =
|website =
}}
[[Image:Windhoek-Skyline.jpg|thumb|300px|right|Kitovu cha mji wa Windhoek]]
'''Windhoek''' ni [[mji mkuu]] wa [[Namibia]], na iko mahali pa [http://kvaleberg.com/extensions/mapsources/index.php?params=22_56_S_17_09_E_ 22.56 S 17.09 E]. Idadi ya wakazi wake ni takriban 230,000. Mji huo ni kituo muhimu kwa biashara ya ngozi za kondoo. Zamani ulikuwa makao makuu ya mtemi wa kabila la [[Nama]] aliyewashinda kabila la [[Waherero]] wakati wa karne ya 19. Mwaka wa 1885, nchi ilivamiwa na wakoloni kutoka [[Ujerumani]], na mji wa Windhoek ukawa makao makuu ya serikali ya ukoloni mwaka wa 1892. Wakati wa [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] nchi ilivamiwa na majeshi ya Makaburu kutoka [[Afrika ya Kusini]] ambao wametawala nchi ya Namibia hadi mwaka wa 1990. Namibia ilipopata uhuru, mji wa Windhoek ukawa mji mkuu wa Jamhuri ya Namibia.
|