Abidjan : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Marejeo, wakazi 2000 |
dNo edit summary |
||
Mstari 17:
'''Abidjan''' ni mji mkubwa nchini [[Cote d'Ivoire]] pia ni [[mji mkuu]] hali halisi. Vilevile ni bandari kuu ya nchi kwenye [[Ghuba ya Guinea]] ya [[bahari]] ya [[Atlantiki]]. Abidjan haiko baharini moja kwa moja lakini kwenye [[wangwa]] ya Ebrie inayotengwa na bahari kwa kanda nyembamba ya mchanga.
Abidjan imekua haraka kuanzia wakazi 65,000 mwaka 1950 hadi wakazi 3,624,800 mwaka 2000.<ref>[http://www.statoids.com/yci.html Statoids, Departments
Kuna viwanda vya ngozi, nguo, vyakula na mafuta.
|