Waeseni : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Created page with 'thumb|right||250px|Mahali yalipopatikana ''magombo ya Waeseni'', karibu na [[korongo la Qumran]] '''Waeseni''' walikuwa madhehebu mojawapo ya [[Uyahudi]...' |
tahajia |
||
Mstari 1:
[[Image:Qumran.jpeg|thumb|right||250px|Mahali yalipopatikana ''magombo ya Waeseni'', karibu na [[korongo]] la Qumran]]
'''Waeseni''' walikuwa [[madhehebu]] mojawapo ya [[Uyahudi]] katika [[karne ya 1
[[Biblia]] haiwataji kamwe, lakini wanajulikana kupitia vitabu vingine, hasa vile vilivyopatikana katika pango la [[Qumran]], lililohifadhi kwa miaka karibu 1900 maktaba ya jumuia yao iliyokuwa inaishi huko katika mazingira ya jangwa ili kujiandaa kupokea ufalme wa Mungu.
Msimamo wao ulikuwa mkali kabisa, ndiyo sababu wengi wao walijitenga na [[Wayahudi]] wenzao pia.
|