Abedi Amani Karume : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Sheikh Abeid Amani
Karume aliongoza mapinduzi yaliyomwangusha [[Sultani]] aliyekuwa akitawala Zanzibar hapo mwaka 1964. Baada ya miezi mitatu Zanzibar iliungana na [[Tanganyika]] iliyokuwa ikiongozwa na [[Mwalimu Nyerere]]. Baada ya muungano wa nchi hizi mbili uliozaa jina la [[Tanzania]], Karume alikuwa makamu wa rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Amani Abeid Karume,ambaye ni mtoto wa Sheikh Karume, ndiye rais wa sasa wa Zanzibar.▼
▲[[Amani Abeid Karume]], ambaye ni mtoto wa Sheikh Karume, ndiye rais wa sasa wa Zanzibar tangu mwaka 2000.
[[Category:Watu wa Tanzania]]
[[en:Abeid Karume]]
[[nl:Abeid Karume]]
|