Hans Bethe : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
New page: left|80px '''Hans Albrecht Bethe''' (amezaliwa 2 Julai, 1906) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Alizaliwa katika mji wa Strasbourg. Mw... |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 20:23, 20 Desemba 2006
Hans Albrecht Bethe (amezaliwa 2 Julai, 1906) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Alizaliwa katika mji wa Strasbourg. Mwaka wa 1933 alihamia Marekani. Hasa alichunguza nadharia ya atomu. Mwaka wa 1967 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |