Imani : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: fa:ایمان
No edit summary
Mstari 1:
{{Maadili ya Kimungu}}
[[Image:Giotto - Scrovegni - -44- - Faith.jpg|160px|thumbleft|Mchoro wa [[Giotto]], ''Imani'', [[Padua]]]]
 
Ingawa kwa [[Kiswahili]] neno '''imani''' lina maana mbalimbali (k.mf. "huruma"), ile kuu inahusiana na kitenzi '''kuamini''', kinachofanana na '''kusadiki'''. Hapo ni kukubali [[ukweli]] wa jambo lisiloweza kuthibitishwa.
Line 8 ⟶ 9:
 
Kadiri ya [[Mtume Paulo]] imani ikifuatana na [[tumaini]] na [[upendo]] ni [[adili]] kuu mojawapo, msingi, mzizi na chanzo cha [[wokovu]].
 
 
[[Category:Dini]]