Imani : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: fa:ایمان |
No edit summary |
||
Mstari 1:
{{Maadili ya Kimungu}}
[[Image:Giotto - Scrovegni - -44- - Faith.jpg|160px|
Ingawa kwa [[Kiswahili]] neno '''imani''' lina maana mbalimbali (k.mf. "huruma"), ile kuu inahusiana na kitenzi '''kuamini''', kinachofanana na '''kusadiki'''. Hapo ni kukubali [[ukweli]] wa jambo lisiloweza kuthibitishwa.
Line 8 ⟶ 9:
Kadiri ya [[Mtume Paulo]] imani ikifuatana na [[tumaini]] na [[upendo]] ni [[adili]] kuu mojawapo, msingi, mzizi na chanzo cha [[wokovu]].
[[Category:Dini]]
|