Okapi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ro:Okapi |
No edit summary |
||
Mstari 18:
'''Okapi''' (''Okapia johnstoni'') ni mamalia wa familia ya [[twiga]]. Umbo lake hufanana na [[farasi]] ina michoro miguuni kama [[punda milia]] lakini haina uhusiano naye ni aina ya twiga.
Okapi ni mnyama
Shingo yake ni fupi kuliko twiga lakini ina ulimi mrefu sana wa kujipatia majani unaomwezesha kusafisha masikio yake yeye mwenyewe. Duma ina pembe mbili fupi kichwani.
Ukubwa wa okapi ni hadi 2.5 m kichwani na hadi 2 m mabegani. Anafikia uzito kati ya kg 200 hadi 250
|