Fransisko wa Paola : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Badiliko: ca:Francesc de Paula
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Franziskus von Paola.jpg|thumb|right|200px]]
'''Mtakatifu Fransisko wa Paola''' ({{lang|it|kwa [[Kiitalia]] Francesco di [[Paola}]]}, [[1416]] – [[1507]]) alikuwa [[mtawa]] nchini [[Italia]].

Ametambuliwa na [[Kanisa Katoliki]] kuwa [[mtakatifu]]. [[[Sikukuu]] yake ni tarehe [[2 Aprili]] kila mwaka.
 
== Maisha ==
Fransisko alizaliwa kwa [[muujiza]] katika mji wa [[Paola]], mkoa wa [[Kalabria]], [[Italia]], mwaka wa 1416. AlianzishaWazazi shirikawake lawalikuwa watawawamefikia wakaa-pweke,uzee ambalobila baadayeya lilibadilishakuweza nakuzaa, kuwalakini walimuomba [[UtawaFransisko wa Wadogo KabisaAsizi]], na likapatakuweka kibalinadhiri kutokakuwa kwamtoto Papawao mwakaataitwa wa 1506Fransisko. FransiskoNdipo alikufawalipojaliwa mwaka wa 1507 huko [[Tours]], [[Ufaransa]]kuzaa.
 
Tangu [[utoto]]ni alishika maisha magumu ya [[sala]] na [[toba]] upwekeni.
 
Alianzisha shirika la watawa wakaa-pweke, ambalo baadaye likawa [[Utawa wa Wadogo Kabisa]], likapata kibali kutoka kwa [[Papa]] mwaka 1506. Pamoja na kuahidi [[mashauri ya Kiinjili]] matatu ya kawaida, wanaahidi pia kuishi daima kama wakati wa [[Kwaresima]].
 
[[Kanuni]] yake ni ya pekee, ingawa inafuata ile ya [[Ndugu Wadogo]] ikiiongezea malipizi makali ya [[mababu wa jamgwani]].
 
Kauli-mbiu yake ilikuwa neno "caritas" (kwa [[Kilatini]], "upendo").
 
Fransisko alikufa mwaka 1507 huko [[Tours]], [[Ufaransa]] alipokuwa ametumwa na Papa.
 
== Tazama pia ==
Line 14 ⟶ 26:
{{mbegu-Mkristo}}
 
[[Jamii:Watakatifu Wakristowa Italia]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1416]]
[[Jamii:Waliofariki 1507]]
[[Jamii:Watawa waanzilishi]]
[[Jamii:Waminimi]]
 
[[ca:Francesc de Paula]]