Timbuktu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: la:Timbuktu
d roboti Nyongeza: lad:Timbuktu; cosmetic changes
Mstari 1:
[[ImagePicha:Djingareiber cour.jpg|thumb|left|Msikiti ya kihistoria ya Djingerber]]
 
 
'''Timbuktu''' ([[kifaransa]]: Tombouctou; [[kiarabu]]: تمبكتو) ni mji nchini [[Mali]] kusini ya [[jangwa]] la [[Sahara]] takriban kwa umbali wa 13 km na [[mto Niger]]. Leo kuna takriban wakazi 32,000 .
 
== Kituo cha biashara ya Sahara ==
Timbuktu imejulikana zaidi kutokana na historia yake. Katika [[enzi ya kati]] mji ulikuwa kituo muhimu cha [[biashara ya misafara]] kupitia Sahara na pia kuvuka kanda la [[Sahel]] kusini ya jangwa hadi [[Sudan]] na [[Misri]]. Wakati ule mji uliunganishwa na mto Niger kwa mfereji ulioruhusu mashua ya biashara kufika sokoni moja kwa moja kutoka njia ya maji. Wakati ule mji ulikuwa na wakazi 100,000.
 
== Utaalamu wa Kiislamu ==
Utajiri wa mji ulisaidia kujenga utamaduni wa kitaalamu. Kuna habari za [[madrasa]] 180 wakati moja. Hadi leo [[chuo kikuu]] cha Sankore ni dalili ya urithi huo kinaendelea kufanya kazi.
 
Mstari 15:
 
Timbuktu iliingizwa katika orodha ya [[urithi wa dunia]] ya [[UNESCO]] tangu 1988.
[[ImagePicha:Medersa Sankore.jpg|thumb|left|Geti ya kale ya Chuo Kikuu cha Sankore]]
Leo hii ni mji maskini unaotembelewa na watalii wachache wanaotafuta dalili za enzi za kale.
 
 
[[CategoryJamii:Miji ya Mali]]
[[CategoryJamii:Urithi wa Dunia]]
[[Jamii:Mto Niger]]
 
Mstari 52:
[[ko:통북투]]
[[la:Timbuktu]]
[[lad:Timbuktu]]
[[lt:Timbuktu]]
[[nds:Timbuktu]]