Kufa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: zh:库法 |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Badiliko: zh:库费; cosmetic changes |
||
Mstari 1:
[[
'''Kufa''' (pia: '''Kofa'''; [[Kar.]] الكوفة ''al-kūfah'') ni mji wa [[Irak]] takriban 170 km kusini ya [[Baghdad]] mwenye wakazi 110,000.
Iko 10 km kaskazini ya [[Najaf]] kando la [[mto Frati]]. Kama mahali pa mauti ya [[Imam Ali]] Kufa pamoja na Samarra, Karbala na Najaf ni kati ya miji minne mitakatifu ya Washia nchini Irak.
== Historia ==
Mji ulijulikana kwa jina la Surestan katika milki ya [[Uajemi]] wa Kale. Baada ya uvamizi wa Kiislamu mnamo [[637]] palikuwa na kambi kubwa la kijeshi lililoendelea kuwa mji mkuu wa kwanza wa Uislamu. Wanajeshi Waislamu 30,000 walipelekwa hapo kama walowezi. [[Khalifa]] [[Ali ibn Abu Talib]] alipeleka makao makuu yake hapo mwaka 656 akafa mjini mwaka .
Mwaka [[749]] [[Waabbasi]] baada ya kupindua [[Wamuawiya]] walifanya Kufa mji mkuu wa [[khilafa]] hadi [[762]] walipohamia [[Baghdad]].
[[
Umuhimu wa Kufa ulipungua kisiasa lakini uliendelea kiutamaduni hadi karne ya 11. Mji ulikuwa kitovu cha theolojia ya Kiislamu na masomo ya Kurani.
Baada ya karne ya 11 mji uliharibiwa vitani mara kwa mara ukaanza kupungua sana hadi kukua katika karne ya 20.
[[
[[
[[ar:الكوفة]]
Mstari 46:
[[tr:Kufe]]
[[ur:کوفہ]]
[[zh:库
|