Mitume wa Yesu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Sj (majadiliano | michango) .. |
Sj (majadiliano | michango) +12 |
||
Mstari 4:
Baada ya kifo na ufufuko wake, hao wakawa viongozi wa [[Kanisa]] ambalo hadi leo linajitambua kujengwa juu yao.
== Mitume ==
* [[Mtume Petro|Wa kwanza, Simoni Petro]]
* [[Mtume Andrea]]
* [[Yakobo Mkubwa]]
* [[Mtume Yohane]]
* [[Mtume Filipo]]
* [[Mtume Bartholomayo]]
* [[Mtume Tomaso]]
* [[Mtume Mathayo]]
* [[Yakobo Mdogo]]
* [[Simoni Mkananayo]]
* [[Yuda Tadei]]
* [[Yuda Iskarioti]] (baada ya kifo chake, nafasi yake ilishikwa na [[Mtume Mathiya|Mathiya]])
<!--Categories-->
|