Fonolojia : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: stq:Phonologie; cosmetic changes
Mstari 5:
Jambo lingine la kuzingatia ni vipashio vya kiuchambuzi vya matawi haya mawili. Wakati fonetiki kipashio chake cha msingi ni FONI, fonolojia kipashio chake cha msingi ni FONIMU. Kwa kuzingatia maelezo ya hapo awali, ni wazi kuwa FONI ni nyingi zaidi kuliko FONIMU, kwakuwa FONI ni kila sauti itamkwayo na binadamu, wakati FONIMU ni sauti zile tu zilizomo katika mfumo wa sauti wa lugha mahususi. Hivyo, kuna FONIMU za Kiswahili, za Kiingereza, za Kichina, n.k., lakini FONI si za lugha yoyote na wala uwezi sema kwa uhakika kuna FONI ngapi, kwakuwa bado kuna lugha nyingi duniani ambazo bado hazijatafitiwa.
 
Mchangiaji: achipila@yahoo.co.uk, 11:22, 19 Sept. 2008.
== Marejeo ==
*[[TUKI]] 1990, "Kamusi Sanifu ya Isimu na Lugha", [[Chuo Kikuu cha Dar es Salaam]]
*Massamba, David 2004, "Kamusi ya Isimu na Falsafa ya Lugha", Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Mstari 12:
{{mbegu-lugha}}
 
[[CategoryJamii:Isimu]]
 
[[ar:صواتة]]
Mstari 73:
[[sl:Fonologija]]
[[sr:Фонологија]]
[[stq:Phonologie]]
[[sv:Fonologi]]
[[tl:Ponolohiya]]