Isaka : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d mbegu-Biblia > mbegu-mtu-Biblia |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Andrea Mantegna 010.jpg|thumb|250px|Abrahamu
'''Isaka''' (kwa [[Kiebrania]] יצחק) ni jina la mwana wa [[Abrahamu]] anayetajwa katika [[Biblia ya Kiebrania]]
Habari zake zinapatikana hasa katika kitabu cha [[Mwanzo (Biblia)|Mwanzo]] 21
Katika Biblia anatazamiwa kama mrithi halali wa Abrahamu pamoja na kupokea baraka kutokana na agano la Mungu na ukoo wa babake.▼
Kufuatana na habari za kitabu hicho Abrahamu alimzaa na [[mke]] wake [[Sara]] akiwa mwana wake wa pili baada ya [[Ismaeli]] aliyemwahi kuzaa na [[mjakazi]] [[Hagar]].
Isaka alipokuwa mtoto bado aliokolewa na malika kwenye altari alipoelekea kuchinjwa kama sadaka na babake.▼
▲Katika [[Biblia]] anatazamiwa kama mrithi halali wa Abrahamu pamoja na kupokea [[baraka]] kutokana na [[agano]] la [[Mungu]] na ukoo wa babake.
▲Isaka alipokuwa mtoto bado aliokolewa na
Alimwoa [[Rebeka]] na kuzaa naye [[mapacha]] [[Esau]] na [[Yakobo]].
Alipoaga dunia alizikwa kwenye [[pango la Makhpela]] karibu na mji wa [[Hebron]].
Isaka anatajwa pia katika [[Kurani]] ya [[Uislamu]].
▲Habari zinapatikana hasa katika kitabu cha Mwanzo 21.1-22,1ff na 24,1-28,1ff.
== Viungo vya Nje ==
* [http://www.newadvent.org/cathen/08175a.htm Isaac in Catholic Encyclopedia]
Line 18 ⟶ 23:
[[Jamii:Watu wa Biblia]]
[[Jamii:Watu wa Kurani]]
[[ace:Ishaq]]
|