Habsburg : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
mbegu-jio-Ulaya |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: mk:Хабсбуршка династија; cosmetic changes |
||
Mstari 1:
[[
[[
[[
'''Nyumba ya Habsburg''' ilikuwa nasaba ya watawala wa [[Austria]] tangu mwaka [[1278]] hadi [[1918]]. Kuanzia [[1438]] hadi 1806 makaisari wa [[Dola Takatifu la Kiroma]] walikuwa Wahabsburg isipokuwa katika kipindi cha [[Kaisari Karolo VII]] (1742–1745).
Mstari 9:
Mtemi Rudolf wa Habsburg alifaulu kuchaguliwa kama mfalme wa Wajerumani na mkuu wa Dola Takatifu. Akiwa mfalme aliweza kupata utemi wa Austria na wafuasi walibaki na nafasi hii ya watawala wa Austria.
Mwaka 1438 Mhabsburg mwingine [[Albert II wa Ujerumani|Albert II]] alichaguliwa tena kuwa mfalme wa Wajerumani. Hakutapata cheo cha [[Kaisari]]
Mhabsburg aliyetawala maeneo makubwa kabisa alikuwa Kaisari [[Karolo V]] (kama mfalme wa Hispania: Carlos I)
Wakati wa vita za [[Napoleoni]] Kaisari Franz II wa Ujerumani alilazimishwa kuacha taji la kaisari la Dola Takatifu lakini alijitanganza kuwa Kaisari Franz I wa Austria akaanzisha cheo cha maikasari wa Austria walioendelea hadi mwisho wa [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] 1918.
Mstari 20:
{{mbegu-jio-Ulaya}}
[[
[[
{{Link FA|it}}
Mstari 57:
[[lt:Habsburgų dinastija]]
[[lv:Habsburgi]]
[[mk:Хабсбуршка династија]]
[[nl:Habsburg]]
[[nn:Habsburg]]
|