Uainishaji wa kisayansi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: tk:Biologik sistematika |
tahajia |
||
Mstari 3:
'''Uainishaji wa kisayansi''' ni namna jinsi wataalamu wa [[biolojia]] hupanga [[viumbehai]] kama [[mimea]] na [[wanayama]] kwa vikundi kwenye ngazi mbalimbali. Inaweza kuitwa pia '''taksonomia'''.
Tangu muda mrefu watu walitambua ya kwamba wanyama au mimea mbalimbali wanafanana kati yao kwa namna moja au nyingine. Wataalamu walijaribu kupanga aina hizi kwa
Mfumo wa Linnaeus uliendelezwa baadaye kulingana na nadharia ya [[Charles Darwin]] inayoona ya kwamba spishi mbalimbali huwa na chanzo cha pamoja kwa hiyo inawezakana kupanga uhai wote kama matawi ya mti yenye matawi makubwa na tena madogo yanayotoka kwenye makubwa.
|