Frati : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Badiliko: id:Sungai Efrat
No edit summary
Mstari 18:
 
 
'''Mto Frati''' ([[Kigiriki]]: Ευφράτης ''euphrátēs''; [[Kiakkadi]]: Pu-rat-tu; [[Kiebrania]]: פְּרָת ''Pĕrāth''; [[Kiaramu]]: ܦܪܬ ''Prâth''; [[Kar.]]: الفرات ''al-furāt''; [[Kituruki]]: Fırat; [[Kikurdi]]: فرهات, Firhat) ni [[mto]] mkubwa wa [[Asia]] ya magharibi. Pamoja na [[Hidekeli]] inatoka katika milima ya [[Uturuki]] ya Mashariki na kuunda eneo la [[Mesopotamia]] katika Iraq.
 
Frati ina urefu wa takriban 2,781 km.
Katika Biblia imetajwa kama mto mmojawapo wa paradiso.
 
Frati ina urefu wa takriban 2,781 km. Baada ya kutoka katika nyanda za juu za Uturuki inaingiaunaingia katika tambarare ya [[jangwa la Shamu]] na kuendelea katika Iraq inapopitaunapopita kwenye maghofu ya [[Babeli]]. Karibu na mji wa [[Basra]] mto unaungana na mto [[Hidekeli]] na kuitwa [[Shatt al Arab]] hadi mdomo wake katika [[Ghuba ya Uajemi]].
 
Pamoja na [[Hidekeli]] ([[Tigri]]), ambao pia unatoka katika milima ya [[Uturuki]] ya Mashariki, unaunda eneo la [[Mesopotamia]] (yaani "kati ya mito"; leo kwa kiasi kikubwa inalingana na Iraq).
[[Picha:Bassin Tigre Euphrate.jpg|thumb|left|350px|Malambo kwenye Frati ''(Euphrate)'' na Hidekeli ''(Tigre)'']]
 
Mto Frati unapita katika maeneo makavu hivyo nchi zote unapopita zianjaribu kutumia maji yake kwa vituo vya kuvuta maji na malambo mbalimbali yaliyounda maziwa makubwa.
Karibu na mji wa [[Basra]] mito hiyo inaungana na kuitwa [[Shatt al Arab]] hadi mdomo wake katika [[Ghuba ya Uajemi]].
 
[[Picha:Bassin Tigre Euphrate.jpg|thumb|left|350px|Malambo kwenye Frati ''(EuphrateEufrate)'' na Hidekeli ''(TigreTigri)'']]
Mto Frati unapita katika maeneo makavuyasiyo na [[mvua]], hivyo nchi zote unapopita zianjaribuzinajaribu kutumia maji yake kwa vituo vya kuvuta maji na malambo mbalimbali yaliyounda maziwa makubwa.
 
Katika [[Biblia]] imetajwaumetajwa kama mto mmojawapo wa paradisobustani walipoumbwa [[Adamu]] na [[Eva]].
 
{{mbegu-jio-Asia}}
Line 33 ⟶ 39:
[[Jamii:Mito ya Syria]]
[[Jamii:Mito ya Uturuki]]
[[Jamii:MahaliMito paya Biblia]]
[[Jamii:Mesopotamia]]
[[Jamii:Ghuba ya Uajemi]]
[[Jamii:Mahali pa Biblia]]
 
[[am:ኤፍራጥስ ወንዝ]]