Hekalu la Yerusalemu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: ru:Иерусалимский Храм |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:Jerusalem Ugglan 1.jpg|thumb|300px|Uchoraji wa Hekalu ya Kwanza]]
'''Hekalu
Kwa jumla kulikuwa na majengo mawili yaliyofuatana kwenye [[mlima]] wa [[hekalu]] [[mji|mjini]] [[Yerusalemu]].
Katika imani ya Kiyahudi sehemu ya Patakatifu pa Patakatifu ndani ya hekalu ilikuwa mahali ambako Mungu mwenyewe aligusa dunia.▼
[[Imani]] ya Kiyahudi inategemea kujengwa kwa hekalu la tatu pamoja na kuja kwa [[Masiya]] wakati ujao.
==Hekalu ya kwanza==▼
Hekalu ya kwanza ilijengwa na mfalme [[Suleimani]] kuanzia mwaka [[957 KK]]. Hekalu hii ilichukua nafasi ya [[hema ya kukutania]] iliyotunza vifaa vya ibada za Kiyahudi tangu siku za kale ikaaminiwa tangu [[Musa]].▼
▲Katika imani
Hekalu hii ya Suleimani iliharibika mwaka [[587 KK]] wakati [[Nebukadreza II]] wa [[Babeli]] alipovamia Yerusalemu na kuharibu mji.▼
▲Hekalu
Hekalu hilo lilikuwa mahali pa pekee palipotazamiwa kuwa sehemu halali kwa ibada za [[sadaka]].
==Hekalu ya Pili==▼
Baada ya ushindi wa Waajemi juu ya Babeli mwaka [[539 KK]] mfalme [[Koreishi]] aliwaruhusu Wayahudi kujenga hekalu upya. [[Kitabu cha Ezra]] katika Biblia kinasimulia habari hizi. ▼
Hata hivyo kuna taarifa, hasa katika sehemu za zamani za [[Biblia]], kuhusu ibada kwenye "mahali pa juu" (yaani juu ya milima) zilizolaumiwa kama ishara ya imani potofu baada ya [[urekebisho]] wa mfalme [[Yosia]] uliofanya hekalu la Yerusalemu pekee kuwa halali.
Ujenzi ulifuata mpango wa hekalu ya kwanza na ulifanya mahali palepale Yerusalemu kwenye "mlima wa hekalu". Katika hekalu hii ya pili sehemu ya Patakatifu pa Patakatifu ilikaa bila kitu ndani yake kwa sababu Sanduku la Agano lilipotea tangu kubomolewa kwa hekalu ya kwanza.▼
▲Hekalu
Hekalu iliharamishwa na mfalme [[Antiochos IV]] mwaka [[169 KK]] alipoweka hapa sanamu ya mungu wa Kigiriki [[Zeus]]. Hatua hii ilisababisha upinzani wa [[Wamakabayo]] waliorudisha ibada ya Kiyahudi hekaluni na hadi leo sherehe ya Hanuka inakumbusha kutakaswa kwa hekalu.▼
▲Baada ya ushindi wa [[Waajemi]] juu ya Babeli (mwaka [[539 KK]]) mfalme [[
[[Kitabu cha Ezra]] katika Biblia kinasimulia habari hizi.
Ujenzi ulifuata mpango wa hekalu la kwanza na ulifanyika mahali palepale Yerusalemu kwenye "mlima wa hekalu".
▲
Hekalu liliharamishwa na mfalme [[Antioko IV]] mwaka [[169 KK]] alipoweka hapa [[sanamu]] ya mungu wa Kigiriki [[Zeus]].
▲
===Matengenezo chini ya Herode===
Mnamo mwaka [[21 KK]] mfalme [[Herode Mkuu]] aliamuru matengenezo ya hekalu.
Wataalamu wengi huona ya kwamba matengenezo yalifanana na ujenzi mpya wa hekalu lililopambwa na kuongezeka.
[[Image:Sack of jerusalem.JPG|thumb|300px|Wanejshi Waroma wabeba kinara ya mishumaa na vifaa vingine kutoka Hekaluy a Yerusalemu baada ya huiharibu mwaka 70]]▼
Mwaka 70 jeshi la [[Dola la Roma]] lilivamia Yerusalemu na kubomoa hekalu. Kuta za msingi zilibaki na ukuta mkubwa wa magharibi unasimama hadi leo ni [[Ukuta wa Maombolezo]] wa Wayahudi.▼
Kwa kawaida hekalu linalotajwa katika [[Agano Jipya]] ni hilo la Herode.
▲[[Image:Sack of jerusalem.JPG|thumb|300px|
Mwaka [[70]] jeshi la [[Dola la Roma]] lilivamia Yerusalemu na kubomoa hekalu.
▲
==Baada ya kuharibika kwa hekalu==
[[Waroma]] walijenga hapohapo hekalu kubwa kwa mungu wao [[Jupiter]]
Mara mbili [[Waislamu]] walipovamia Yerusalemu walikuta mlima wa hekalu kama mahali pa maghofu tu wakajenga hapa [[msikiti]].
Ukuta wa magharibi wa hekalu
[[Category:
[[Jamii:Majengo]]
{{Link FA|ru}}
|