Ethiopia : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: mt:Etjopja
Translated from http://en.wikipedia.org/wiki/Ethiopia (revision: 327124700) using http://translate.google.com/toolkit.
Mstari 1:
{{Otheruses1|the East African country}}
{| border=1 align=right cellpadding=0 cellspacing=0 width=50 style="margin: 0 0 1em 1em; background: #f9f9f9; border: 1px #aaaaaa solid; border-collapse: collapse; font-size: 95%;"
{{Contains Ethiopic text}}
|+<big><big>የኢትዮጵያ ፌዴራላዊ<br />ዲሞክራሲያዊ ሪፐብሊክ<br />''' ye-Ityopp'ya Federalawi Dimokrasiyawi Ripeblik'''<br />Shirikisho la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Ethiopia</big></big>
 
 
{{Infobox Country
|native_name={{lang|gez|2={{nobold|የኢትዮጵያ ፌዴራላዊ <br/> ዲሞክራሲያዊ ሪፐብሊክ}}}}<br/>''{{transl|gez|ye-Ītyōṗṗyā Fēdēralāwī Dīmōkrāsīyāwī Rīpeblīk}}''
|conventional_long_name = Federal Democratic Republic of Ethiopia
|common_name = Ethiopia
|image_flag = Flag of Ethiopia.svg
|image_coat = Coat of arms of Ethiopia.svg
|image_map = LocationEthiopia.svg
|national_anthem = <span style="line-height:1.33em;">''[[Wodefit Gesgeshi, Widd Innat Ityopp'ya]]''<br/><small>"March Forward, Dear Mother Ethiopia"</small></span>.
|official_languages = [[Amharic]]
|regional_languages = [[Languages of Ethiopia|Other languages]] official amongst the different [[People of Ethiopia|ethnicities]] and their respective [[Regions of Ethiopia|regions]].
|ethnic_groups = [[Oromo people|Oromo]] 34.5%, [[Amhara people|Amhara]] 26.91%, [[Somali people|Somali]] 6.20%, [[Tigray people|Tigray]] 6.07%; [[Sidama]] 4%, [[Gurage]] 2.5%, [[Welayta people|Welayta]] 2.3%<ref name="bx">2007 Census, {{PDFlink|[http://www.jimmatimes.com//downloads/Cen2007.pdf]|51.7&nbsp;KB}} . Retrieved 3 may 2009.</ref><ref name="Embassy">[http://www.ethiopianembassy.org/population.shtml Embassy of Ethiopia, Washington, DC]. Retrieved 6 April 2006.</ref> and around eighty other small ethnic groups.
|demonym = [[Demographics of Ethiopia|Ethiopian]]
|capital = [[Addis Ababa]]
|latd=9|latm=1.8|latNS=N|longd=38|longm=44.4|longEW=E
|largest_city = capital
|government_type=[[Federal republic|Federal]] [[Parliamentary republic]]<sup>1</sup>
|leader_title1=[[List of Presidents of Ethiopia|President]]
|leader_name1=[[Girma Wolde-Giorgis]]
|leader_title2=[[List of heads of government of Ethiopia|Prime Minister]]
|leader_name2=[[Meles Zenawi]]
|s= Mulatu
|sovereignty_type=[[History of Ethiopia|Establishment]]
|sovereignty_note=[[Circa|c.]] 10th century BC
|established_event1=Traditional date
|established_date1=980 BC
|established_event2=[[Dʿmt|Kingdom of Dʿmt]]
|established_date2=8th century BC
|established_event3=[[Kingdom of Aksum]]
|established_date3=[[Circa|c.]] 4th century BC
|established_event4=[[Ethiopian Empire|Independent Abyssinia]]
|established_date4=1137
|established_event5=Partially occupied territory by [[Italy]]
|established_date5=1936–1941
|established_event6=Administered by [[United Kingdom]] under [[United Nations Trusteeship]]
|established_date6=1941–1944
|established_event7=[[People's Democratic Republic of Ethiopia|Constitution]]
|established_date7=1933, 1955(Monarchy), 1987(PDRE),1995(FDRE)
|established_event8=Democratic Republic
|established_date8=1991
|area_rank=27th
|area_magnitude=1 E12
|area_km2=1,104,300
|area_sq_mi=426,371<!--Do not remove per [[WP:MOSNUM]]-->
|percent_water=0.7
|population_estimate=79,221,000<ref>[http://www.csa.gov.et/surveys/National%20statistics/national%20statistics%202007/Population.pdf Ethiopia Central Statistics Office -- Population Projection for mid-2008]</ref>
|population_estimate_year=2008
|population_estimate_rank=15th<nowiki>²</nowiki>
|population_census=73,918,505
|population_census_year=2007
|population_density_km2=75
|population_density_sq_mi=194<!--Do not remove per [[WP:MOSNUM]]-->
|population_density_rank=123rd
|GDP_PPP_year=2008
|GDP_PPP = $71.111 billion<ref name=imf2>{{cite web|url=http://www.imf.org/external/pubs/ft/weo/2009/02/weodata/weorept.aspx?sy=2006&ey=2009&scsm=1&ssd=1&sort=country&ds=.&br=1&c=644&s=NGDPD%2CNGDPDPC%2CPPPGDP%2CPPPPC%2CLP&grp=0&a=&pr.x=67&pr.y=8 |title=Ethiopia|publisher=International Monetary Fund|accessdate=2009-10-01}}</ref>
|GDP_PPP_rank=
|GDP_PPP_per_capita = $898<ref name=imf2/>
|GDP_PPP_per_capita_rank=
|GDP_nominal = $26.393 billion<ref name=imf2/>
|GDP_nominal_year=2008
|GDP_nominal_per_capita = $333<ref name=imf2/>
|HDI_year=2008
|HDI={{increase}} 0.389
|HDI_rank=169th
|HDI_category=<span style="color:#e0584e;">low</span>
|FSI=95.3 {{increase}} 3.4
|FSI_year=2007
|FSI_rank=18th
|FSI_category=<span style="color:red;">Alert</span>
|currency=[[Ethiopian birr|Birr]]
|currency_code=ETB
|country_code=ETH
|time_zone=[[East Africa Time|EAT]]
|utc_offset=+3
|time_zone_DST=not observed
|utc_offset_DST=+3
|drives_on=right
|cctld=[[.et]]
|calling_code=251
|Gini=30
|Gini_year=1999–00
|Gini_category=<span style="color:#fc0;">medium</span>
|footnote1=According to ''[[The Economist]]'' in its [[Democracy Index]], Ethiopia is a "hybrid regime", with a [[dominant-party system]] led by the [[Ethiopian People's Revolutionary Democratic Front]].
|footnote2=Rank based on 2005 population estimate by the United Nations.
}}
 
'''Ethiopia'''
[3] (Ge'ez: ኢትዮጵያ [4] ni taifa lililozungukwa na nchi kavu linalopatikana katika upembe wa Afrika, ni moja ya nchi za kale zaidi duniani.{{pron-en|ˌiːθiˈoʊpiə}} Kirasmi linajulikana kama Muungano wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Muungano wa Ethiopia, ni nchi ya tatu kwa wingi wa watu [5] na ya kumi kwa ukubwa kieneo duniani. Mji mkuu wake ni Addis Ababa.
 
 
Wakati nchi nyingi za Afrika bado hazijatimiza karne moja katika historia yao, Ethiopia imekuwa nchi huru tangu zamani. Kihistoria ni taifa la utawala wa kifalme, historia ya utawala wa kinasaba ulioibuka kwenye karne ya 10 K.K. [6] Wakati wa kugawanywa kwa Afrika na nchi zenye uwezo za ulaya kwenye Kongamano la Berlin, Ethiopia ilikuwa miongoni mwa nchi mbili pekee ambayo uhuru wake haukuingiliwa. Ethiopia ilikuwa mojawapo ya nchi tatu kutoka Afrika ambazo zilikuwa wanachama wa Shirikisho la Mataifa, muda mfupi tu baada ya ukoloni wa Wataliano, Ethiopia ilikawa mwanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa. Wakati mataifa mengine ya Afrika yalipata uhuru wao baada ya Vita vya Pili vya Dunia, nchi nyingi zilichukua rangi za bendera{ /0} ya Ethiopia, na Mji Mkuu wa Addis Ababa ukawa mji ambao mashirika mengi ya kimataifa yaliyojihusisha na masuala ya Afrika yaliweka makao yao. Mwaka 1974, utawala wa kinasaba ulioongozwa na Haile Selassie ulipinduliwa. Tangu hapo, Ethiopia imekuwa [[hali ya kawaida]] kwa mifumo mbalimbali ya kiserikali. Leo, Addis bado ni mahali pa makao makuu ya [[Umoja]] wa [[Afrika]] na UNECA.
 
 
Mbali na kuwa nchi ya kale, Ethiopia inatambuliwa na wanasayansi kuwa ni sehemu kongwe iliokuwa makazi ya uwepo wa binadamu -Huenda Ethiopia ikabaini kuwa sehemu ambayo homo sapien alitokea, hususan ni baada ya kutoa ushahidi wa uwepo wa binadamu wakongwe zaidi. Ethiopia ina idadi kubwa ya sehemu za urithi zilizoorodheshwa na UNESCO barani Afrika. [16] Pia ina mahusiano ya kihistoria ya karibu na dini zote kuu za Kiibrahimu duniani kote. Ethiopia ilikuwa nchi ya kwanza ya Ukristo duniani, baada ya kuchukua Ukristo kama dini ya kitaifa katika karne 4. Bado ingali ina idadi kubwa ya Wakristo, lakini hata hivyo, theluthi moja ya wakazi wa Ethiopia ni 0}Waislam. Ethiopia ndiyo eneo la Hijra ya kwanza katika historia ya Uislamu na makazi ya kwanza ya Waislamu barani Afrika huko Negash. Pia ndiyo makao asili ya Imani ya dini ya Rastafarian. Hadi miaka ya 1980, kulikuwa na kiasi fulani cha Wayahudi/0} ambao waliishi Ethiopia. Kuongezea ni kwamba kuna jumla ya jamii 80 mbalimbali zinazopatikana Ethiopia, idadi kubwa ikiwa ni Oromo wakifuatiwa na Waamhara, wote ambao wanazungumza lugha zenye asili ya Afrika na Asia. Nchi ya Ethiopia pia inafahamika kwa makanisa yake yaliyojengwa kwa mawe na kama mahali palipokuwa asili ya kahawa.
 
 
Baada ya kupinduliwa kwa mfumo wa utawala wa Ufalme, Ethiopia ilibadilika na kuwa moja kati ya nchi maskini zaidi duniani. Ilishuhudia visa vibaya vya njaa katika miaka ya 1980, ambayo huenda ilisababisha vifo takriban milioni moja. Hata hivyo, nchi imeanza kurudia hali yake polepole, na kwa sasa uchumi wa Ethiopia ni mmojawapo ya uchumi unaokua kwa kasi barani Afrika. Kwa bahati mbaya, kama katika sehemu nyingi, ukuaji huu wa uchumi unasababisha athari mbaya katika mazingira.
 
 
 
==Jina==
Haijulika bayana miaka kamili ya Ethiopia; ithibati ya matumizi yake inapatikana kwenye Biblia katika kitabu cha Mwanzo mlango wa pili[17] kama asili ya sehemu walioishi Adamu na Hawa. Neno Ethiopia pia lipo kwenye Iliad, ambapo linapatikana mara mbili, na katika Odyssey, ambapo linapatikana mara tatu [18]. Matumizi ya zamani yaliyothibitishwa ni kuwa ni jina la Kikristo lililorejelea Ufalme wa Aksum katika karne ya 4, kwenye maandishi ya mawe ya Mfalme Ezana. [19] Jina la Ge'ez [20] na utambulisho wake wa Kiingereza linachukuliwa na baadhi ya wasomi wa hivi karibuni kuwa linatokana na neno la Kigiriki [21] Aithiopia, kutoka kwa neno [22] Aithiops 'an Ethiopian', kutoka kwa maneno ya Kigirki yenye maana "ya kuchomwa uso ". [24] Hata hivyo, Kitabu cha Aksum, tarihi iliyokusanywa ya Ge'ez katika karne ya 15, inasema kwamba jina hilo limetokana na " 'Ityopp'is" - mtoto wa kiume (haikutajwa kwenye Biblia) wa Kushi, mwana wa Hamu, ambaye kwa mujibu masimulizia kimapokezi alianzisha mji wa Aksum. Mzee Pliny [25] vile vile anasema kwamba taifa lilipata jina lake kutoka kwa mtu aitwaye Aethiops. Kisasili cha tatu, kilichopendekezwa na hayati laureat Tsegaye Gabre-Medhin msomi na mshairi kutoka Ethiopia, anaeleza kuwa jina hilo lilitokana na "jina la Kiafrika kutoka Misri" kutoka kwa maneno Et (Kweli au Amani) Op (refu au juu) na Bia (ardhi, nchi), au "nchi ya amani ya juu".
 
 
Katika lugha ya Kiingereza na nje ya Ethiopia kwa ujumla, kuna wakati ambao Ethiopia kihistoria ilifahamika kama Abyssinia, neno lililotoka kwa Kihabeshi, ni namna ya kwanza ya Kiethiosemitikiya aina ya Kiarabu, jina "Ḥabaśāt" (lisilotamkwa "ḤBŚT"), kwa sasa Uhabeshi, jina la wenyeji walioishi katika nchi hiyo (wakati nchi hiyo ilipoitwa "Ityopp'ya"). Katika lugha chache ambazo Ethiopia ingali inafahamika kwa jina "Abyssinia," k.m., katika Kiarabu cha sasa Al-Ḥabashah, lenye maana ya nchi ya watu wa Habasha. [26]
 
 
Jina Habesha, kwa hakika, hurejelea Waamhara na Watigray-Tigrinya ambao kihistoria wametawala nchi hiyo kisiasa, na ambao kwa pamoja wanajumuisha karibu asilimia 36% ya jumla ya wakazi wa Ethiopia. [27] Wakati mwingine, neno hutumiwa kama kitambulisho cha karibu asilimia 45% ya wakazi wa Ethiopia ambao walitumia lugha za Kisemiotiki tangu nyakati za kale kama Kiamhariki (30,1% ya wakazi wa Ethiopia), Tigray (6,2%), Gurage (4,3%) na jamii zingine ndogo ambazo huzungumza lugha za Kisemiotiki kama Waharari wanaopatikana Kusini mashariki mwa Ethiopia. Hata hivyo, tangu Kiamhariki kiwe lugha rasmi ya nchi ya Ethiopia, wakazi wengi wa SNNPR na sehemu kubwa ya mikoa ya Oromia na Benishangul-Gumuz hukitumia kama lugha ya pili. Kinyume na ilivyo nchini Ethiopia kwa sasa, neno Habesha hutumiwa kuelezea Waethiopia wote na Waeritrea. [28] Abyssinia unaweza kurejelea tu Kaskazini mashariki mwa mikoa ya Ethiopia ya Amhara na Tigray vilevile katikati mwa Eritrea, ilhali kihistoria neno hilo lilitumika kama jina lingine kwa maana ya Ethiopia. [30]
 
 
Ethiopia pia hujulikana kama nchi ya Kush. Kiasili jina hilo lilitoka kwa Waebrania kumaanisha mataifa ya mashariki ya pwani ya Bahari ya Shamu. Hata hivyo, Biblia inaeleza wazi kwa kusema kwamba watu wa Kushi kwa hakika ni Waethiopia. [31] Musa alipotaja watu wa Kushi, alirejelea watu wa taifa la jamaa ya Wamisri. [32] Kwa mujibu wa wanahistoria wa Kiebrania,wakati mmoja Ethiopia na Misri zilitumia jina Kushi[33] kwa sababu ya mahusiano ya karibu kisiasa kati ya nchi hizo mbili. Ingawa neno hilo awali lilinuia kumaanisha pande zote mbili za bahari ya Shamu, ushahidi umeonyesha kuwa sehemu ya mashariki ya pwani ilimilikiwa na Waethiopia. [34]
 
 
 
==Historia==
{{Main|History of Ethiopia}}
 
 
 
====Historia kabla ya hati ya maandishi====
 
 
Ethiopia inachukuliwa kuwa makazi ya binadamu ya zamani sana, ama hata kongwe zaidi kwa mujibu wa utafiti wa kisayansi. Mabaki ya Lucy, yaliyogunduliwa katika Bonde la Awash linalopatikana katika mkoa wa Afar nchini Ethiopia, yanachukuliwa kuwa mabaki bora na yaliyohifadhiwa vizuri ya Australopithecine ambayo ndiyo ya pili kwa ukongwe duniani. Spishi ya Lucy inaitwa Australopithecus afarensis, ambayo inamaanisha ya 'sokwe wa kusini mwa Afar',kutokana na mkoa wa Ethiopia ambao mabaki hayo yaligunduliwa. Inakadiriwa kuwa Lucy aliishi nchini Ethiopia miaka milioni 3.2 iliyopita. [37] Mabaki mengine mengi yanayotambulika yamegunduliwa nchini Ethiopia ikiwa ni pamoja na mabaki ya binadamu mkongwe zaidi yaliyogunduliwa hivi karibuni, Ardi. [39]
 
 
Karibu na karne ya nane KK, ufalme uliyojulikana kama D ʿ mt ulianzishwa Kaskazini mwa Ethiopia na Eritrea, ambao makao yake makuu yalikuwa Yeha Ethiopia Kaskazini. Wanahistoria wengi wa kisasa wanachukulia ustaarabu huu kuwa wenye asili ya Afrika, ingawa ulichangiwa na Sabaean kutokana na mamlaka ya baadaye ya Bahari ya Shamu, [40] ilhali kuna wale waonaofikiria D ʿ mt kama matokeo ya mchanganyiko wa asili ya Wasabaean na watu asilia. [41] Hata hivyo, Kige'ez, lugha ya Kisemiotiki ya kale ya Ethiopia, inadhaniwa kuwa ilitokana na Kisabaean (pia Kisemiotiki cha Kusini). Kuna ithibati ya uzungumzaji wa Kisemiotiki huko Ethiopia na Eritrea miaka ya 2000 KK. [42] [43] Kwa sasa ushawishi wa Sabaean umechukuliwa kuwa na athari ndogo, ambao ulijikita tu katika maeneo haba, na baadaye kutoweka kabisa baada ya miongo kadhaa au karne moja, huenda uliwakilisha ukoloni wa kibiashara au kijeshi wa aina ya kikoa ama aina fulani ya muungano wa kijeshi na ustaarabu wa Ethiopia wa D ʿ mt au aina nyingine ya taifa la proto-Aksumite. [44]
 
 
Baada ya anguko la D ʿ mt katika karne ya nne KK, uwanda huo ulikuja kutawaliwa na falme ndogo za urithi, hadi kuibuka kwa moja ya falme hizo kwenye karne ya kwanza KK, Himaya ya Aksumite, ambayo ndiyo iliyozaa Ethiopia ya enzi za kale na ya sasa, ambayo ilikuwa na uwezo kuunganisha eneo hilo. [45] walianzisha ngome upande wa kaskazini mwa Nyanda za juu za Uwanda wa Ethiopia na kupanuka kuelekea upande wa Kusini. Mtu mashuhuri wa kidini, wa Kiajemi [[Mani]] aliorodhesha Aksum na Roma, Uajemi, na Uchina kama moja ya mamlaka kuu nne za wakati wake. <ref>[46] ^ Stuart Munro-Hay, ''Aksum: A Civilization A Civilization of Late Antiquity'' (Edinburgh: University Press, 1991), uk. 13.</ref>
 
 
Mnamo mwaka 316 BK, mwanafalsafa wa Kikristo kutoka Tiro, Meropius, alianza safari ya uvumbuzi kandokando mwa pwani ya Afrika. Watu wawili wenye asili ya Siria na Ugiriki, Frumentius na ndugu yake Aedesius walijiunga naye. Chombo chao cha usafiri kilikwama pwani, na wenyeji waliwaua wasafiri wote isipokuwa hao ndugu wawili, ambao walifikishwa mahakamani na kupewa ofisi nyeti na mfalme. Wote wawili waliendelea na kutekeleza imani ya Kikristo kwa faragha, na waliweza kumuongoa malkia na watu wengine kadhaa wa mahakama ya kifalme baadaye.
 
 
 
====Nasaba za Ethiopia====
{{Main|History of Ethiopia}}
 
 
Nasaba ya Zagwe ilitawala sehemu nyingi za Ethiopia ya sasa na Eritrea kati ya mwaka 1137-1270. Jina la nasaba hiyo linatokana na jamii ya Kikushiti ya Agaw inayopatikana Kaskazini mwa Ethiopia. Tangu mwaka 1270 BK na kuendelea kwa kipindi cha karne nyingi, nasaba ya Solomoni ilifuata.
 
 
 
====Ufufuo wa uhusiano na Ulaya====
Mwanzoni mwa karne ya kumi na tano Ethiopia ilinuia kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na falme za Ulaya kwa mara ya kwanza tangu enzi za Aksumite. Barua iliyoandikwa na Mfalme wa Uingereza Henry wa IV kwa Mfalme wa Abyssinia ipo mpaka sasa. [48] Mwaka 1428, mtemi Yeshaq alituma wajumbe wawili kwenda kwa Alfonso wa V wa Aragon, ambaye alituma wajumbe wakurudisha ujumbe, ambao walishindwa kukamilisha safari yao ya kurudi. [49] Uhusiano wa kudumu na nchi za Ulaya ulianza mnamo mwaka wa 1508 na Ureno chini ya Mtemi Lebna Dengel, ambaye alikuwa ndiyo kwanza amerithi utawala kutoka kwa baba yake. [50]
[[File:Gonder.jpg|thumb|Kasri la Mfalme Fasilides.]]
Uhusiano huu ulikuwa muhimu kwa maendeleo, kwa sababu wakati Himaya hiyo ilishambuliwa na Jenerali na Imamu Adal, Ahmad ibn Ibrihim al-Ghazi (aliyeitwa "Gran", ama "Mwenye kutumia mkono wa kushoto"), Ureno ilisaidia mtemi wa Ethiopia kwa kutuma silaha na wapiganaji mia nne, ambao walisaidia kijana wake Gelawdewos kushinda Ahmad na kuanzisha upya utawala wake. [51] Vita hivi kati ya Ethiopia na Adal pia vita vya kwanza vya uwakilishi katika eneo hilo ambapo Himaya ya Ottoman na Ureno zilichukua msimamo pinzani katika mgogoro huo. Hata hivyo, wakati Mfalme Susenyos alipoongoka na kuwa Mkatoliki katika mwaka wa 1624, kilifuata kipindi cha miaka ya uasi na mafarakano ya raia hali iliyopelekea vifo vya maelfu ya watu. [52] Wamishenari wa Jesuit walikuwa wamekosea heshima imani asilia ya wenyeji wa Ethiopia, na mnamo tarehe 25 Juni 1632 mwana Susenyos , Mtemi Fasilides, alitangaza kwa mara nyingine kuwa dini ya taifa iwe Ukristo wa Orthodox asilia ya Ethiopia, na akawatimua Wamishenari wa Jesuit watu wengine kutoka uropa. [53] [54]
 
 
 
====Zemene Mesafint====
Yote haya yalichangia kutengwa kwa Ethiopia kati ya 1755-1855, uitwao Zemene Mesafint au "Miaka ya Wana wa Mfalme". Watemi walikuwa na vyeo visivyo na maana, walithibitiwa mababe wa vita kama vile Ras Mikael Sehul wa Tigray, na nasaba ya Yejju Oromo, ambayo baadaye ilianzisha utawala wa Oromo huko Gondar katika karne ya 17, na kubadilisha lugha ya mahakama kutoka Kiamhariki hadi Kiafaan cha Oromo. [55] [57]
 
 
Kutengwa kwa Ethiopia kulifikia kikomo chake kufuatia hatua ya Uingereza iliyohitimisha muungano baina ya nchi hizo mbili, hata hivyo, ni mpaka mwaka 1855 ambapo Ethiopia iliunganishwa kikamilifu na mtemi akapata upya uwezo wake, kuanzia wakati wa enzi ya utawala wa Mtemi Tewodros wa II. punde alipochukua uongozi, licha ya vishawishi vilivyoleta mgawanyo, alianza kuifanyia Ethiopia mabadiliko na mamalaka yote yalipewa Mtemi, na Ethiopia ikaanza kushiriki katika masuala ya ulimwengu kwa mara nyingine tena.
[[File:Yohannesson.jpg|thumb|left|Yohannes IV, Mfalme wa Ethiopia na Mfalme wa Sayuni, na mwanawe, Ras Araya Selassie Yohannis.]]
Lakini Tewodros alikumbana na uasi kutoka kwa bunge ndani ya Himaya yake. Wanamgambo wa Oromo kutoka Kaskazini, Uasi wa Tigrayan na uvamizi wa Himaya ya Ottoman na vikosi vya Misri karibu na Bahari ya Shamu ulidhoofisha na baadaye kuleta anguko la Mtemi Tewodros wa II, ambaye alifariki baada ya vita vyake vya mwisho na kikosi cha jeshi la ugenini cha Uingereza. Mwaka 1868, Ethiopia na Misri walianza vita huko Gura. Vikosi vya Kaskazini mwa Ethiopia, vikiongozwa na Mtemi Yohannes wa IV, vilipata ushindi wa wazi dhidi ya Wamisri.
 
 
Mwaka 1889 na miaka ya awali ya 1890, Sahle Selassie, akiwa mfalme wa Shewa, na baadaye akihudumu kama Mtemi Menelik wa II, kwa msaada wa wanamgambo wa Shewan Oromo wa Ras Gobena, alianza kupanua ufalme wake kuelekea upande wa kusini na mashariki, na kuingia katika maeneo ambayo tangu uvamizi wa Ahmed Gragn hayakuwa yametwaliwa, na maeneo mengine ambayo awali hayakuwa chini ya utawala wake, hali hii ndiyo iliyosababisha mipaka ya leo ya Ethiopia. [58] Njaa kubwa iliyoikumba nchi ya Ethiopia kuanzia mwaka 1888-1892 ilisababisha takriban vifo thuluthi moja ya jumla ya wakazi wake. [59]
 
 
 
====Kung'ang'aniwa kwa Afrika na Ulaya====
''Tazama pia:'' [[Jeshi la Ulinzi la Ethiopia]]
 
 
Miaka ya 1880 ilishuhudia [[Kongamano la Berlin]] kugeuza upya nchi ya Ethiopia, wakati Wataliano walianza kushindana na Waingereza kupata ushawishi katika sehemu ambazo nchi hizo zilipakana nazo. [[Bandari ya Asseb,]] iliyo karibu na forodha ya kusini mwa Bahari ya Shamu, ilinunuliwa kutoka kwa Sultani mwenyeji wa Afar Machi 1870 na kampuni ya Uitaliano. Bandari hiyo karibu na Mtemi wa Ethiopia, ambapo kufikia mwaka 1890 ilipelekea [[Eritrea]] kuwa koloni ya Uitaliano. Migogoro baina ya nchi hizo mbili ilisababisha [[Mapigano ya Adwa]] mwaka 1896, ambapo Waethiopia walishinda Uitaliano na wakasalia kuwa na uhuru, chini ya utawala wa [[Menelik wa II.]] Uitaliano na Ethiopia zilitia [[sahihi mkataba]] wa amani tarehe 26 Oktoba 1896.
 
 
 
====Miaka ya Selassie====
[[File:Selassie restored.jpg|thumb|upright|79 KB|Utawala wa Haile Selassie kama Mtemi wa Ethiopia labda ndiyo utawala unaofahamika na wenye ushawishi mkubwa zaidi katika historia ya taifa hilo. Huchukuliwa na Warastafaria kama anayemwakilisha mungu.]]
Mwanzoni mwa karne ya ishirini iliyofahamika kwa utawala wa Mfalme [[Haile Selassie wa I,]] ambaye aliingia madarakani baada ya [[Iyasu wa V]] kuondolewa. Yeye ndiye alianzisha mageuzi ya Ethiopia, kuanzia 1916, wakati alipofanywa kuwa Ras na Regent (Inderase) wa [[Zewditu wa I ]] na akawa ''mtawala halisia'' wa Himaya ya Ethiopia. Kufuatia kifo cha Zewditu alifanywa kuwa Mtemi tarehe 2 Novemba, 1930.
 
 
Kuzaliwa kwake na wazazi wa jamii tatu kuu za Ethiopia za [[Oromo,]] [[Amhara na Gurage,]] na baada ya kuwa kwenye msitari wa mbele katika kuundwa kwa [[Shirika la Umoja wa Afrika,]] Haile Selassie alijulikana kama ishara ya umoja ndani ya Ethiopia na kote Afrika.
 
 
Uhuru wa Ethiopia ulivurugwa na vita vya pili kati ya [[Uitaliano na Abyssinian]] na uvamizi wa Wataliano kati ya mwaka wa (1936-1941). <ref> Clapham, Christopher, "Ḫaylä Śəllase" katika Siegbert von Uhlig, ed., ''Encyclopaedia Aethiopica: D-Ha'' (Wiesbaden: Harrassowitz Verlag, 2005), uk. 1062-3.</ref> Wakati wa mashumbulio haya, Haile Selassie alitoa wito kwa [[Umoja wa Mataifa]] mwaka 1935, kwenye hotuba ambayo ilimfanya atambuliwe duniani kote, na alituzwa kuwa Mtu wa Mwaka wa Gazeti la ''[[Time]]'' . <ref>{{cite news|author=Monday, Jan. 06, 1936 |url=http://www.time.com/time/magazine/article/0,9171,755559-1,00.html |title=Man of the Year |publisher=TIME |date=1936-01-06 |accessdate=2009-03-16}}</ref> Baada ya Uitaliano kujiingiza katika Vita Vikuu vya pili vya Dunia, [[vikosi vya Himaya ya Uingereza]] pamoja na wapiganaji wazalendo wa Ethiopia vilikomboa nchi ya Ethiopia katika [[Kampeni]] ya kawaida ya [[Afrika Mashariki]] ya mwaka 1941, ambayo ilileta [[uhuru]] tarehe 31 Januari mwaka 1941 na Waingereza walitambua uhuru wa Ethiopia kikamilifu ''(yaani'' bila mapendeleo yoyote maalumu kutoka Uingereza) kwa kutia sahihi [[Mkataba kati ya Uingereza na Ethiopia ]] Desemba, 1944. <ref> Clapham, "Ḫaylä Śəllase", ''Encyclopaedia Aethiopica,'' s. 1063.</ref> Kati ya 1942 na 1943 kulikuwa na [[vita vya kuvizia kutoka kwa Uitaliano nchini Ethiopia.]] Mnamo tarehe 26 Agosti 1942 [[Haile Selassie I]] alitoa tangazo la kupiga marufuku [[utumwa.]] <ref>[64] ^ [http://www.globalmarch.org/resourcecentre/world/ethiopia.pdf Ethiopia]</ref> <ref>{{cite web|url=http://mertsahinoglu.com/research/chronology-of-slavery/ |title=Chronology of slavery |publisher=MertSahinoglu.com |date=1994-02-23 |accessdate=2009-09-29}}</ref>
 
 
Mwaka 1962, Haile Selassie aliratibu ushirikiano na Eritrea jambo ambalo alifutilia mbali mwaka 1962. Unyakuzi huu ulianzisha vita vya uhuru vya [[Eritrea.]] Ingawa Haile Selassie alichukuliwa kama shujaa wa taifa zima, Waethiopia walibadilisha mtazamo wao kumuhusu kufuatia mgogoro wa mafuta wa mwaka wa 1973 duniani kote, uhaba wa chakula, sintofahamu kuhusu nani angechukua hatamu ya uongozi, vita vya mipakani, na malalamiko miongoni mwa watu wa pato la wastani hali iliyoletwa na mabadiliko. <ref name="Black Book">[67] ^ [[Black Book of Communism]] uk. 687-695</ref>
 
 
Utawala wa Haile Selassie ulimalizika mwaka 1974, wakati baraza la jeshi la Umaksi-Lenin liloungwa mkono na Urusi, [["Derg"]] likiongozwa na [[Mengistu Haile Mariam,]] lilipomuondoa madarakani, na kuanzisha nchi ya chama kimoja cha [[kikomunisti.]]
 
 
 
===Ukomunisti===
Serikali iliyofuata ilikumbwa na [[vita kadhaa vya mapinduzi]], machafuko, [[ukame wa kipindi kirefu,]] na tatizo kubwa la [[wakimbizi.]] Mwaka 1977, [[kulikuwa na vita vya Ogaden,]] wakati Somalia iliteka eneo lote la Ogaden, lakini Ethiopia iliweza kulichukua tena eneo la Ogaden baada ya matatizo mengi, shughuli hii ilifanikiwa kwa sababu ya ukubwa wa zana za kivita kutoka Urusi zilizozidi kumiminika na uwepo wa wanajeshi kutoka Cuba pamoja na wengine kutoka[[Ujerumani Mashariki]] na [[Yemen Kusini]] mwaka uliofuata.
 
 
Mamia ya maelfu ya watu waliuawa kutokana na [[Ugaidi ]] [[Mwekundu]], kuhamishwa kwa nguvu, ama matumizi ya njaa kama silaha chini ya utawala wa Mengstu. <ref name="Black Book"></ref> Ugaidi Mwekundu ulikuwa ni kulipiza kisasi kile serikali ilichokiita "Ugaidi Mweupe", ikidhaniwa ni msururu wa visa, matukio ya uhasama, mauaji ya kusudi na mauaji yaliyotekelezwa na upinzani. <ref>[69] ^ [http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/575405.stm US admits helping Mengistu Escape ] [[BBC,]] 22 Desemba 1999</ref> Baada ya muda mrefu wa kusikilizwa kwa kesi, mwaka 2006 Mengistu alipatikana na hatia ya [[mauaji ya halaiki.]] <ref>{{cite news |first= |last= |authorlink= |coauthors= |title=Mengistu found guilty of genocide |url=http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/6171429.stm |quote=Ethiopia's Marxist ex-ruler, Mengistu Haile Mariam, has been found guilty of genocide after a 12-year trial. |publisher=BBC |date=12 December 2006 |accessdate=2007-07-21 }}</ref>
 
 
Mwanzoni mwa miaka ya 1980, [[visa mfululizo vya njaa]] viliipiga Ethiopia na kuathiri karibu watu milioni 8, na kuua milioni moja. Upinzani dhidi ya utawala wa Kikomunisti ulianza hususan katika mikoa ya kaskazini ya Tigray na Eritrea. Katika mwaka 1989, kundi la [[Tigrayan Peoples 'Liberation Front]] (TPLF) liliungana na mavuguvugu mengine ya upinzani ya kikabila na kuunda [[Ethiopia Peoples' Revolutionary Democratic Front]] (EPRDF). Wakati uo huo Urusi iliacha kuendeleza Ukomunisti chini ya [[Mikhail Gorbachev]] 0} na [[ sera zake za glasnost na perestroika]], na kupunguza misaada ya Ethiopia kutoka kwa nchi za Kisosholisti. Hali hii ilisababisha uchumi kuwa mgumu zaidi na kusambaratika kwa jeshi wakati [[]] mashambulio ya vita vya kuvizia kutoka kwa vikosi vya Kaskazini yakiendelea. Kusambaratika kwa Ukomunisti kwa ujumla, na Mashariki mwa Ulaya wakati wa [[mapinduzi ya mwaka 1989,]] kulisadifu na Umoja wa Urusi kusitisha misaada kwenda Ethiopia katika mwaka 1990. Matarajio aliyokuwa nayo Mengistu, yalififia kwa haraka.
 
 
Mei mwaka 1991, vikosi vya EPRDF viliingia Addis Ababa na Umoja wa Urusi haukuingilia kusaidia upande wa serikali. Mengistu alitoroka nchi yake na kutafuta usalama nchini Zimbabwe, ambapo anaishi hadi sasa. Serikali ya Mpito ya Ethiopia, iliyojumuisha wanachama 87 wa Baraza la Wawakilishi liliongozwa na katiba ya nchi ambayo ilikuwa katiba ya mpito, iliundwa. Juni mwaka 1992, kundi la [[Oromo Liberation Front]] lilijiondoa serikalini; wanachama wa [[Muungano wa Demokrasia wa Kusini mwa Ethiopia]] pia walitoka serikalini, mwezi Machi mwaka 1993. Mwaka 1994, Katiba mpya ambayo ilianzisha bunge la vyumba viwili na mfumo wa mahakama iliandikwa. Uchaguzi wa kwanza wa kidemokrasia na uhuru ulifanyika Mei 1995 ambao Meles Zenawi alichaguliwa kama Waziri Mkuu na [[Negasso Gidada]] kama Rais. Ingawaje, inadhaniwa na watu wengi kuwa Meles Zenawi aliiba kura. Tuhuma hizi zinaungwa mkono na tathmini ya Zenawi nchini Ethiopia ambayo haonyeshikupendwa sana. {{Citation needed|date=December 2008}}
 
 
 
===Hivi Karibuni===
Kura ya maoni iliyosimamiwa na wajumbe wa Umoja wa Mataifa UNOVER, ilifanywa mwaka 1993, huku [[kukiwa na haki ya kila mtu kupiga kura ]] na ilifanywa ndani na nje ya Eritrea (miongoni mwa Waeritrea waliokuwa ugenini), kuhusu iwapo Waeritrea walitaka uhuru wao ama umoja na Ethiopia. Zaidi ya 99% ya Waeritrea walitaka uhuru ambao ulitangazwa rasmi tarehe 24 Mei, 1993.
 
 
Mwaka 1994, katiba ilipitishwa ambayo kwa mara ya kwanza ilileta uchaguzi wa mfumo wa vyama vingi katika uchaguzi wa mwaka uliofuata. Mwaka 1998 mwezi wa Mei, mzozo wa mpaka na Eritrea ulisababisha vita kati ya [[Eritrea na Ethiopia]] ambavyo viliendelea hadi mwaka 2000. Vita hivi vimeathiri uchumi wa taifa, lakini kuunganisha serikali ya muungano. Tarehe 15 Mei 2005, Ethiopia [[ilifanya ]]uchaguzi mwingine[[ wa vyama vingi,]] ambao ulipingwa vikali na baadhi ya makundi ya upinzani wakidai kuwa uligubikwa na visa vya wizi wa kura na udanganyifu. Ingawa [[Shirika la Carter]] liliidhinisha masharti ya kabla ya uchaguzi, limeonyesha kutoridhika na visa vilivyofuata baada ya uchaguzi. Mwaka 2005 [[Wasimamizi wa uchaguzi wa]] Umoja wa Ulaya waliendelea kulaumu chama tawala kwa kuiba kura. Watu wengi kutoka jumuiya ya kimataifa hawajakuwa na kauli moja kuhusu suala hilo, huku maafisa wa Ayalandi wakiwalaumu wasimamizi wa Umoja wa Ulaya kwa ufisadi kwa kutoa 'maelezo yasiyosahihi kutoka kwa kitengo cha kusimamia uchaguzi cha Umoja wa Ulaya cha mwaka 2005, ambayo yalipelekea upande wa upinzani kuamini kwamba walihadaiwa kwa kupokonywa ushindi." <ref>{{cite web|url=http://www.irishtimes.com/newspaper/breaking/2006/0214/breaking75.htm |title=Corruption in EU monitoring group sited |publisher=Irishtimes.com |date=2006-02-02 |accessdate=2009-03-16}}</ref> Kwa jumla, vyama vya upinzani vilipata zaidi ya viti 200 vya wabunge ikilinganishwa na viti 12 tu katika uchaguzi wa mwaka 2000. Licha ya wawakilishi wengi wa upinzani kuingia bungeni, baadhi ya viongozi wa chama cha CUD walitiwa gerezani kimakosa kufuatia ghasia za baada ya uchaguzi. Shirika la Amnesty International liliwaita [["wafungwa wa dhamiri"]] hatimaye waliachiliwa huru.
 
 
 
==Siasa==
{{Main|Politics of Ethiopia}}
{{See also|Rulers and Heads of State of Ethiopia|Foreign relations of Ethiopia}}
 
 
 
Siasa ya Ethiopia hufanyika kwenye msingi wa jamuhuri ya [[ bunge la majimbo,]] ambapo [[Waziri Mkuu]] ndiye [[mkuu wa serikali.]] [[Mamlaka ya utendaji]] hutekelezwa na serikali. Mamlaka ya [[sheria ya serikali ya majimbo]] yako chini ya [[serikali]]pamoja na vyumba vyote viwili vya bunge.
 
 
Kwa mujibu wa Ibara ya 78 ya Katiba ya Ethiopia ya mwaka 1994, [[mahakama]] inajitegemea kabisa bila ya ushawishi kutoka kwa baraza la mawaziri na bunge. <ref>[77] ^ [http://www.civicwebs.com/cwvlib/constitutions/ethiopia/constitution_1994.htm Katiba ya Ethiopia - Desemba 8, 1994]</ref> Hali halisi ya sasa inazua maswali mengi katika ripoti iliyotayarishwa na [[Freedom House]] (angalia mjadala kwenye ukurasa wa kiunganishi).
 
 
Kulingana na juzuu la ''[[The Economist]]'' kwenye[[faharasa ya Demokrasia]], Ethiopia ni nchi "yenye serikali mahuluti" iliyo kati ya "demokrasia pungufu" na "utawala wa kimabavu". Ethiopia iko katika nafasi ya 105 kwenye orodha ya nchi 167 (nyingi zikiwa hazijakamilika kidemokrasia). [[Georgia]] inaorodheshwa kama yenye demokrasia zaidi katika nafasi ya 104, na [[Burundi]] kama yenye upungufu wa demokrasia kwenye nafasi ya 106, kuliko Ethiopia. <ref>[78] ^ [http://www.economist.com/media/pdf/DEMOCRACY_INDEX_2007_v3.pdf Economist Intelligence Unit democrasy index 2006] [[(PDF]] file)</ref>
 
 
Uchaguzi wa wabunge 157 wawakilishi wa maeneobunge bungeni ulifanyika Juni 1994. Bunge hili lilikubali katiba ya Kidemokrasia ya Majimbo ya Jamuhuri ya Ethiopia Desemba 1994. Uchaguzi wa bunge la kwanza pendwa la taifa na na mabunge ya kieneo ulifanyika kwa mara ya Mei na Juni 1995. Vyama vingi vya upinzani viliamua kususia uchaguzi huo . Chama cha [[Ethiopia People's Revolutionary Democratic Front]] (EPRDF) kilipata ushindi mkubwa. Wakaguzi wa Kimataifa na mashirika yasiyo ya kiserikali yalieleza kuwa vyama vya upinzani vilikuwa na nafasi ya kushiriki kama wangeamua kufanya hivyo.
 
 
Serikali ya sasa ya Ethiopia iliapishwa Agosti mwaka 1995. Rais wa kwanza alikuwa [[Negasso Gidada.]] Serikali ya chama cha EPRDF- kinachoongozwa na Waziri Mkuu [[Meles Zenawi]] iliendeleza sera ya Majimbo ya kabila na kugatua mamlaka muhimu na kuwa chini ya mikoa, mamlaka yenye misingi ya kikabila. Hii leo Ethiopia ina mikoa ya utawala tisa yenye uhuru nusu wa kujitawala; ambayo ina mamlaka ya kukusanya na kutumia mapato yao. Katika serikali ya sasa, vipengele fulani vya uhuru vya kimsingi, ikiwa ni pamoja na [[uhuru wa vyombo vya habari,]] ni vimewekewa mipaka fulani. Wananchi wa Ethiopia wanaweza kuingia kwenye mitandao inayomilikiwa na serikali kwa urahisi kuliko mitandao ya vyombo vya habari, mageziti mengi yanajaribu kuwa wazi katika uandishi wake na mara nyingi yanasumbuliwa na serikali mara kwa mara. <ref name="FH Ethiopia"></ref> Wanahabari wasiopungua 18 walioandika makala yaliyoikosoa serikali walitiwa mbaroni kufuatia uchaguzi wa mwaka 2005 kwa madai ya mauaji ya halaiki na uhaini. Serikali inatumia sheria ya vyombo vya habari inayohusu kashfa kuwatishia wanahabari ambao wanakosoa sera zake. <ref name="HRW Ethiopia">{{cite web |url=http://hrw.org/englishwr2k7/docs/2007/01/11/ethiop14704.htm |title=Essential Background: Overview of human rights issues in Ethiopia|publisher=Human Rights Watch |accessdate=2007-12-25}}</ref>
 
 
Serikali ya Zenawi ilichaguliwa mwaka 2000 kwenye uchaguzi wa kwanza wa Ethiopia wa vyama vingi; hata hivyo, matokeo yalilaaniwa vikali na wakaguzi wa kimataifa na kukataliwa na upinzani ambao uliyaita kuwa ni ya ulaghai. Chama cha EPRDF kilishinda tena katika uchaguzi wa mwaka 2005 na kumrudisha Zenawi madarakani. Ingawa kura za upinzani ziliongezeka katika uchuguzi huo, upinzani na wakaguzi kutoka [[Umoja]] wa [[Ulaya]] na kwingine walisema kuwa uchaguzi huo haukuridhisha viwango vya kimataifa ili uwe uchaguzi wa huru na wa haki. <ref name="FH Ethiopia"></ref> Inadaiwa kuwa askari wa Ethiopia waliwauwa kinyama waandamanaji 193, wengi wakiwa ni katika mji mkuu wa [[Addis Ababa,]] wakati wa ghasia iliyofuata uchaguzi wa Mei 2005 katika [[mauaji ya polisi]] ya [[Ethiopia.]] <ref>{{cite news |first= |last= |authorlink= |coauthors= |title=Ethiopian probe team criticises judge over report.|url=http://today.reuters.co.uk/news/CrisesArticle.aspx?storyId=L07807962&WTmodLoc=World-R5-Alertnet-2 |quote= |publisher=Reuters |date= |accessdate=2007-07-21 }}</ref> Aidha serikali ilianzisha oparesheni mikoani; katika jimbo la Oromia serikali ilitumia wasiwasi wa uasi na ugaidi ili kuwatesa vibaya watu, kuwahukumu kifungo, na njia nyingine za kukandamiza ili kuwanyamazisha wakosoaji wa serikali baada ya uchaguzi, hususan wale walioshirikiana na chama cha upinzani kilichosajiliwa cha [[Oromo National Congress]] (ONC). <ref name="HRW Ethiopia"></ref> Serikali imekuwa vitani na waasi katika mkoa wa [[Ogaden]] tangu 2007. Chama kikubwa kabisa cha upinzani katika mwaka 2005 kilikuwa chama cha [[Muungano wa Umoja na Demokrasia]] (CUD). Baada ya migawanyiko mbalimbali ndani ya chama hicho, viongozi wa chama cha CUD wameanzisha chama kipya [[cha]] Unity [[for Democracy and Justice]] kinachoongozwa na Jaji [[Birtukan Mideksa.]] Mwanachama wa jamii ya [[Oromo,]] Bi Birtukan Mideksa ndiye mwanamke wa kwanza kuongoza chama cha kisiasa nchini Ethiopia.
 
 
Kufikia mwaka 2008, vyama vya kwanza vinne vya upinzani vilikuwa [[Unity for Democracy and Justice]] kikiongozwa na Jaji [[Birtukan Mideksa, United Ethiopian Democratic Forces]] kikiongozwa na Dkt. [[Beyene Petros, Oromo Federalist Democratic Movement]] kikiongozwa na Dkt. [[Bulcha Demeksa, Oromo People's Congress]] kikiongozwa na Dkt. Merera Gudina, na [[United Ethiopian Democratic Party-Medhin Party]] kikiongozwa na [[Lidetu Ayalew.]]
 
 
 
==Majimbo, mikoa, na wilaya==
{{Unreferenced section|date=February 2009}}
{{Main|Regions of Ethiopia|Zones of Ethiopia|Districts of Ethiopia}}
Kabla ya 1996, Ethiopia ilikuwa imegawanyika katika [[mikoa]] 13, mingi ikiwa ni ile iliyotokana na maeneo ya kihistoria. Kwa sasa Ethiopia ina mfumo wa serikali ya daraja inayojumuisha serikali ya majimbo ambayo inasimamia majimbo ya kikabila, kanda, [[wilaya]] ''[[(woreda]] ),'' na [[majirani]] ''[[ wao (kebele).]]''
 
 
Ethiopia imegawanyika katika majimbo tisa ya kiutawala na ya kikabila ''(kililoch,'' umoja. ''Kilil)'' ambayo yamegawanywa katika mikoa sitini na nane na miji miwili ilyoidhinishwa ''(astedader akababiwoch,'' umoja. ''Astedader akababi):'' [[Addis Ababa]] na [[Dire Dawa]] (Sehemu ndogo za 1 na 5 kwebye ramani, kwa usanjari huo). Imegawanywa zaidi katika wilaya 550 na wilaya zingine maalum.
 
 
Katiba inatoa mamlaka ya kutosha kwa utawala wa kimkoa ambao unaweza kuanzisha serikali yake na demokrasia kutokana na utekelezaji wa mamlaka ya kamati tendaji na kupitia kwa bureau za sehemu za majimbo. Muundo bayana kama huo wa baraza, mamlaka, na taasisi za sekta za umma unaigwa katika daraja inayofuata (woreda).
[[File:Ethiopia regions numbered.png|thumb|Mikoa na miji iliyoidhinishwa, imepangwa kwa kufuata mpangilio wa abjadi.]]
 
 
Majimbo tisa na miji miwili iliyoidhinishwa:
<table><td><ol>
<li> ''[[Addis Ababa]]''
<li> [[Afar]]
<li> [[Amhara]]
<li> [[Benishangul-Gumuz]]
<li> ''[[Dire Dawa]]''
</li></li></li></li></li></ol></td><td><ol>
<li> [[Gambela]]
<li> [[Harari]]
<li> [[Oromia]]
<li> [[Somali]]
<li> [[Mataifa ya Kusini, Wenyeji, na Mikoa ya wananchi.]]
<li> [[Tigray]]
</li></li></li></li></li></li></ol></td></table>
 
 
 
===Lugha===
{{Main|Languages of Ethiopia}}
Ethiopia in jumla ya lugha asilia themanini na nne. Baadhi ya lugha hizi ni:
{{columns
|col1 =
*[[Afar language|Afar]]
*[[Amharic language|Amharic]]
*[[Anfillo language|Anfillo]]
*[[Awngi language|Awngi]]
*[[Berta language|Berta]]
*[[Bussa language|Bussa]]
|col2 =
*[[Burji language|Burji]]
*[[Gamo-Gofa]]
*[[Gurage language|Gurage]]
*[[Hadiya language|Hadiya]]
*[[Harari language|Harari]]
*[[Kambata language|Kambata]]
|col3 =
*[[Konso language|Konso]]
*[[Ongota language|Ongota]]
*[[Oromo language|Oromo]]
*[[Saho language|Saho]]
*[[Sidamo language|Sidama]]
*[[Silt'e language|Silt'e]]
|col4=
*[[Soddo language|Soddo]]
*[[Somali language|Somali]]
*[[Tigrigna language|Tigrinya]]
*[[Wolaytta language|Wolaytta]]
*[[Xamtanga language|Xamtanga]]
*[[Zay language|Zay]]
}}
Kiingereza ndiyo lugha ya kigeni inayozungumzwa zaidi na ndiyo lugha ya kufundishia katika shule za upili. [[Kiamhariki]] ndicho kilikuwa lugha ya kufundishia katika shule za msingi , lakini kimebadilishwa katika maeneo mengi na lugha za kienyeji kama vile [[Oromifa]] na [[Kitigrinya.]] Ethiopia ina abjadi yake ya kipekee, iitwayo [[Ge'ez]] au [[Ethiopic]] (ግዕዝ), na [[kalenda.]]
 
 
 
==Jiografia==
{{Main|Geography of Ethiopia}}
[[File:Ethiopia Map.jpg|thumb|190px|Ramani ya Ethiopia.]]
Ikiwa katika nafasi ya {{convert|435071|sqmi|km2|0}} <ref>{{cite web | title = CIA World Factbook -Rank Order - Area | url =https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/rankorder/2147rank.html | accessdate = 2008-02-02}}</ref> Ethiopia ndiyo nchi ya 27 kwa ukubwa duniani (baada ya [[Kolombia).]] Ukubwa wake unalingana na [[Bolivia.]]
 
 
Sehemu kubwa ya Ethiopia inapatikana kwenye [[Upembe wa Afrika,]] ambayo ni sehemu ya mashariki zaidi ya ardhi ya Afrika. Nchi zinazopakana na Ethiopia ni [[Sudani]] kwenye upande wa Magharibi, [[Djibouti]] na [[Eritrea]] upande wa Kaskazini, [[Somalia]] upande wa Mashariki, na [[Kenya]] upande wa Kusini. Ndani ya Ethiopia kuna sehemu kubwa ya milima, nyanda za juu zimegawanywa na [[Bonde la Ufa,]] ambalo kwa ujumla linaanzia upande wa Kusini Magharibi na kuelekea Kaskazini Mashariki na kuzungukwa na ardhi tambarare, [[nyika]], au sehemu zilizo nusu jangwa. Tofauti kubwa ya [[mandhari]] husababisha tofauti nyingi za hali ya hewa, udongo, mimea ya asili, na ruwaza nzima ya makazi.
 
 
 
===Hali ya anga na maumbo ya ardhi===
Mwinuko na eneo la kijiografia la Ethiopia vimesababisha uwepo wa kanda tatu za hali ya anga: ukanda wa baridi wenye zaidi ya {{convert|2400|m|ft|0|sp=us}} [96]ambapo hali ya anga huwa kati ya kukaribia baridi ya theluji; kiwango cha joto ni kikikaribia kati ya [98] hadi [100]; na eneo la joto chini ya [101]; ukanda wa topikali wenye ameneo ya nyika na hali ya anga ya masaa ya mchana kati ta [102] hadi 103]. Ulalo wa ardhi ya Ethiopia ni kuanzia milima mirefu kadhaa (0} (Milima ya [[Semien]] na [[Milima ya Bale),]] hadi upande uliochini kabisa ya ardhi barani Afrika, [[ bonde la Danakil.]]
[[File:Ethiopian highlands 01 mod.jpg|thumb|left|Nyanda za juu za Ethiopia na Ras Dashan kutoka nyuma.]]
Msimu wa mvua ya kawaida ni kati ya katikati mwa mwezi wa Juni hadi katikati mwa mwezi wa Septemba (huchukua muda mrefu katika nyanda za upande wa kusini), ambayo hutanguliwa na vipindi vya rasharasha kuanzia Februari au Machi; kijumla miezi mingine ya mwaka huwa bila mvua.
 
 
Ethiopia ni nchi yenye mimea na wanyama wa aina tofauti tofauti, kuanzia jangwani kando mpaka wa Mashariki hadi misitu ya kitropiki upande wa Kusini na kupanuka hadi [[Afromontane]] katika upande wa Kaskazini na sehemu za Kusini Magharibi. [[Ziwa Tana]] katika upande wa kaskazini ndilo chanzo cha mto wa [[Blue Nile.]] Pia lina idadi kubwa ya [[wanyama walio katika hatari ya kuangamia,]] kama vile[[ Nyani wa Glada,]] na [[Mbuzi wa mwituni]] na [[mbwa mwitu]] mwenye asili ya Ethiopia (au [[mbweha ajulikanaye kam Simien fox).]] Miinuko mbalimbali ya nchi hiyo imeipa Ethiopia maeneo ya aina tofauti kiekolojia, hii imesaidia katika kubadilika kwa wanyama walio katika hatari ya kuangamia kwenye mazingira ya kiekolojia yaliyotengwa.
 
 
 
==Mazingira==
 
===Spishi zilizo katika hatari ya kuangamia===
Kihistoria, katika [[bara]] la Afrika, idadi [[ya wanyamapori]] imekuwa ikipungua kwa kasi, kutokana na kukata miti, vita, uchafuzi wa mazingira, uwindaji haramu na na shughuli nyingi ambazo huingilia maisha ya porini. <ref>[104] ^ Bakerova, Katarina na wemgine. (1991) Hifadhi za Wanyamapori Afrika. Ilitolewa Mei 24, 2008 kutoka kwa kituo cha Utamaduni wa Afrika. http://www.africanculturalcenter.org/3_0wildlife.html</ref> Vita vilivyodumu kwa miaka 17 pamoja na ukame mkali, viliathiri vibaya sana hali ya mazingira ya Ethiopia na kuharibu makazi mengi. <ref>[105] ^ Kamusi elezo huru ya Mataifa. Mazingira ya Ethiopia. Ilitolewa tarehe 24 Mei 2008, kutoka Tovuti ya Kamusi elezo huru ya Mataifa. http://www.nationsencyclopedia.com/Africa/Ethiopia-ENVIRONMENT.html</ref> Uharibifu wa makazi ni sababu ambayo huhatarisha maisha ya wanyama. Mabadiliko yanapotokea kwa haraka kwenye mazingira, wanyama hawapati muda wa kuzoea. Athari za kibinadamu zinahatarisha maisha ya spishi nyingi, hatari hizi zinatarajiwa kuongezeka kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa ambayo imeletwa na uzalishaji wa gesi chafu. <ref> Kurpis, Lauren (2002). Jinsi ya kusaidia spishi zilizo katika hatari ya kuangamia. Ilitolewa Mei 25, 2008, kutoka kwa tovuti ya spishi zilizo katika hatari ya kuangamia. http://www.endangeredspecie.com/Ways_To_Help.htm</ref>
Ethiopia ina idadi kubwa ya spishi za wanyama ambao wameorodheshwa miongoni mwa wale walio kwenye hatari kubwa, na wanaoweza kotuweka kutoka duniani. Ili kutathmini hali ilivyo kwa sasa nchini Ethiopia, ni muhimu kutambulisha wanyama katika eneo hili ambao wako katika hatari. Aina ya wanyama walio katika hatari wanaweza kuwekwa katika makundi matatu; ambao wako katika hatari zaidi, walio katika hatari, na wale wanaodhurika kwa urahisi. <ref name="Massicot"> Massicot, Paulo (2005). Habari kuhusu wanyama-Ethiopia. Ilitolewa tarehe 24 Mei 2008, kutoka kwa habari kuhusu wanyama. http://www.animalinfo.org/country/ethiopia.htm</ref>
 
 
 
{| class="wikitable" border="1"
|-
! Walio katika hatari zaidi
| style="background:#efefef;" align="center" colspan=2 |
! Waliokatika hatari
{| border="0" cellpadding="0" cellspacing="0"
! Wenye kudhurika kwa urahisi
| align="center" width="130px" | [[Picha:Flag of Ethiopia.svg|125px|Flag of Ethiopia]]
| align="center" width="130px" | [[Picha:Coat_of_arms_of_Ethiopia.svg| 110px|Coat of Arms of Ethiopia]]
|-
| [[Bilen Gerbil]]
| align="center" width="130px" | ([[Bendera ya Ethiopia|Kinaganaga]])
| [[Punda Milia wa Grevy]]
| align="center" width="130px" | ([[Coat of Arms of Ethiopia|Kinaganaga]])
| [[Ndovu wa Afrika]]
|}
|-
| [[Kifaru Mweusi]]
| [[Nyala wa Mlimani]]
| [[Ammodile]]
|-
| [[Mbwa mwitu wa asili ya Ethiopia]]
| [[Mbuzi wa mwituni kutoka Nubia]]
| [[Bailey's Shrew]]
|-
| [[Guramba Shrew]]
| [[Mbwa wa mwituni kutoka Afrika]]
| [[Bale Shrew]]
|-
| [[Harenna Shrew]]
|
| [[Palahala Beira]]
|-
| [[Macmillan's Shrew]]
|
| [[Duma]]
|-
| [[Walia Ibex]]
|
| [[Dibatag]]
|-
|
|
| [[Swala wa aina ya Dorcas]]
|-
|
|
| [[Glass's Shrew]]
|-
|
|
| [[Popo mwenye masikio makubwa asiye na mkia]]
|-
|
| align="center" colspan=2 | <small>'' [[Hadabu ya Taifa]]: nara-pengine kwa historia <br /> ([[Pengine pia utamaduni wakanisa la ethiopia]]:<br /> ''</small>
|
| [[Antili Horseshoe Bat]]
|-
|
| align=center colspan=2 | [[Picha:LocationEthiopia.png|Location of Ethiopia]]
|
| [[Simba]]
|-
|
| '''[[Lugha za Taifa]]'''
|
| [[Kiamhara]] <br />
| [[Moorland Shrew]]
|-
|
| '''[[Mji Mkuu]]'''
|
| [[Addis Ababa]]
| [[Morris's Bat]]
|-
|
| '''[[Rais wa Ethiopia|Rais]]'''<br />[[Waziri Mkuu wa Ethiopia|Waziri Mkuu]]
|
| [[Girma Wolde-Giorgis]]<br />[[Meles Zenawi]]
| [[Mouse-tailed Bat]] arter
|-
|
| '''[[Eneo]]'''<br />&nbsp;- Jumla <br />&nbsp;- 0.7% Maji
|
| [[Orotha ya nchi kulingana na eneo|Kadiriwa 27 duni]] <br /> 1,127,127 [[square kilomita|km&sup2;]] <br /> Acha
| [[Natal Free-tailed Bat]]
|-
|
| '''[[Watu]]'''<br />&nbsp;- Kadiriwa ( [[37 duni]] )<br />&nbsp;- Jumla ([[73,053,286]] )<br />&nbsp;- Umma kugawa na Eneo [[167.9]]
|
| [[Orotha ya Nchi kulingana na Umma|Kadiriwa 16 duni]] <br /> 73,053,286<br />73,053,286 <br /> 38/km&sup2; ([[Orotha ya nchi kulingana na chumo cha umma na eneo|103 duni])
| [[Nikolaus's Mouse]]
|-
|
| '''[[Orotha ya nchi GDP (kidogo)|GDP]] [[Chumo cha uchumi|(PPP)]]'''<br />&nbsp;- Jumla<br />&nbsp;- kwa kipimo cha umma<br />
|
| [[72]] kadir<br />$59,930,000,000 ([[Orotha ya nchi GDP (kidogo)|223]]) <br />$800 ([[Orotha ya nchi kulingana na GDP kwa umma|223]])
| [[Patrizi's Trident Leaf-nosed Bat]]
|-
|
| '''[[Uhuru]]'''<br />&nbsp;- Kadirifu<br />&nbsp;- Barabara
|
| [[Madaraka)]]<br />&nbsp;siku kuu [[Siku ya Ukombozi]]<br />&nbsp;
| [[Red-fronted Gazelle]]
|-
|
| '''[[Fedha]]'''
|
| [[Ethiopian birr|Birr]]
| [[Rupp's Mouse]]
|-
|
| '''[[Saa za Eneo]]'''
|
| [[Masaa za kimataifa|UTC]] +3
| [[Scott's Mouse-eared Bat]]
|-
|
| '''[[Wimbo wa Taifa]]'''
|
| ''[[Wodefit Gesgeshi, Widd Innat Ityopp'ya]]<br />(Songa mbele, Ewe mama Ethiopia) ]]''
| [[Soemmerring's Gazelle]]
|-
|
| '''[[mtandao wa interneti|Intaneti TLD]]'''
| [[.et]]
| [[Speke's Gazelle]]
|-
|
| '''[[Orotha za nchi- kodi za simu|kodi za simu]]'''
| 251
| [[Spotted-necked Otter]]
|-
|
|
| [[Stripe-backed Mouse]]
|}
<ref>[108] ^ (IUCN Orodha nyekundu ya wanyama walio katika hatari ya kuangamia)</ref>
'''Ethiopia''' (kwa [[Kiamhara]] ኢትዮጵያ ''Ityopp'ya''; kwa [[Kiswahili]] pia "'''Uhabeshi'''") ni nchi ya Afrika ya Mashariki iliyoko kwenye [[Pembe ya Afrika]]. Ni nchi ambayo ina historia ya pekee [[Afrika]] na hata duniani kwa ujumla. Ethiopia ni nchi pekee ya Afrika ambayo haikutawaliwa na [[wakoloni]] wakati walipong’ang’ania Afrika (580m na 53 inchi). Kabla ya [[Vita Kuu ya Pili ya Dunia]] Ethiopia ilivamiwa na [[Italia|Waitalia]] lakini ilipata uhuru wake tena baada ya miaka michache.
Kuna spishi 31 zilizo kwenye hatari ya kuangamia kumaanisha kwamba mnyama huwa katika eneo la mazingira asili fulani, katika hali hii nchini Ethiopia. <ref name="Massicot"></ref> Kihistoria mbwa wa mwituni alikuwa ameenea sana katika nchi ya Ethiopia, hata hivyo, ushahidi wa mwisho huko [[Fincha,]] unaonyesha kwamba mnyama huyu hayupo tena ndani ya Ethiopia. Pengine mbwa mwitu wa Ethiopia ndiye mnyama aliyefanyiwa utafiti mingoni mwa wanyama waliohatarini.
 
== Jina la nchi ==
Asili ya jina "'''Ethiopia'''" haijulikani. Kuna maelezo mbalimbali lakina yote yanakosa uhakika. Hilo ni sawa pia kwa jina la pili la kihistoria ambalo ni "Habasha".
 
Ethiopia mara nyingi linaelezwa kuwa neno la [[Kigiriki]] cha Kale Αἰθιοπία ''Aithiopia'' lililotokana na Αἰθίοψ "Aithiops" ; maana yake "uso" (ὄψ) "kuwaka" (αιθw) hivyo labda "uso uliochomwa" ama sura nyeusi. Lakini jina hili halikumaanisha hasa nchi ya Ethiopia ya leo lakini nchi zote zenye watu wenye rangi nyeusinyeusi. Kwa muda mrefu watu wa [[Ulaya]] waliita Afrika yote kwa jina "Ethiopia". Pia si wazi kama neno la Kiafrika lenye maana tofauti limechukuliwa na Wagiriki kwa maana ya neno lao la "aithiops".
 
====Mbwa mwitu wa Ethiopia====
Nchi yenyewe ilijulikana kwa muda mrefu wa historia yake kwa jina la '''Habasha'''. Habasha ilikuwa jina la [[Kiarabu]] kwa ajili ya nchi ikaingia kama "Uhabeshi" kwa Kiswahili au "Abisinia" katika lugha za Ulaya. Asili ya jina hilo haliko wazi; wengine husema ni Kiarabu na kumaanisha "chotara"; wengine husema ni katika lugha ya kale ya nchi yenyewe kumaanisha "nchi kwenye nyanda za juu"; tena wengine wanadai kwamba jina limetoka Uarabuni wa kusini lilipokuwa jina la [[kabila]] moja lililohamia na watu walioleta [[lugha za kisemiti]] Ethiopia.
[[File:EthiopianWolf1.jpg|thumb|left|150px|Mbwa mwitu wa Ethiopia.]]
Idadi ya mbwa mwitu wa Ethiopia inapungua kwa kasi mno. Mbwa mwitu waliobaki wamepungua hadi chini ya 500 siku hizi kutokana na shinikizo kutoka kwa kilimo, mwinuko wa maeneo ya lishe, kuchanganywa na mbwa wa kufugwa, mateso ya moja kwa moja, na magonjwa kama vile kichaa cha mbwa. <ref>[110] ^ Humber, David (1996). Mradi wa uhifadhi wa Ethiopia. Ilitolewa tarehe 24 Mei 2008, kutoka kwa shirika la Uhifadhi wa wanyamapori la Afrika . http://www.africanconservation.org/ethiopia1.html</ref> MKM(Mradi wa Kuhifadhi Mbwa wa Mwituni) hujishughulisha kikamilifu katika kutunza [[hifadhi]] hii [[ya spishi.]] <ref name="Marino"> Marino, Jorgelina (2003). Mbwa mwitu wa Ethiopia waliokatika hatari ya kuangamia. Ilitolewa tarehe 24 Mei 2008, kutoka kwa shirika la Wildcru. http://www.wildcru.org/research/es/ethiopianwolf/Marino% 20Oryx% 202003.pdf</ref> Wanasayansi wanaoshughulikia muradi huu wamegundua kwamba spishi hii ina kinga dhidi ya athari za idadi ndogo zikumbazo idadi ndogo ya wanyama, na uwezo wa kuepuka kusambaratika. <ref name="Marino"></ref> Utafiti wa mwaka wa 2003 uliofanyiwa mbwa wa mwitu wa Ethiopia ulidokeza kuwa ufunguo wa maisha yake unakaa katika kupata makazi na kunusurisha idadi yake kutokana na madhara ya watu, mifugo na mbwa wa nyumbani. <ref name="Marino"></ref> Maingiliano baina ya watu na mbwa mwitu wa Ethiopia yamekuwa yanazidi kutishia hifadhi yao kwa kuwa maingiliano haya hasi yanaongezeka kadri idadi ya watu inavyozidi kuongezeka. Mwingiliano na binadamu ni pamoja kuwekea sumu, kuwatesa kama njia ya kuwadhuibu kwa kupoteza mifugo yao, na kuuawa barabarani. <ref>[114] ^ Mradi wa uhifadhi wa mbwa mwitu wa Ethiopia. Ilitolewa tarehe 7 Juni 2008 kutoka kwa
Tovuti ya EWCP 2005. www.ethiopianwolf.org</ref> Sehemu za milima ni muhimu sana lwa mbwa mwitu wa Ethiopia kwa kuwa huwapa makazi mazuri. <ref name="Marino"></ref> Kumlinda kiumbe huyu wa kipekee inahusu kupatikana kwa sehemu za hifadhi ambapo michakato ya ekolojia imetunzwa katika mazingira, na kutatua na kukabiliana na changamoto za kuishi za moja kwa moja (mateso ya binadamu, kutawanyika kwa mbwa mwitu, na kutangamna na mbwa wa kufugwa.) Wanabiolojia pia wanapendekeza azma ya kuhifadhi kiwango cha aina mbalimbali cha spishi hii kwa miaka 100 kisichopungua asilimia 90%, hali ambayo huenda ikahitaji kuanzisha uzalishaji wa kuteka wa kiini cha Nucleus I cha wanyama hawa (ikiwezekana katika nchi ya Ethiopia). Matamanio haya yanaandamwa na kundi liitwalo Ethiopian Wolf Recovery Programme(EWRP). <ref> Sillero-Zubiri, Claudio na Macdonald, David. (2002) Mbwa mwitu wa Ethiopia. Rudishwa tarehe 20 Mei 2008, kutoka Canids tovuti. http://www.canids.org/PUBLICAT/EWACTPLN/ewaptoc.htm</ref>
 
Kumbukumbu ya Ethiopia kwa lugha ya kale ya [[Ge'ez]] yasema kuwa jina latoka kwa mtoto wa [[Hamu]] mwenye jina la "'Ityopp'is" asiyetajwa katika [[Biblia]]. Kumbukumbu inadai kuwa yeye alijenga mji wa Aksum. Lakini habari hii si ya kihistoria ila tu jaribio mojawapo la kuunganisha wafalme wa [[Aksum]] na [[Historia ya Wokovu]].
 
 
====Kuhamasisha watu====
== Historia ==
Mipango kadhaa ya hifadhi inatekelezwa nchini Ethiopia ili kuokoa spishi hii ambayo iko katika hatari ya kuangamia. Kundi la Chama cha Historia Asilia ya Wanyama mwitu wa Ethiopia (Ethiopian Wildlife and Natural History Society) ambalo linajishughulisha na kustadi na kukuza mazingira asili ya Ethiopia pamoja na kueneza elimu wanayopata, na kusaidia katika kuunda sheria ya kuhifadhi rasilimali ya mazingira lilianzishwa mwaka 1966. <ref> Humber, Daudi (1996). Mradi wa uhifadhi wa Ethiopia. Ilitolewa tarehe 24 Mei 2008, kutoka kwa shirika la Uhifadhi wa wanyamapori la Afrika . http://www.africanconservation.org/ethiopia1.html</ref>
 
=== Historia ya awali ===
Historia ya [[binadamu]] katika Ethiopia ilianza mapema kabisa. Mifupa ya kale kabisa ya viumbe jamii ya watu imepatikana katika nchi hizi kwa sababu zilihifadhiwa katika mazingira yabisi ya nchi hizi. Wataalamu wengi huamini ya kwamba Ethiopia (pamoja na [[Kenya]] na [[Tanzania]]) inaweza kuwa mahali ambako watu wa aina ya [[Homo Sapiens]] walianza kupatikana duniani.
 
Kuna mashirika mengi ya hifadhi ambayo mtu anaweza kuyapata kwenye mtandao, ambayo yanahusiana moja kwa moja na mbwa mwitu wa Ethiopia. Ufadhili huu husaidia Mfuko wa juhudi za Ulimwengu za kuhifadhi wanyama pori duniani . Asilimia (83%) ya fedha ambazo hupatikana hutumika kwenye juhudi za uhifadhi, ilhali ni asilimia 6% tu ya fedha hizo ambayo hutumika kugharamia matumizi ya kifedha na utawala. Asilimia 11% ya fedha ambazo husalia hutengewa mchango ambao ni muhimu sana. Mwenyekiti wa halmashauri ya Mfuko wa Wanyamapori Duniani, Bruce Babbitt anashikilia kwamba shirika hili lina wajibu wa kutekeleza majukumu yao, utawala na uwazi katika ngazi zote za shirika hilo. <ref> Babbit, Bruce (2008). Shirika la Wanyamapori Duniani. Ilitolewa tarehe 25 Mei 2008, kutoka tovuti ya Shirika la Hifadhi ya Wanyamapori Duniani. http://www.worldwildlife.org/who/index.html</ref>
Kuna mabaki mbalimbali ya kiutamaduni yanayochunguzwa na [[akiolojia]], lakini sehemu kubwa ya nchi haijaangaliwa bado kitaalamu. Inaonekana kwamba katika karne za K.K. kulikuwa na uhusiano wa karibu na [[Uarabuni]] kwa sababu lugha za Kiethiopia ni karibu na lugha za upande mwingine wa [[Bahari ya Shamu]]. Inaaminiwa kwamba watu kutoka Uarabuni Kusini walihamia Ethiopia na kuleta lugha yao huko.
 
Biblia ina taarifa juu ya ya ziara ya [[malkia wa Sheba]] aliyemtembelea mfalme [[Suleimani]] wa [[Yerusalemu]]. Milki ya Sheba imedaiwa kuwepo ama Ethiopia au [[Yemen]] na wengine huamini ya kwamba ilikuwa [[dola]] la pande zote mbili za [[mlangobahari]] wa [[Bab el Mandeb]] unaotenganisha [[Eritrea]] ya leo na Uarabuni Kusini.
 
Njia muhimu ya kuwasidia kuishi, walio katika hatari ya kuangamia itakuwa ni kulinda makazi yao ya kudumu kupitia kwa hifadhi za mbuga za wanyama za serikali, maeneo ya pori na hifadhi asili. Kwa kulinda sehemu ambazo wanyama wanaishi uwezekano wa kuingiliwa na binadamu hupungua. Kulinda mashamba, na sehemu yoyote ile kando kando mwa barabra ambayo huficha wanyama husaidia katika kuhimiza hifadhi. <ref> Kurpis, Lauren (2002). Sababu zinazoleta hali hii ya wanyama kuwa katika hatari ya kuaangamia. Ilitolewa Mei 25, 2008, kutoka kwa tovuti ya spishi zilizo katika hatari ya kuangamia. http://www.endangeredspecie.com/Ways_To_Help.htm</ref>
=== Historia ya Kale ===
Milki ya kwanza ya Ethiopia inayoweza kutajwa kutokana na mabaki ya majengo na maandishi ilikuwa milki ya [[D'mt]] (pia: Da'amot) katika Ethiopia ya kaskazini pamoja na Eritrea ya leo. Kuna mabaki ya [[hekalu]] la Yeha pamoja na makaburi ambako majina ya wafalme kadhaa yamehifadhiwa kwa maandishi kwenye mawe. Lugha ilikuwa karibu sana na lugha za kale za Uarabuni. Ilikuwa na athira juu ya sehemu za kaskazini ya Ethiopia kwa kipindi kikubwa cha [[milenia]] ya kwanza [[KK]].
 
Ilifuata milki kubwa ya [[Aksum]], iliyoanzishwa wakati wa kuzaliwa [[Yesu]]. [[Ufalme wa Aksum]] ulikuwa milki ya kwanza kutawala maeneo makubwa ya Ethiopia. [[Nabii]] Mwajemi [[Mani]] aliuweka [[Ufalme wa Aksum|Axum]] kwa utukufu, kama [[Roma]], [[Uajemi|Milki ya Wajemi]], na [[Uchina]] kama nchi zilizokuwa na nguvu duniani [[karne ya 3]] [[BK]] alipoishi.
 
Ilikuwa karne ya nne [[Anno Domini|AD]] ambapo Syro-Mgiriki alikuwa amepotelea baharini kutokana na kuzama kwa [[jahazi]]. [[Frumentius]] alishikwa na Wahabeshi na kupelekwa kortini na baadaye kumuongoa mfalme [[Ezana]] kwa [[Ukristo]]. Kwa hivyo Wahabeshi wakampa jina ''Abba Selama''. Mara nyingi [[karne ya 6]] Axum ilitawala eneo ya [[Yemeni]] kwa kuvuka [[Bahari ya Shamu]].
 
===Ukataji miti===
Aksum ilistawi hasa kutokana na [[biashara]] kati ya [[Mediteranea]] na [[Bara Hindi]] iliyopita kwenye Bab el Mandeb ikatumia bandari ya [[Adulis]] (karibu na [[Massawa]] ya leo nchini Eritrea).
{{Main|Environmental issues in Ethiopia}}
Ukataji miti ni sehemu nyeti kwa nchi ya Ethiopia kama tafiti zinavyoonyesha, kupoteza misitu kunachangia mmomonyoko wa udongo, kupoteza rutuba ya udongo, na kupoteza makazi ya wanyama na kupunguza wingi wa viumbe. Mwanzoni mwa karne ya ishirini karibu eneo la upana wa 420 000 km ² au 35% la ardhi ya Ethiopia lilifunikwa kwa miti lakini utafiti wa hivi karibuni unaonyesha kwamba sehemu ya msitu iliyofunikwa na miti ni takribani asilimia 11.9% ya eneo hilo. <ref>[121] ^ Mongabay.com Takwimu za Ethiopia. (nd).Ilitolewa Novemba tarehe 18, 2006, kutoka http://rainforests.mongabay.com/deforestation/2000/Ethiopia.htm.</ref> Ethiopia ni mojawapo ya nchi ya vituo saba huru na vya kimsingi vya asili ya mimea inayolimwa duniani.
 
Uenezaji wa [[Uislamu]] ulivuruga biashara hiyo na Aksum ilipoteza utawala juu ya pwani. Kuporomoka kwa uwezo wa kibiashara kunaonekana katika kusimamishwa kwa uchapaji [[pesa]] ya wafalme wa Aksum katika [[karne ya 7]] BK. Nchi ilishambuliwa pia kutoka milki za barani.
 
Ethiopia hupoteza kwa wastani eneo 1 410 km ² la misitu asili kila mwaka. Kati ya mwaka 1990 na 2005 nchi ya Ethiopia ilipoteza takriban eneo 21 000 km ² la misitu. {{Citation needed|date=February 2008}}
Mabaki ya ufalme wa Aksum yaliharibiwa mnamo mwaka 900 wakati na malkia Gudit au Judit aliyekuwa ama Myahudi au kiongozi wa makabila ya kipagani kutoka nyanda za juu.
 
=== Milki ya Ethiopia ===
Kiongozi wa kabila la Agaw alimwoa binti wa mfalme wa mwisho wa Aksum akaanzisha [[nasaba]] ya Zagwe na kuunda upya ufalme wa Kikristo katika nyanda za juu. Kitovu cha ufalme huu kilipelekwa zaidi mbali na pwani.
 
Mipango ya serikali ya sasa ya kuzuia ukataji miti inahusisha kuelimisha umma, kuendeleza mipango na kupanda miti na kutoa mbadala wa malighafi ya mbao. Katika maeneo ya vijijini srikali pia hutoa nishati isiyo ya kuni na kutoa mashamba yasiyo ya misitu ili kuendeleza kilimo bila kuharibu mazingira ya misistu.
Nasaba hii ilipinduliwa mnamo [[1270]] na Yekuno Amlak aliyetumia jina la kifalme Tasfa Iyasus. Alianzisha nasaba iliyojiita "Wya Suleimani" kwa kudai ilikuwa ukoo wa mwana wa mfalme Suleimani na malkia wa Sheba. Tasfa Iyasus alitumia cheo cha [[Negus Negesti]] ("Mfalme wa Wafalme").
 
Enzi ya Mfalme [[Lebna Dengel]], Ethiopia iliweza kuwasiliana na Nchi za Ulaya na kudumisha ubalozi na nchi kama [[Ureno]]. Hayo yalikuwa maendeleo makubwa, kwa sababu Ethiopia ilipovamiwa na [[Wasomali]], [[Jenerali]] [[Imam]], [[Ahmad ibn Ibrihim al-Ghazi]] (aliyeitwa ''Grani'', ama "Kushoto"), Ureno ilimjibu Mfalme Lebna Dengel's, alipoomba msaada kwa kumtumia [[jeshi]] la [[wanaume]] 400, ambao walimsaidia kijana wake [[Gelawdewos wa Uhebeshi|Gelawdewos]] kumshinda Ahmad na kuimarisha uongozi wake. Lakini, Mfalme Susenyos alipojiunga na [[Kanisa Katoliki]] mwaka 1622, chakari na misukosuko ilifuata. Wamisionari [[Jamii ya Yesu|Wajesuiti]] walichukiwa na waamini wa [[Kanisa la Ethiopia]], na katika hiyo [[karne ya 17]] Susenyos mwana wa Mfalme [[Basil wa Ethiopia|Basil]] aliwafukuza wanamisheni hao.
 
Mashirika kama vile SOS na Farm Afrika yanashirikiana na serikali za majimbo na serikali za mitaa ili kuunda mfumo wa usimamizi wa misitu. <ref> Parry, J (2003). Wakwea miti wagauka kuwa wapanda miti. Teknolojia mwafaka, 30 (4), 38-39. Ilitolewa Novemba tarehe 22 mwaka 2006, kutoka kwa hifadhi ya data ABI/ INFORM Global database. (Nambari ya chapisho: 538367341).</ref> Ikitumia ruzuku ya takriban yuro milioni 2.3, serikali ya Ethiopia hivi karibuni ilianza kufunza watu kuhusu kupunguza mmomonyoko wa udongo na kutumia mbinu mwafaka za unyunyiziaji maji ambazo hazichangii ukataji miti. Mradi huu unasaidia zaidi ya jamii 80.
Baadaye [[Waoromo]] wakaanza kuasi amri ya Kanisa la Ethiopia na kutafuta njia za [[dini]] yao, eneo hii ya Uhebeshi.
 
Mambo hayo yote yalifanya Ethiopia itengwe miaka ya karne 1700. Wafalme wakawa kama wakurugenzi, ambao waliamriwa na masharifu kama Ras [[Mikael Sehul]] wa [[Tigrinya]]. Ethiopia ilitoka kutoka utengo kwa kufuatia misheni ya [[Uingereza]] kufika Ethiopia na kukamilisha muungano kati ya nchi hizi mbili; lakini, hadi milki ya [[Tewodros II wa Ethiopia|Tewodros II]] ndipo Ethiopia ilipoanza tena shauri za Duni.
 
[[Picha:Early nineteenth century warriors Colour.jpg|thumb|250px|left|Mashujaa Ethiopia karne ya 1800]]
 
==Uchumi==
Miaka ya 1880 ilikuwa miaka ya Ulaya kung’ang’ania ukoloni Afrika ambapo Waitalia na Waingereza walitafuta kutawala eneo la [[Assab]], bandari iliyoko karibu na mdomo wa bahari ya Shamu. Bedari ya Kusini, karibu na kiingilio cha bahari ya Shamu, ilinunuliwa na Waitalia kutoka [[sultani]] mwenyeji Machi 1870 ambayo mwaka [[1882]] ilizaa koloni la [[Eritrea]]. Haya yalizua magombano kati ya Waethiopia na Waitalia na [[Vita vya Adowa]] mwaka [[1896]], ambapo Waethiopia walishtua dunia kwa kupiga nguvu za wakoloni na kulinda madaraka yao kwa uongozi wa [[Menelik II]]. [[Italia]] na Ethiopia zilisaini [[mkataba wa amani]] tarehe [[26 Oktoba]] 1896.
{{Main|Economy of Ethiopia}}
{{See also|Foreign aid to Ethiopia}}
Kwa mujibu wa ''The Economist'' Ethiopia ina uchumi unaokua kwa kasi zaidi duniani. Kiwango cha pato la kila mwaka kwa kila mwananchi wa Ethiopia katika mwaka 2007 na 2008 kimekua kwa haraka na ndicho kiwango kikubwa katika nchi ya Afrika isiyotegemea mafuta. <ref>{{cite web|url=http://www.afrol.com/articles/28991 |title=Ethiopia sees Africa's fastest growth |publisher=Afrol.com |date= |accessdate=2009-03-16}}</ref> Tangu mwaka 1991, kumekuwa na majaribio ya kuboresha uchumi, hata hivyo, kumekuwepo upinzani wa kisiasa kuhusu sera, vile vile ukame wa mwaka 2008 ambao ulikokota maendeleo. <ref>{{cite web|url=http://www.terradaily.com/reports/Six_million_children_threatened_by_Ethiopia_drought_UN_999.html |title=Six million children threatened by Ethiopia drought: UN |publisher=Terradaily.com |date= |accessdate=2009-03-16}}</ref> Ufanisi wa sera hizi unajidhihirisha katika ukuaji wa uchumi kwa asilimia kumi kila mwaka kuanzia mwaka 2003-2008. Licha ya maendeleo haya ya kiuchumi, suala la uaskini vijijini na mijini limesalia kuwa tatizo kubwa.
 
[[Karne ya 20]] miaka ya kwanza ilimilikiwa na Mfalme [[Haile Selassie wa Ethiopia|Haile Selassie I]], aliyechukua nafasi ya kuendeleza Ethiopia mpaka uongozi wake ulipokatizwa kwa [[Vita vya pili vya Uhabeshi na Waitalia]] ([[1936]]). [[Waingereza]] na wazalendo wa Jeshi la Ethiopia wakakomboa nchi mwaka [[1941]], na Waingereza kukiri madaraka ya Ethiopia kwa [[mkataba wa Uingereza na Ethiopia]] mnamo [[Disemba]] [[1944]].
 
Ni kinaya kuwa Ethiopia hujulikana kama "mnara wa maji" wa Afrika Mashariki kwa sababu ya mito mingi(14 mikubwa) mito amabayo humwaga maji yake sehemu kubwa tambarare. Aidha ina hifadhi kubwa zaidi ya maji barani Afrika, lakini pamewekwa mifumo haba ya unyunyiziaji maji ili kutumia maji hayo. Ni asilimia 1% tu ndiyo hutumika katika kuzalisha nguvu za umeme na asilimia 1.5% kunyunyizia mashamba. <ref>[130] ^ [http://news.bbc.co.uk/2/hi/programmes/this_world/3359367.stm "Water towers of" East Africa]</ref>
Milki ya Haile Selassie ilikoma mwaka [[1974]], ambapo wazalendo [[Wakomunisti]] ("[[Derg]]") walimpindua na kuanzisha [[serikali ya kikommunisti]]. Hii ilifuatwa na msukosuko wa [[kupindua serikali]], vita na migogoro pamoja na [[ukame]] na shida za [[wakimbizi]].
 
Mwaka [[1977]] [[Somalia]] ilivamia eneo la Ogaden ([[Vita vya Ogaden]]), lakini Ethiopia iliweza kuwafukuza Wasomali kwa msaada wa vifaa vya kijeshi vya [[Urusi]], na majeshi ya [[Kuba]], [[Ujerumani wa mashariki]] na [[Yemeni]]. Usaidizi mwingi kutoka Nchi za Kikomunisti uliwezesha Ethiopia kudumisha mojawapo ya majeshi kubwa Afrika.
 
Kihistoria, uchumi wa Ethiopia wenye muundo wa kikabaila na kikomunisti huikinga dhidi ya msimu mmoja usio na mvua kutoka kwa ukame mbaya. Lakini Ethiopia ina uwezo mkubwa na ni mojawapo ya nchi zenye rutuba nzuri. Kulingana na gazeti la New York Times, Ethiopia "inaweza kuwa ghala la Ulaya kwa urahisi iwapo kilimo chake kingepangwa vizuri." {{fact}}
Lakini hii haikuzuia [[Ukereketwa]] wa Mkoa wa Eritrea na [[Tigrinya|Tigray]], ambapo ukame wa mwaka 1985 na mapinduzi wa siasa hasa kwa Kambi za Ujamaa, zilileta uongozi wa Derg [[1991]] kukoma. Chama cha kukomboa Eritrea (EPLF) na [[Chama cha Mapinduzi cha Kidemokrasi Ethiopia]] (EPRDF), ziliungana kukomboa Ethiopia, wengi wa wanamgambo wakiwa wakombozi wa Eritrea.
 
Mwaka [[1993]], mkoa wa [[Eritrea]] ukawa huru kutoka Ethiopia, kufuatia [[kura ya maoni]] iliyofanywa ili kumaliza vita hii iliyodumu miaka 20, mojawapo kati ya migogoro ya muda mrefu zaidi Afrika.
 
Utoaji wa huduma za mawasiliano ya simu umeachiwa shirika moja la serikali. Ni msimamo wa serikali ya sasa kuwa, kudumisha kumiliki kwa serikali sekta hii nyeti ni muhimu, ili kuhakikisha kuwa miundombinu na huduma za mawasiliano zinapanuliwa hadi vijijini, ambavyo havingewavutia wawekezaji wa kibinafsi.
Mwaka [[1994]], Ethiopia kaiweka Katiba mpya ambayo ilileta uchaguzi wa kidemokrasia.
 
Mwaka [[1998]] magombano ya mipaka na Eritrea yalileta [[Vita vya Eritrea na Ethiopia]] ambayo ilidumu hadi [[Juni]] [[2000]]. Vita hivi vilileta uvivu wa uchumi na nguvu ya muungano unaongoza nchi.
 
[[File:Mymom52^.jpg|thumb|left|Wakulima wa kahawa wanajaza vikombe na kahawa]]
Mnamo [[15 Mei]] [[2005]], katika [[Uchaguzi wa Ethiopia, 2005]], EPRDF ilitokea iking’ang’ania uongozi. Tarehe za kwanza Juni na tena Novemba, [[polisi]] kwa amri ya EPRDF wakafyatua risasi na kuua watu kwa maandamano yaliyokuwa yakipinga matokeo ya kura.
 
== Siasa ==
 
[[Katiba]] ya Ethiopia inafafanua haki ya kumiliki ardhi kama mali ya "serikali na raia" tu, lakini wananchi wanaweza tu kukodisha ardhi (hadi miaka 99), na hawawezi kuiweka rehani au kuuza. Inaruhusiwa kukodisha ardhi hadi miaka ishirini na hii inanuia kuhakikisha kwamba arhi inatumiwa na watu wanaozalisha zaidi.
Uchaguzi wa Ethiopia uliendekeza wanabaraza kwa viti 547 Bungeni. Baraza hilo la bunge lilijumuika Juni 1994 na kupitisha katiba mpya ya Jimbo la Demokrasia ya Jamhuri ya Ethiopia mnamo Disemba 1994. Uchaguzi huu ulikuwa wa kwanza kuchagua wanabaraza wa kitaifa kwa sifa bungeni na wanabaraza wa majimbo mnamo Mei na Juni [[1995]]. Vyama vingi vya upinzani viligoma kushiriki uchaguzi. Ushindi ulichukuliwa na Chama cha Mapinduzi cha Kidemokrasi Ethiopia (EPRDF). Umoja wa Mataifa ukasema vyama vya upinzani vingeweza kushiriki uchaguzi kama zingetaka.
 
Serikali ya Majimbo ya Demokrasia ya Jamhuri ya Ethiopia ilichukua mamlaka mnamo Agosti 1995. Rais wa kwanza [[Negasso Gidada]]. EPRDF ikaongoza serikali na Waziri Mkuu [[Meles Zenawi]] ambaye ameunga mkono majimbo ya kikabila, na kuwapa madaraka viongozi wa kikabila. Ethiopia sasa ina maeneo 9 ambayo yana serikali ya [[madaraka ya shirika]], na hata majimbo haya yanakubaliwa kutoza ushuru na kutumia [[akiba ya ushuru]]. Hii aina ya serikali imefanya Waethiopia kupata uhuru wa siasa lakini [[Uhuru wa idhaa na gazeti]] bado umefinyiliwa.
 
Kilimo huchangia asilimia 41 ya jumla ya [[pato la nchi]] (GDP), asilimia 80 ya mauzo ya nje, na asilimia 80 ya ajira. {{Citation needed|date=February 2008}} Shughuli nyingine nyingi za kiuchumi zinategemea kilimo , shughuli hizi ni pamoja na masoko, utengenezaji badhaa, na mauzo ya nje ya mazao ya kilimo. Uzalishaji wa wakulima wadogo wadogo na wawekezaji umeongezeka sana na sehemu kubwa ya mauzo ya nje ya bidhaa yanatokana na sekta ndogo ya ukulima wa mimea msingi ya kuuzwa. Mimea msingi ni pamoja na [[kahawa,]] aina ya kunde ''(k.m.,'' maharage), [[punje za mafuta, nafaka]], viazi, [[miwa,]] na mboga. Siku za hivi karibuni, Ethiopia imekuwa na ongezeko la pato la taifa (GDP) na ilikuwa nchi ambayo pato lake la taifa lilikua kwa kasi zaidi barani Afrika, katika mwaka wa 2007 miongoni mwa nchi sisizotegemea mafuta. <ref>{{cite web | first = Tamrat G. | last = Giorgis | title = IMF Positive on Ethiopia’s Growth Outlook | publisher = Addis Fortune | date = 2007-01-27 | url = http://www.addisfortune.com/IMF%20Positive%20on%20Ethiopia%92s%20Growth%20Outlook.htm | accessdate = 2008-02-02}}</ref> <ref>{{cite web | title = Ethiopia has fastest growing African economy that is not Oil dependent | publisher = Jimma Times | date = 2008-01-09 | url = http://www.jimmatimes.com/article.cfm?articleID=17566 | accessdate = 2008-02-02}}</ref> Karibu mauzo yote ya nje ni mazao ya kilimo, na kahawa ndiyo huleta fedha nyingi za kigeni. Ethiopia ndiyo nchi ya pili barani Afrika kwa uzalishaji mahindi. <ref>{{cite news | title = Get the gangsters out of the food chain | publisher = The Economist | date = 2007-06-07 | url = http://www.economist.com/world/africa/displaystory.cfm?story_id=9304411 | accessdate = 2008-02-02}}</ref> Idadi [[ya mifugo]] nchini Ethiopia inaaminika kuwa ndiyo kubwa zaidi barani Afrika, na kufikia mwaka 1987 ilichangia asilimia 15 ya Pato la Taifa (GDP). {{Citation needed|date=February 2008}} Kwa mujibu wa Ripoti ya Umoja wa Mataifa ya hivi karibuni, Pato la Taifa kwa kila mwananchi limefikia dola 1,541 (2009). Ripoti hiyo aidha ilionyesha kuwa kiwango cha matumaini ya kuishi cha binadamu kilikuwa kimeongezeka kiasi kikubwa zaidi katika miaka ya hivi karibuni. Kiwango cha matarajio ya wanaume kushi kiliripotiwa kuwa ni miaka 52 na wanawake miaka 54.
Serikali ya Zenawi ilichaguliwa tena mwaka 2000 kwa uchaguzi wa kwanza wa Kidemokrasia, Rais akiwa [[Girma Wolde-Giorgis]].
 
Kutoka [[1991]], Ethiopia imetafuta urafiki zaidi na [[Marekani]] na [[Umoja wa Ulaya]], ili kuweza kukopa pesa za kusaidia uchumi wake na pia kutoka [[Benki ya Dunia]].
 
Mwaka [[2004]], serikali ilianza kuhamisha watu kutoka maeneo ya ukame wakisema hii itazuia njaa. [http://news.bbc.co.uk/1/hi/in_pictures/3640227.stm].
 
===Mauzo ya nje===
[[Uchaguzi]] mwingine wa Ethiopia ulikuwa Mei [[2005]], ambao ulivutia wapigakura kiasi cha juu zaidi, asilimia 90% ya wananchi waliojiandikisha. Watazamaji wa [[Umoja wa Ulaya]] walidai uchaguzi hajafikia kiwango cha kimataifa, lakini [[Umoja wa Afrika]] ulitoa ripoti tarehe 14 Septemba kwamba Waethiopia walionyesha kujitokeza na adabu ya kidemokrasia, halafu tarehe 15 Septemba, US Carter Center, kasema matokezi ya uchaguzi yaaminika na kuonyesha ushindani wa kisiasa. Uangalizi na ushuhuda wote ulimalizia kuranki Uchaguzi wa Ethiopia na kesi nyingine waipa, asilimia 64% ya motokeo mazuri, na vizuri zaidi kulingana na kesi nyingine 24%".
Ethiopia ndiyo iliyokuwa asili ya kahawa, kahawa ndiyo bidhaa inayouzwa nje ya nchi zaidi. <ref>{{cite news |first= |last= |authorlink= |coauthors= |title=Starbucks in Ethiopia coffee vow |url=http://news.bbc.co.uk/1/hi/business/6225514.stm |quote=Starbucks has agreed a wide-ranging accord with Ethiopia to support and promote its coffee, ending a long-running dispute over the issue. ... Ethiopia is Africa's largest coffee producer, ahead of Uganda and the Ivory Coast, and coffee is its largest source of foreign exchange. |publisher=BBC |date=21 June 2007 |accessdate=2007-06-21 }}</ref>
 
Vyama vya upinzani vililalamika kwamba EPRDF iliiba kura na kuwazisha wananchi na kusema baraza 299, wapata hitilafu ya wizi wa kura. Hayo yote yalichunguzwa na Watazamaji wa Uchaguzi wa kimataifa na pia Kamisheni ya Uchaguzi Ethiopia. Matokeo ya uchunguzi huo kama haijatokea mnamo [[Juni 2005]], wanafunzi wa [[chuo kikuu]] walianza maandamano wakisaidiwa na wanamgambo wa Muungano wa Vyama vya Upinzani. Lakini serikali kwa kutoa amri ya kukomesha maaandamano, mnamo [[Juni 8]], watu 26 waliuliwa mjini [[Addis Ababa]] kwa msukosuko wa maandamano na wengine wengi kushikwa. Mnamo [[Septemba 5]], [[2005]], Kamisheni ya Uchaguzi Ethiopia, ilitoa matokeo na kusema kwamba (EPRDF) kashinda Uchaguzi na kwa hiyo iongoze serikali. Lakini vyama vya upinzani viliongezea viti bungeni kutoka 12 mpaka 176. Muungano wa umoja na demokrasi ulishinda viti vyote vya Addis Ababa, kwa Bunge la Taifa na [[Baraza la mtaala]].
 
Aidha Ethiopia ndiyo nchi ya 10 kwa uzalishaji mifugo duniani. Bidhaa nyingine za mauzo ya nje ni [[miraa,]] dhahabu, bidhaa za ngozi, na punje za mafuta. Maendeleo ya hivi karibuni katika sekta ya[[ ukulima wa maua]] inamaanisha kuwa Ethiopia inaweza kuwa mojawapo ya nchi zinazosafirisha zaidi maua na miti duniani kwa mauzo ya nje. <ref>{{cite news |first= |last= |authorlink= |coauthors= |title=Ethiopia's flower trade in full bloom
Maandamano yalizuka tena mitaani [[Novemba 1]], ambapo vyama vya upinzani viliitisha mgomo kwa jumla na pia kwa Bunge mpya, wakatae matokeo ya uchaguzi. Polisi tena walijaribu kuzuia maandamano hayo na watu 42 wakafa kwa misukosuko mjini Addis Ababa. Polisi saba pia wakafa na mwingine pia kafa kutokana na majeruhi ya mlipuko wa [[bomu]]. Tope la watu walishikwa na kufungwa jela. Februari 2006 watu elfu sita bado walikuwa jela wakingoja hukumu Machi.
|url=http://www.mg.co.za/articlePage.aspx?articleid=264689&area=/breaking_news/breaking_news__business/ |quote=Floriculture has become a flourishing business in Ethiopia in the past five years, with the industry's exports earnings set to grow to $100-million by 2007, a five-fold increase on the $20-million earned in 2005. Ethiopian flower exports could generate an estimated $300-million within two to three years, according to the head of the government export-promotion department, Melaku Legesse. |publisher=[[Mail & Guardian]] |date=19 February 2006 |accessdate=2007-06-21 }}</ref>
 
Mnamo 14 Novemba, Bunge la Ethiopia lilipitisha mkataba kuimarisha Kamisheni huru na kuchunguza visa vya Juni 8 na tarehe 1 na tarehe 2 Novemba. Februari 2006 Waziri mkuu wa Uingereza [[Tony Blair]], alitamka kwamba, EPRDF kashinda kura, lakini angetaka kuona Ethipia ikitatua shida zake yenyewe na iendelee katika njia ya demokrasia. [http://news.bbc.co.uk/1/hi/world/africa/4707232.stm].
 
Bidhaa za kisasa za ngozi pia zimekuwa biashara nzuri ya mauzo ya nje, kufuatia kukua kwa sekta ya kibinafsi poleole na Taytu ukiwa ndiyo muundo wa kwanza wa kifahari nchini Ethiopia. <ref>{{cite news |first= |last= |authorlink= |coauthors= |title=Ethiopia's designs on leather trade |url=http://news.bbc.co.uk/2/hi/business/6703551.stm |quote=The label inside the luxuriously soft black leather handbag reads Taytu: Made In Ethiopia. But the embroidered print on the outside, the chunky bronze rings attached to the fashionably short straps and the oversized "it" bag status all scream designer chic. |publisher=BBC |date= |accessdate=2007-06-21 }}</ref> Mauzo mengine ya mazao madogo madogo ni pamoja na nafaka, Maharagwe, pamba, miwa, viazi na ngozi. Ujenzi wa mabwawa mapya ya maji na ukuaji wa miradi ya umeme wa nguvu za maji nchini kote, umeiwezesha Ethiopia kuanza kuuza umeme nje ya nchi katika nchi jirani. <ref>{{cite web|url=http://www.waterpowermagazine.com/story.asp?sc=2037246 |title=water resource revenue potentials being tackled in ethiopia |publisher=Waterpowermagazine.com |date=2006-07-10 |accessdate=2009-03-16}}</ref> <ref>[148] ^ [http://english.people.com.cn/200604/12/eng20060412_257767.html largest hydroelectric power plant goes smoothly]</ref> <ref>{{cite web|url=http://www.addistribune.com/Archives/2004/02/27-02-04/New.htm |title=Hydroelectric Power Plant built |publisher=Addistribune.com |date= |accessdate=2009-03-16}}</ref> Hata hivyo, bado kahawa inasalia kuwa bidhaa yake muhimu kwa mauzo ya nje yenye jina jipya la mauzo kote duniani, ikiwa ni pamoja na makubaliano na kampuni ya [[Starbucks]], Serikali ya Ethiopia inatarajia kuongeza mapato yake kutokana na kahawa. <ref>{{cite web|last=Foek |first=Anton |url=http://www.alternet.org/story/51936/ |title=new coffee deal with Starbucks |publisher=Alternet.org |date=2007-05-16 |accessdate=2009-03-16}}</ref> Wengi huona wingi wa maji ya Ethiopia kama "Mafuta meupe" na rasilimali yake ya kahawa kama "dhahabu nyeusi". <ref>[154] ^ [http://www.ethiopianreporter.com/modules.php?name=News&amp;file=article&amp;sid=7303 Ethiopia water resources referred aas "White oil"] {{Dead link|date=March 2009}}</ref> <ref>{{cite web|author=Independent Online |url=http://www.int.iol.co.za/index.php?set_id=1&click_id=87&art_id=qw1145360700509B231 |title=Ethiopia hopes to power neighbours with dams |publisher=Int.iol.co.za |date= |accessdate=2009-03-16}}</ref>
== Mikoa ya Kujitawala ==
 
Ethiopia imegawiwa katika mikoa 9 ya mamlaka ya kikabila [[Jimbo]] (''kililoch''; umoja: ''kilil''), na maeneo 68.
 
Nchi ya Ethiopia aidha ina rasilimali nyini ya madini na uwezo wa mafuta katika baadhi ya maeneo yasiyokaliwa na watu wengi; hata hivyo, migogoro ya kisiasa katika maeneo hayo imetinga maendeleo. Wanajiolojia wa Ethiopia walihusishwa kwenye kisa cha wizi wa dhahabu mwaka 2008. Wanakemia wanne na wanajiolojia kutoka Usorovea wa Ardhi ya Ethiopia walikamatwa kuhusiana na kashfa ya dhahabu bandia, kufuatia malalamiko kutoka kwa wanunuzi kutoka Afrika Kusini. Kwa mujibu wa tovuti ya Mtandao wa Sayansi na Maendeleo, vyuma vya dhahabu kutoka Benki ya Kitaifa ya Ethiopia viligunduliwa na polisi kuwa vilikuwa vimepakwa chuma, na kuigharimu serikali takribani Dola za Kimarekani Milioni 17. <ref>{{cite web|url=http://www.scidev.net/en/sub-suharan-africa/news/sub-saharan-africa-news-in-brief-13-25-march.html |title=Sub-Saharan Africa news in brief: 13–25 March |publisher=SciDev.Net |date=2008-03-28 |accessdate=2009-03-16}}</ref>
* [[Jimbo la Waafar|Afar]]
* [[Jimbo la Waamhara|Amhara]]
* [[Benishangul-Gumaz]]
* [[Gambela]]
* [[Jimbo la Waharari|Harari]]
* [[Oromia]]
* [[Jimbo la Wasomali|Somali]]
* [[Jimbo la Makabila ya kusini]]
* [[Tigray]]
 
Zaidi ya hayo kuna maeneo ya miji miwili (''astedader akababiwoch''; umoja: ''astedader akababi''): [[Addis Ababa]] na [[Dire Dawa]].
 
== Jiografia ==
 
===Uchukuzi===
[[Picha:Ethiopia.png|right|250px|thumb||Ramani ya Ethiopia]]
{{Main|Transport in Ethiopia}}
Ethiopia ina eneo la [[kilometa mraba]] 1,127,127 (435,071&nbsp;[[mraba|mraba - mili]]). Nchi yenyewe ni mojawapo ya nchi za [[Pembe ya Afrika]] upande wa mashariki. Nchi zinazopakana na Ethiopia ni [[Sudani]] magharibi, [[Jibuti]] na [[Eritrea]] kaskazini, [[Somalia]] mashariki, na [[Kenya]] kusini.
 
Nchini Ethiopia kuna milima na milima iliyogawiwa na [[Bonde la Ufa]], ambalo limepasua kutoka kusini - magharibi kwenda kaskazini – mashariki na kuzungukwa na [[jangwa la mapori]] maeneo yaliyo chini. Mabonde na milima hasa nchini Ethiopia yanaathiri [[hali ya hewa]], udongo, mimea, na makazi ya watu.
 
Ethiopia ina reli yenye urefu wa km 681 ambayo kimsingi ni reli kati ya [[Addis Ababa - Djibouti,]] na yenye [160] [[geji nyembamba.]] Kwa sasa reli hiyo iko chini ya uthibiti wa Jibuti na Ethiopia, lakini kuna majadiliano ya [[kubinafsisha]] usafiri huu.
Ukweo wa milima na eneo la kijiografia vinasababisha aina mbili za hali ya hewa: eneo lililopoa liko zaidi ya ukweo wa [[mita]] 2,400 (futi 7,900) ambapo [[vipimo vya joto]] ni kati ya kuganda na 16°[[Selsias|C]] (32°–61°[[Farenhaiti|F]]); Vipimo vya joto kwa ukweo wa mita 1,500 na 2,400 (futi 4,900—7,900) joto ni 16&nbsp;°C hadi 30&nbsp;°C (61°–86° [[Farenhaiti|F]]); Joto zaidi ni chini ya mita 1,500 (futi 4,900) ni [[hali ya hewa ya tropiki]] na [[hali ya hewa ya ukame]] na joto saa za mchana ni 27&nbsp;°C mpaka 50&nbsp;°C (81°–122°[[Farenhaiti|F]]).
 
Mvua ya kawaida ni kuanzia kati ya Juni mpaka kati ya Septemba lakini eneo la milima ya kusini mvua hunyesha zaidi ikianzia na mvua kidogo ya Februari ama Machi.
 
Serikali ya Ethiopia kupitia kwa Mpango wa Maendeleo ya Sekta ya Barabara maarufu kama FUKIN hell wa miaka 10 wa kati ya mwaka 1997 na 2002, ilianza juhudi za kuboresha miundomsingi ya nchi ya Ethiopia. Kufikia mwaka 2002 Ethiopia ilikuwa na jumla ya (Shirikisho na katika Mikoa) barabra ya urefu wa km 33 297 zilizolimwa na za changarawe.
Ethiopia ni nchi ambayo ina [[Ikolojia]] tambakazi. [[Ziwa Tana]] ambalo liko kaskazini mwa nchi ndio mwanzo wa [[Mto bluu]] wa [[Naili]] [[barazraki]] (kwa Kiarabu, bahr al zraq). Eneo la mto huo lina aina ya wanyama wa pekee kama [[Gelada - nyani]], na [[Walia ibeka]] na pia [[Mbwa mwitu]].
 
== Uchumi ==
[[Picha:Eth1 coffeelady.jpg|thumb|Mwanamke mkulima wa mbuni na kapu la mbegu za kahawa huko Ethiopia]]
 
Ethiopia imebaki nchi mojawapo fukara: Waethiopia wengi wanapewa [[chakula cha msaada]] kutoka ng’ambo.
 
===Kuanzishwa kwa miji===
Baada ya mapinduzi ya mwaka [[1974]], uchumi wa Ethiopia ulikuwa [[uchumi wa kijamaa]]: amri ya uchumi iliwekwa na jimbo, na upande mkubwa wa uchumi uliwekwa kwa jamii, kutoka viwanda vyote vya kisasa, [[kilimo cha biashara]], [[taasisi za kukopesha]] na mashamba yote na mali yote ya kukomboa.
Kuongezeka kwa idadi ya watu, uhamiaji, na kuanzishwa kwa miji kunadhoofisha uwezo wa serikali na mazingira katika kutoa huduma za kimsingi. <ref> Racin, L. "Future shock: How Environmental Change and Human Impact Are Changing the Global Map "Woodrow Wilson International Center for Scholars, 2008. Http://www.wilsoncenter.org/index.cfm?topic_id=1413&amp;fuseaction=topics.event_summary&amp;event_id=395038</ref> Idadi ya watu wanaohamia mijini imeongezeka kwa kiasi kikubwa sana huku kukiwa na vipindi viwili ambavyo vimeshuhudia ukuaji wa kasi mno. Kwanza, katika kipindi cha 1936-1941 wakati wa uvamizi wa Italia wa serikali ya mrengo wa kulia ya Mussolini, na 1967-1975 ambapo idadi ya watu mijini iliongezeka mara tatu. <ref name="countrystudies1991"> Ofcansky, T na Berry, L. "Ethiopia: A Country Study ". Kimehaririwa makataba ya Congress na Washington: GPO, 1991. http://countrystudies.us/ethiopia</ref> Mwaka 1936, Italia iliteka Ethiopia, na ikajenga miundombinu ya kuunganisha miji mikubwa, na bwawa la kutoa maji na nguvu za umeme. <ref name="Accessed 15 May 2008"> Shivley, K. "Addis Ababa, Ethiopia "http://www.macalester.edu/courses/geog61/kshively/index.html ilisomwa 15 Mei 2008.</ref> Hali hii pamoja na kuingia kwa wingi kwa Waitaliano na wafanyakazi ndivyo vilivyosababisha ongezeko kubwa la watu mijini katika kipindi hiki. Kipindi cha pili cha ongezeko la watu kilikuwa kuanzia 1967-1975 wakati wakazi wa vijijini walihamia mijini kutafuta kazi na maisha mazuri. <ref name="countrystudies1991"></ref> Hali hii ilipungua baada ya Programu ya Mageuzi ya Ardhi ya mwaka 1975 ilipoasisiwa na serikali na kutoa motisha kwa watu kuendelea kukaa vijijini. kadri watu walivyohama kutoka vijijini hadi mijini ndivyo idadi ya wakulima ilivyopungua. Sheria ya Mageuzi ya Ardhi ilinuia kuongeza kilimo kwa kuwa uzalishaji wa vyakula haukutosheleza na ukuaji wa idadi ya watu katika kipindi cha 1970-1983. <ref name="Anderson, Frank 1991. Pages 159-175"> Anderson, Frank. Belete, Abenet, Dillon, John L. ""Development of Agriculture in Ethiopia since the 1975 land reform " Uchumi wa Kilimo. Blackwell. TDesemba 1991. Kurasa 159-175</ref> Mpango huu uliongeza uundaji wa vijiji vya vikundi vya wakulima wadogo wadogo. <ref name="Anderson, Frank 1991. Pages 159-175"></ref> Hali hii ilsababisha ongezeko la uzalishaji wa vyakula ingawa kuna mjadla mkubwa kuhusu kisababisho, inaweza kuwa ni kwa sababu ya hali ya hewa kuliko kitendo cha mageuzi. <ref name="Anderson, Frank 1991. Pages 159-175"></ref> Idadi ya wakazi wa mijini imeendelea kukua huku kukiwa na ongezeko la asilimia 8.1% kuanzia mwaka 1975-2000. <ref name="Accessed 5-10-08">[168] ^ Benki ya Dunia http://worldbank.org ilisomwa 5-10-08</ref>
[[File:Bole Road.jpg|thumb|Picha za mitaani za mabasi yakiwa kwenye barabara ya Bole mjini Addis Abeba]]
 
Kutoka kati ya [[1991]], uchumi ulianza kutolewa katika [[ujamaa]] na kuendekeza [[uchumi wa soko huria]], serikali inasisitiza uchumi wa rasilimali ili kuzuia uvivu wa uchumi uliojitokeza wakati wa amri ya ujamaa. Mwaka [[1993]], [[Ubinafsishaji]] wa kampuni kaanza, viwanda, mabenki, ukulima, [[biashara za ndani]] na [[biashara za kimataifa]].
 
Kilimo ni karibu asilimia 41% ya [[mapato ya uchumi]] (GDP), ambayo ni asilimia 80 ya biashara ya kimataifa, na asilimia 80 ya wananchi wanategemea kilimo.
 
====Maisha ya vijijini na mjini====
Mambo mengi ya biashara hutegemea ukulima, wauzaji, viwanda vya kufunganya na kuuza nje mavuno ya ukulima. Mavuno yanayouzwa nje mengi yanatolewa na [[wakulima wa kiasi]] binafsi. Wanazalisha [[kahawa]], [[nafaka]] (hasa maharagwe), [[mbegu za mafuta]], [[viazi]], [[miwa]], na [[mboga]].
Mara nyingi kuhamia mjini husukumwa na matumaini ya kupata maisha mazuri. Kwa vikundi vya wakulima wadogo wadogo maisha ni ya kung'ang'ana kuishi. Karibu asilimia 16% ya wakazi wa Ethiopia wanaishi chini ya dola 1 kwa siku (2008). Nchini Ethiopia ni asilimia 65% tu ya familia za vijijini ambazo hula chakula cha kiwango cha kimataifa kilichoidhinishwa na Shirika la Afya Duniani (2.200 kilo za kalori)kwa kila siku, na asilimia 42% ya watoto walio chini ya umri wa miaka 5 wakiwa chini ya uzani unaotakikana. <ref name="Crawley"> Crawley, Mike. "Breaking the Cycle of Poverty in Ethiopia". Aprili, 2003. kituo cha Utafiti wa Maendeleo cha Kimataifa. Ilitolewa tarehe 24 Mei 2008, kutoka kwa tovuti ya IDRC. https: / / idl-bnc.idrc.ca/dspace/bitstream/123456789/33518/1/Ecohealth_6_Ethiopia_e.pdf</ref> Familia nyingi maskini (75%) zinalala na mifugo kwenye nyumba zao, na asilimia 40% ya watoto hulala sakafuni, ambapo viwango vya joto wastani wakati wa usiku ni nyuzi 5 wakati wa msimu wa baridi. <ref name="Crawley"></ref> Idadi ya wastani ya kila familia ni watu sita ama saba, wanaoishi katika kibanda kilichokandikwa kwa matope na ambacho paa lake ni la nyasi za upana wa mita 30 na shamba ambalo ni chini ya heka mbili za kulima. <ref name="Crawley"></ref> Hali ya maisha haya ni mbaya lakini hayo ndiyo maisha ya kila siku ya wakulima wadogo wadogo.
 
Biashara ya nje hasa ni ya kuuza mazao, kahawa ikiwa ndiyo inayoleta pesa nyingi za kigeni.
 
Vyama vya wakulima wadogo wadogo kila mara vimeandamwa na umaskini. Kwa kuwa watu wanamiliki mashamba madogo, wakulima hawawezi kuacha ardhi bila ya kulima hali ambayo inapunguza rutuba ya udongo. <ref name="Crawley"></ref> Uharibifu wa udongo hupunguza nyasi ambazo ndicho chakula cha mifugo na hivyo kusababisha kupungua kwa maziwa wanayokamwa mifugo. <ref name="Crawley"></ref> Kwa sababu jamii huchoma samadi ya mifugo kama kuni badala ya kutupa shambani kama mbolea uzalishaji wa mazao umepungua. <ref name="Crawley"></ref> Kupungua kwa mazao ya ukulima kumesababisha kupungua kwa pato la wakulima,na kuongezeka kwa njaa, utapiamlo na maradhi. Wakulima hawa wenye afya zilizodhoofika wanakuwa na wakati mgumu kulima huku uzalishaji wa mashamba ukizidi kupunguua. <ref name="Crawley"></ref>
[[Mifugo]] ya Ethiopia inaaminika kuwa ndiyo wengi zaidi Afrika. Mnamo [[1987]] ilihesabika kuwa asilimia 15 ya mapato ya uchumi yanatokana na mifugo.
 
== Watu ==
[[Picha:GariAdama.jpg|thumb|Gari huko Adama (Nazareth), Ethiopia]]
 
Ingawa hali ni nzuri mijini, Ethiopia inakumbwa na umaskini, na uchafu. Asilimia 55% ya wakazi wa mji mkuu wa Addis Ababa wanaishi katika mitaa ya mabanda. <ref name="Accessed 15 May 2008"></ref> Ingawa kuna baadhi ya vitongoji jirani vya matajiri vyenye makasri, watu wengi hujenga nyumba zao kwa kutumia chochote kile wanachokipata, huku kuta zikiwa zimekandikwa kwa tope ama zimejengwa kwa mbao. Ni asilimia 12% tu ya nyumba, ambazo zina saruji marumaru au sakafu. <ref name="Accessed 15 May 2008"></ref> Jambo ambalo linahitaji kushughulikiwa jijini ni usafi, kuna watu wengi ambao hawapati vifaa vya kutoa uchafu. Hali hii inachangia maenezi ya magonjwa kupitia kwa maji ambayo si salama kiafya. <ref name="Accessed 15 May 2008"></ref>
Ethiopia ina makabila zaidi ya 80 yenye utamaduni tofautitofauti. Watu wengi huongea [[lugha za kisemiti]] na [[lugha za kikushi]].
 
[[Waoromo]], [[Waamhara]], na [[Tigray|Watigrinya]] ni zaidi ya 75 % ya wananchi wote. Kumbe kuna makabila mengine yenye watu wachache kiasi kama 10,000.
 
Pamoja na hali ya maisha mijini, wakaazi wa Addis Ababa maisha yao ni nafuu kidogo ikilinganishwa na watu wanaoishi kwenye vijiji vya wakulima wadogo wadogo kutokana na nafasi zao za elimu. Kinyume na ilivyo kwa watoto wa vijijini, asilimia 69% ya watoto wa mijini wamesajiliwa kwenye shule za msingi, na asilimia 35% ya wale wanaofuzu kujiunga na shule za upili huhudhuria. <ref name="Accessed 15 May 2008"></ref> Mji mkuu wa Addis Ababa una[[ chuo kikuu]] chake na shule za upili nyingine nyingi . Kiwango cha kusoma ni asilimia 82%. <ref name="Accessed 15 May 2008"></ref>
Waethiopia ambao wanaongea lugha za kisemiti (na pia [[Eritrea|Waeritrea]]) kwa jumla wasisitiza kujulikana kama ''Habesha'' ama ''Abesha'', lakini wengine wanakataa jina hilo na kusema linasimamia kabila moja. [http://www.abesha.com/abesha18/aboutus.php].
 
Kwa [[Kiarabu]] jina hilo Hebesha ni "Abyssinia," jina la kale la Ethiopia. [http://www.time.com/time/europe/timetrails/selassie/hs260809.html]
 
Aidha kiwango cha afya mijini ni kizuri. Idadi ya watoto wanaozaliwa, vifo vya watoto wachanga, na idadi ya vifo kwa jumla iko chini katika jiji kuliko vijijini kutokana na uwepo wa elimu bora na hospitali. <ref name="Accessed 15 May 2008"></ref> Matarajio ya kuishi ni makubwa, ikiwa ni 53, ikilinganishwa na 48 vijijini. <ref name="Accessed 15 May 2008"></ref> Pamoja na kuwa tatizo la usafi wa mazingira, upatikanaji wa maji kwa njia za kisasa pia ni kwa wingi; asilimia 81% katika miji ikilinganishwa na asilimia 11% katika maeneo ya vijijini. <ref name="Accessed 5-10-08"></ref> Hali hii inawapa motisha watu kuhamia mijini kwa matumaini ya kupata maisha bora.
== Dini ==
 
[[Wakristo]], ambao ndio wengi, wanaishi hasa kwenye milima, na [[Waislamu]] na Wapagani wengi wanaishi kwenye mabonde.
 
Ongezeko la idadi ya miji na uhamaji imekuwa ni changamoto katika mazingira endelevu nchini Ethiopia. Kadri idadi ya watu wanaohama inavyozidi kuongezeka, uzalishaji wa chakula cha kukidhi mahitaji ya watu utapungua. Badala ya kutatua matatizo ya ardhi iliyokosa rutuba na chemichemi za maji, watu wanahamia mijini wakiwa na matumaini ya kupata maisha bora. Uwezo wa kukuza vyakula utapungua huku idadi ya watu ikiendelea kuongezeka, huku umaskini ukiendelea kukithiri na afya kuharibika zaidi.
===Ukristo===
[[Ufalme wa Aksum]] ulikuwa milki na nchi ya kwanza kukubali [[Ukristo]], ambapo [[askofu]] [[Frumentius]] wa [[Taya]], aliyetumwa na [[Atanasi]] wa [[Aleksandria]] kuiinjilisha nchi, alimuongoa [[Ezana wa Aksum]] [[karne ya 4]].
 
Labda Frumentius alifika tayari na [[wamonaki]] kama [[wamisionari]]. Lakini umonaki hasa ulianza mnamo mwaka [[500]] walipofika wamonaki tisa wenye asili ya [[Siria]] waliotokea [[Misri]] katika [[monasteri]] za [[Pakomi]].
 
Mashirika mengi Yasiyo ya Kiserikali(NGO) yanajaribu kutatua shida hii, hata hivyo, mengi hayashirikiani, hayana utaratibu maalum, na yanafanya kazi kivyake. <ref name="Accessed 5-10-08"></ref> Shirika la Sub-Sahara Africa lisilo la kiserikali linajaribu kuratibu juhudi za Mashirika Yasiyo ya Kiserikali nchini Uganda, Kenya, Tanzania, Zambia, Afrika Kusini, Zimbabwe, Ethiopia, Sudan, Cameroon, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Senegal, Ivory Coast, Mali, Ghana, na Nigeria. <ref name="Accessed 5-10-08"></ref>
Hivyo mpaka leo mtindo huo ndio unaotawala kati ya umati wa wamonaki wa Ethiopia, wakati [[wakaapweke]] ni wachache, ingawa hawajawahi kukosekana. Athari za Siria na Misri zinajitokeza katika mambo mengi.
 
Wamonaki wanaishi katika vibanda vya binafsi wakikutana kwa [[sala]] tu. Wamonaki [[wanawake]] (kawaida ni [[wajane]]) wanaishi jirani na monasteri ya kiume wakiitegemea kiroho na kiuchumi.
 
===Uislamu===
[[Uislamu Ethiopia]] unapatikana kutoka mwanzo wa Islam; ambapo Nabii [[Muhammad]] aliwaambia Waislamu waepuke kuuliwa [[Maka]] kwa kukimbilia Uhabeshi, ambayo ilitawaliwa na Mfalme Mkristu. Hata [[utamaduni]] wa Kiislamu wasema kwamba [[Bilal ibn Ribah|Bilal]], mfuasi wa Nabii Muhammad, alikua ametokea Ethiopia.
 
===Uyahudi=Idadi ya Watu==
[[Wayahudi]], ambao waitwa [[Beta Israeli (falasha)]], walioishi Ethiopia tangu karne nyingi, wengi wao wamehamia [[Israeli]] hasa katika karne ya 20.
 
===Dini za jadi===
 
{{Main|Demographics of Ethiopia}}
Mbali na dini hizo za kimataifa, kuna wafuasi wa [[dini za jadi]] za Kiafrika.
{{See also|People of Ethiopia}}
[[File:Senay.jpg|200px|thumb|Picha kutoka Sheraton Hotel mjini Addis Ababa.]]
Idadi ya watu nchini Ethiopia imeongezeka kutoka milioni 33.5 katika mwaka wa 1983 hadi milioni 75.1 katika mwaka wa 2006. <ref> ''Diercke Landerlexicon,'' 1983</ref> Matokeo ya sensa ya watu na makazi ya mwaka 2007 yanaonyesha kuwa idadi ya watu nchini Ethiopia ilikua kwa kiwango wastani cha asilimia 2.6 kati ya mwaka 1994 na 2007, na kilipungua kwa asilimia 0.2 kutoka asilimia 2.8 ikilinganishwa na ukuaji katika kipindi cha miaka 1983-1994. Idadi ya watu nchini Ethiopia ni anuwai. Watu wengi huzungumza lugha zenye asili ya mchanganyiko wa lugha za [[Afika na Asia]] zaidi [[za Kisemitiki]] (~ 40-5%) au [[za makundi ya Kikushiti]](~ 40-5%). Wa[[oromo, Waamhara, Watigrei]] na [[Wasomali]] wanajumuisha robo tatu ya idadi ya watu nchini Ethiopia, lakini yapo makundi zaidi ya 80 ya jamii mbalimbali. Baadhi ya jamii hizi zina watu wachache kiasi cha watu 10,000.
 
== Lugha ==
 
Waethiopia na Waeritrea, hasa wale wanaozungumza lugha za Kisemitiki, wao hijiita kwa pamoja kama ''[[Wahabeshi]]'' au ''Waabesha,'' ingawa wengine hukataa majina haya kwa msingi wa kwamba majina haya hurejelea jamii fulani tu. <ref>{{cite web|url=http://www.abesha.com/abesha18/aboutus.php |title=— About us |publisher=Abesha.com |date= |accessdate=2009-03-16}}</ref> Katika lugha ya Kiarabu neno hili linatokana na neno (Al-Habasha) ambalo ndilo msingi wa "Abyssinia," jina la zamani la Ethiopia katika lugha ya Kiingereza na lugha nyingine za Ulaya. <ref>[191] ^ [http://www.time.com/time/europe/timetrails/selassie/hs260809.html Time Europe - Abyssinia: Ethiopia Protest] tarehe 9 Agosti, 1926</ref>
Ethiopia ina lugha 84 za kienyeji kama:
{|border="0"
|+
|-
|
* [[lugha ya Afar|Kiafar]]
* [[Lugha ya Amhara|Kiamhara]]
* [[Lugha ya Anfillo|Kianfillo]]
* [[Lugha ya Berta|Kiberta]]
* [[Lugha ya Busaa|KiBussa]]
|
* [[Lugha ya Ge’ez|Kige'ez]]
* [[Lugha ya Konso|Kikonso]]
* [[Lugha ya Ongota|Kiongota]]
* [[Lugha ya Oromo|Kioromo]]
* [[Lugha ya Rer Bare|KiRer Bare]]
|
* [[Lugha ya Saho|Kisaho]]
* [[lugha ya Soddo|Kisoddo]]
* [[lugha ya Isilt’e|Kisilt'e]]
* [[Lugha ya Somali|Kisomali]]
* [[Lugha ya Tigrigna|Kitigrigna]]
* [[Lugha ya Weyoto|Kiweyto]]
|
* [[Lugha ya Hadiya|Kihadiya]]
* [[Lugha ya Harari|Kiharari]]
|}
[[Lugha ya Kiingereza|Kiingereza]] ndiyo lugha ya kigeni inayoongewa zaidi na kufunzwa katika shule ya upili. [[Lugha ya Amharic|Kiamhara]] ilikuwa lugha ya ufundishaji katika shule ya msingi lakini imebadilishwa sehemu nyingi na [[lugha ya Oromo|Kioromo]] na [[Tigrigna language|Tigrinya]].
 
== Utamaduni ==
 
Kulingana na sensa ya kitaifa ya Ethiopia ya mwaka 2007, jamii ya [[Waoromo]] ndiyo kubwa zaidi nchini Ethiopia wakijumuisha asilimia 34.49. [[Waamhara]] wanawakilisha asilimia 26.89, ilhali [[Watigrei]] ni asilimia 6.07 ya jumla ya idadi ya watu. Makundi ya jamii zingine ni kama ifuatavyo: [[Wasomali]] 6.20%, [[Wasidama]] 4.01%, [[Wagurage]] 2.53%, [[Wawolaita]] 2.31%, [[Waafar]] 1.73%, [[Wahadiya]] 1.74%, Wagamo 1.50%, Wakefficho 1.18% na jamii zingine ni 11%. <ref name="bx"> Berhanu Abegaz, {{PDFlink|[http://bxabeg.people.wm.edu/Ethiopia.Census%20Portrait.pdf Ethiopia: A Model Nation of Minorities]|51.7&nbsp;KB}} Ilitolewa tarehe 6 Aprili, 2006.</ref> <ref name="Embassy"></ref>
Mnamo Aprili [[2005]], [[Mnara wa Axum]], mojawapo ya dafina za kidini Ethiopia, ulirudishwa na Waitalia
[http://news.bbc.co.uk/1/hi/world/africa/4458105.stm] ambao waliunyakua mwaka [[1937]] na kuupeleka [[Roma]]. Italia ikakubali kuurudisha mnamo [[1947]] kulingana na mkataba wa [[UN|Umoja wa Mataifa]].
 
Ethiopia ndiyo Nyumba ya kiroho ya [[Rastafari|Mwendo wa Rastafari]], ambao wanaamini Ethiopia ni [[Zion]]. Warastafari]] wamuona mfalme Haile Selassie I kama [[Yesu]].
 
Sensa ya hivi karibuni ya huko [[Marekani]] ilionyesha kuwa kulikuwa na Waethiopia 72,000 nchini Marekani. <ref name="OECD">{{cite web|url=http://www.oecd.org/dataoecd/18/23/34792376.xls|title=Country-of-birth database|publisher=[[Organisation for Economic Co-operation and Development]]|accessdate=2008-09-21}}</ref> Pamoja na haya marejeleo mengine yatoa takwimu tofauti, huku takwimu hizo zikionyehsa kuwa kuna Waethiopia milioni 1.2 Marekani. <ref>{{cite news |first= |last= |authorlink= |coauthors= |title=A loveless liaison. |url=http://www.economist.com/world/africa/displaystory.cfm?story_id=10979876 |quote=Many in Ethiopia's 1.2 m-strong diaspora in the United States have lobbied their congressional representatives to condemn Mr Zenawi's government as tyrannical. |publisher=Economist |date=2008-04-03 |accessdate=2008-04-11 }}</ref> Aidha kuna [[Template:Ethiopian diaspora|wahamiaji wengi kutoka Ethiopia]] nchini [[Uingereza, Itali, Kanada, Uswidi]] na [[Australia.]]
*[[Vyakula vya Ethiopia]]
*[[Miziki ya Ethiopia]]
*[[Uislamu Ethiopia]]
*[[Kanisa la Ethiopia, Kanisa la Tewahedo]]
*[[P'ent'e]]
 
== Sikukuu ==
''Ona pia: [[Kalenda ya Waethiopia]]
{| border="2" cellpadding="4" cellspacing="0" style="margin: 1em 1em 1em 0; border: 1px #aaa solid; border-collapse: collapse; font-size: 95%;" align="center"
|-
! style="background:#efefef;" | Tarehe
! style="background:#efefef;" | Jina za Kiswahili
! style="background:#efefef;" | Jina za waenyeji
! style="background:#efefef;" | Maelezo
|-
| Januari 7
| [[Waminina wa Dini ya Ethiopia, kanisa yaTewahedo|Waminina]] [[Krismasi|Siku ya Krismasi]]
| Genna
| &nbsp;
|-
| Januari 10
| Siku kuu ya sadaka
| [[Eid ul-Adha|'Id al-Adha]]
| ya tegemea; tarehe ya 2006
|-
| Januari 19
| [[Epifani|Siku kuu ya Epifani]]
| [[Timket]]
| &nbsp;
|-
| Machi 2
| [[Vita vya Adowa|Siku ya Adwa]]
| Ye'adowa B'al
| &nbsp;
|-
| Aprili 11
| Birthday of The Prophet [[Muhammad]]
| [[Mawlid|Mawlid an-Nabi]]
| ya tegemea; this date is for 2006
|-
| Aprili 21
| [[Waminina wa Dini ya Ethiopia, kanisa yaTewahedo|Waminina]] [[Ijumaa ya pasaka]]
| Siqlet (kusulubiwa)
| ya tegemea; tarehe ya 2006
|-
| Aprili 23
| [[Waminina wa Dini ya Ethiopia, kanisa yaTewahedo|Waminina]] [[Pasaka]]
| Fasika
| varies; tarehe ya 2006
|-
| April 24
| Jumatatu ya pasaka (siku kuu)
| &nbsp;
| varies; tarehe ya 2006
|-
| Mai 1
| [[Siku Mai #Siku ya wanakazi|Siku ya Wafanyakazi Kimataifa]]
| &nbsp;
| &nbsp;
|-
| Mai 5
| Siku ya wazalendo
| Arbegnoch Qen
| &nbsp;
|-
| Mai 28
| Siku ya Taifa
| &nbsp;
| Kuanguka kwa [[Derg]]
|-
| Agosti 18
| &nbsp;
| [[Buhe]]
| &nbsp;
|-
| Septemba 11
| [[Mwaka mpya]] wa Ethiopia
| [[Enkutatash|Inqut'at'ash]]
| &nbsp;
|-
| Septemba 27
| [[Siku kuu ya Msalaba|Kutafuta Msalaba Halisi]]
| [[Meskel]]
| &nbsp;
|-
| Oktoba 24
| Mwisho wa Mwezi takatifu wa [[Ramadhan]]i
| [[Eid ul-Fitr|'Id al-Fitr]]
| ya tegemea; tarehe ya 2006
|}
 
Mwaka 2007, Ethiopia ilikuwa mwenyeji wa wakimbizi na watu waliokimbilia hifadhi nchini Ethiopia takriban 201,700. Wengi walitoka nchini [[Somalia]] (takribani watu 111,600), [[Sudan]] (55.400) na [[Eritrea]] (23.900). Serikali ya Ethiopia iliwataka karibu wakimbizi wote waishi katika kambi za wakimbizi. <ref name="World Refugee Survey 2008">{{cite news|title=World Refugee Survey 2008|publisher=U.S. Committee for Refugees and Immigrants|date=2008-06-19|url=http://www.refugees.org/survey}}</ref>
== Michezo ==
Ethiopia ni nchi mojawapo inayotoa wanamichezo wazuri zaidi duniani, hasa kama wa mbio wa [[masafa ya kati]] na [[masafa marefu]]. [[Kenya]] na [[Morocco]] ni wapinzani wa Ethiopia kwa [[Michezo ya mabingwa wa Dunia]] na [[Michezo ya olimpiki|Olimpiki]] kwa masafa ya kati na marefu.
 
Machi 2006, Waethiopia wawili walitamalaki mbio za masafa marefu, kwa jina wakiwa: [[Haile Gebreselassie]] (Bingwa wa Dunia na Olimpiki) aliyevunja [[rekodi]] ya kilometa 10 na sasa pia kilomita 20, Nusu[[Marathoni]], na rekodi ya kilomita 25, na kijana [[Kenenisa Bekele]] (bingwa wa dunia, mbio za majira (bara), na pia bingwa wa olimpiki), anayeshikilia [[Rekodi za Dunia]] za mita 5,000 na 10,000.
 
Huko nyuma Ethiopia ilitoa mwanariadha maarufu katika historia ya mchezo huu duniani, [[Abebe Bikila]].
 
===Dini===
== Vifungu kiwazowazo ==
*{{Main|Religion [[Orodha ya kampuni zain Ethiopia]]}}
* [[Jeshi la Ethiopia]]
* [[Wafalme wa Ethiopia]]
* [[National parks in Ethiopia]]
* [[Mawasiliano Ethiopia]]
* [[Uchukuzi Ethiopia]]
* [[Chama cha skauti Ethiopia]]
* [[Vyuo vikuu Ethiopia]]
 
== Viungo vya nje ==
 
{{bar box
'''Mashirika ya msaada'''
|width = 200px
*[http://www.thedenanproject.com/ The Denan Project – inasaidia kihospitali watu wa Denan]
|float = right
|title = <small>Religion in Ethiopia</small>
|titlebar = #ddd
|bars =
{{bar percent|[[Christianity]]|teal|62.8}}
{{bar percent|[[Islam]]|teal|33.9}}
{{bar percent|[[Traditional]]|teal|1|2.6%}}
|caption =
}}
 
'''Serikali'''
*[http://www.ethiopianembassy.org/index.shtml Balozi wa Ethiopia- Washington DC] yakupa taarifa za serikali ya Ethiopia
*[http://www.mfa.gov.et/ Idara ya mambo ya nje Ethiopia]
*[http://www.moinfo.gov.et/ idara ya taarifa Ethiopia]
*[http://www.ethiopiancrown.org/ baraza la wafalme wa Ethiopia] Wafalme wa Ethiopia
*[http://www.ethiopar.net/ Bunge ya Ethiopia] Tovuti rasmi
 
[[File:Mosque in Harar, Ethiopia.jpg|right|thumb|Msikiti wa Harar]]
'''Habari'''
*[http://www.addistribune.com/ Addis Tribune] gazeti la kila wiki online edition
*[http://allafrica.com/ethiopia/ allAfrica - Ethiopia] news
*[http://www.ena.gov.et/ Ethiopian News Agency (ENA)] hii ni idara ya serikali
*[http://www.nazret.com Nazret.com] Ethiopian news portal
*[http://ethiopianreview.homestead.com/ Ethiopian Review]
*[http://ethiomedia.com/ Uptodate ethiopian news]
*[http://www.helmmagazine.com/ Helm Magazini] sanaa, utamaduni, fasheni na heba kutoka Ethiopia
*[http://www.waltainfo.com/ Walta Information Center] habari
 
'''Masomo'''
*[http://news.bbc.co.uk/1/hi/world/africa/country_profiles/1072164.stm BBC Habari – Umbo wa: Ethiopia]
*[http://www.ethiopiantreasures.toucansurf.com Ethiopian Treasures] Dafina za Ethiopia- Historia, Utamaduni, Lugha, Dini - Ethiopia
*[http://www.cia.gov/cia/publications/factbook/geos/et.html CIA - The World Factbook: Ukweli wa mambo kuhusu Duniani]
*[http://www.guardian.co.uk/ethiopia2000/0,2759,181415,00.html Guardian Unlimited - Special Report: Ethiopia 2000]
*[http://lcweb2.loc.gov/frd/cs/ettoc.html /mktaba wa Congress ya marikani] tareki nyingi ni kutoka Julai 1991
 
'''Maelekezo'''
*[http://www.meetethiopia.com meetethiopia.com] Portal that introduces and celebrates the rich history, culture and diversity of Ethiopia through the use of a repository that contains Ethiopia-related websites ranging from Arts, Society and Religion to Entertainment, Shopping and Technology
*[http://www.ethiosearch.com Ethio Search ]Ethiopian on-line directory and search engine
*[http://dmoz.org/Regional/Africa/Ethiopia/ Open Directory Project - Ethiopia] directory category
*[http://www-sul.stanford.edu/depts/ssrg/africa/ethio.html Stanford University - Africa South of the Sahara: Ethiopia] directory category
*[http://www.afrika.no/index/Countries/Ethiopia/index.html The Index on Africa - Ethiopia] directory category
 
'''Utalii'''
*[http://www.tourismethiopia.org Ethiopian Tourism Commission] government agency
 
'''Lugha'''
*[http://www.mediatikdigital.com/glossword/index.php?a=list&d=3 English-Amharic Dictionary] based on Amsalu Aklilu and G. P. Mosback's dictionary
*[http://www.amharicdictionary.com/ Online Dictionary of the official language of Ethiopia]
*[http://www.ethiopiandictionary.com/ Amharic Dictionary]
 
Kwa mujibu wa Sensa ya Taifa ya mwaka 2007, Wakristo wanajumuisha asilimia 62.8% ya wananchi wote wa Ethiopia (43.5% imani Orthodoksi ya Ethiopia, madhehebu mengine ni asilimia 19.3%), Waislamu ni asilimia 33.9%, wanaoshiriki dini za jadi ni asilimia 2.6%, na dini zingine 0.6% <ref name="bx"></ref> Hii ni sawa na kitabu cha hoja halisia cha dunia CIA World Factbook kilichosahihishwa, ambacho kinaeleza kuwa Ukristo ndiyo dini iliyoenea zaidi nchini Ethiopia. <ref name="CIA">{{cite web|url=https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/et.html |title=CIA - The World Factbook - Ethiopia |publisher=Cia.gov |date= |accessdate=2009-03-16}}</ref> Nchini Ethiopia Ukristo wa Orthodoksi ina historia ndefu kuanzia karne ya kwanza, na uwepo wake kusheheni katikati na Kaskazini mwa Ethiopia. Wakristo wote wa Kiorthodoksi na Wakiprotestanti wana wawakilishi wengi katika upande wa Magharibi na Kusini mwa Ethiopia. Kundi ndogo la [[Wayahudi wa zamani, Waisraeli wa Beta,]] wanaishi Kusini Magharibi mwa Ethiopia, ingawa wengi walihamia [[Israeli]] katika miongo ya karne ya ishirini kama sehemu ya jumbe za uokoaji uliotekelezwa na serikali ya Israel, katika kile kilichoitwa [[operesheni ya Musa]] na [[operesheni ya Sulemani.]] <ref>{{cite web|url=http://www.jewishvirtuallibrary.org/jsource/Judaism/ejhist.html |title=The History of Ethiopian Jews |publisher=Jewishvirtuallibrary.org |date= |accessdate=2009-03-16}}</ref> Baadhi ya Wasomi wa Israel na wa Kiyahudi wanawachukulia Wayahudi wa Ethiopia kama ''[[kabila la Wayahudi lililopotea ambalo linasimuliwa katika historia.]]''
'''Other'''
*[http://www.amharicsoftwares.com Amharic software store] download free Unicode standard Geez software
*[http://www.konradlicht.com 4 Films about Ethiopia]
 
{{Afrika}}
 
[[File:Ethiopian Painting 2005 SeanMcClean.JPG|left|thumb|Picha hii ya ngozi inaonyesha makuhani wa asiliawa Ethiopia wakipiga sistra na ngoma.]]
[[Jamii:Nchi za Afrika]]
 
[[Jamii:Ethiopia|*]]
 
[[Ufalme wa Aksum]] ulikuwa nchi ya kwanza kukubali rasmi imani ya [[Kikristo,]] wakati Mtakatifu [[Frumentius]] wa [[Tiro,]] aitwaye Fremnatos au Aba Selama ( "Baba wa Amani") nchini Ethiopia, alipomuongoa Mfalme [[Ezana]] katika karne ya nne [[BK.]] Wengi wanaamini kwamba Injili iliingia Ethiopia zamani zaidi, ambapo afisa wa kifamle anaelezwa kwamba alibatizwa na [[Mwinjilisti Filipo]] ka tika sura ya nane ya Kitabu cha Matendo ya Mitume.(Matendo 8:26-39). Hivi leo, [[Kanisa la Ethiopia la Orthodoksi, Tewahendo, ]][[]]ambayo ni sehemu ya [[asili ya Mashariki,]] ndilo dhehebu kubwa zaidi, ingawa [[makanisa mengi ya Kiprotestanti(Pentay)]] na [[kanisa la Ethiopia la Orthodoksi Tehadosi]] yameimarika hivi karibuni. Tangu karne ya kumi na nane, kanisa ndogo la Kikatholiki la Kiethiopia (uniate) lenye ushirikiano na Roma limekuwepo huku wafuasi wake wakiwa chini ya asilimai 1% ya jumla ya idadi ya watu wote. <ref name="bx"></ref>
 
 
[[File:Ethiopia African potrayal of Jesus.JPG|thumb|Picha ya Ethiopia wa Yesu na Maria.]]
Jina "Ethiopia" (Kiyahudi''Kush)'' linatajwa katika Biblia mara nyingi (mara thelathini na saba katika Biblia la toleo la [[King James).]] Abyssinia pia imetajwa kwenye [[Korani Takatifu]] na [[Hadith.]] Huku Waethiopia wengi wakidai kwamba Biblia inapotaja Kush inarejelea ustaarabu wao wa kale, na kusema kuwa mto [[Gihon]], jina la mto [[Nile,]] inasemekana unapitia nchi hiyo, wasomi wengi wasio Waethiopia wanaamini kuwa neno hili lilitumiwa kurejelea [[Ufalme wa Kush]] hasa au Afrika kwa ujumla nje ya Misri. Baadhi wanadai kwamba {{Citation needed|date=February 2007}}Kush [[inayotajwa katika Biblia]] ilikuwa ni sehemu kubwa ya nchi iliyojumuisha Ethiopia Kaskazini, [[Eritrea]] na eneo kubwa la [[Sudan ya sasa.]] Miji mikuu Kush inayotajwa katika biblia ilikuwa Kaskazini mwa Sudan.
 
 
[[Uislamu nchini Ethiopia]] ulianza wakati dini hiyo ilipozinduliwa; mwaka wa 615, wakati kundi la Waislamu liliposhauriwa na Muhammad kutoroka mateso [[mjini Makkah]] na [[kusafiri hadi Ethiopia kupitia Eritrea ya sasa,]] ambayo ilikuwa ikitawaliwa na [[Ashama ibn Abjar,]] mfalme wa Kikristo mwelekevu. Aidha, [[Bilal,]][[ muezzin ]]wa kwanza, mtu aliyechaguliwa kuwaita waumini katika sala, na mmoja wa swahiba wa karibu wa Muhammad, alikuwa ametoka Abyssinia (Eritrea, Ethiopia na kadhalika). Aidha, moja ya jamii kubwa [[ya wasiokuwa Waarabu waliokuwa marafiki wa Muhammad]] ilikuwa ni ya Waethiopia.
 
 
Kuna [[dini]] nyingi zenye asili ya [[Afrika]] nchini Ethiopia, nyingi zikiwa kusini magharibi ya mbali na mipaka ya magharibi Kwa ujumla, Wakristo wengi (zaidi washiriki wengi wa kanisa la [[Orthodoksi ya Kiethiopia Tewahendo wasio Wakaldayo) ]]wanaishi nyanda za juu, huku [[Waislamu]] na waumini wa dini za kitamaduni za Afrika huishi katika maeneo ya mabonde yaliyo mashariki na kusini mwa nchi.
 
 
Ethiopia pia ndiyo kitovu cha chimbuko la vuguvugu la[[RASTAFARI,]] ambayo wafuasi wake wanaamini kuwa Ethiopia ni [[Zayuni.]] RASTAFARI humchukulia Mtemi [[Haile Selassie I]] kama [[Yesu,]] banadamu anayemwakilisha Mungu, mtazamo ambao haushikiliwi na Haile Selassie wa I mwenyewe, ambaye alikuwa mfuasi sugu wa Ukristo wa Kiorthodoksi wa Ethiopia. Dhana ya Zayuni imeenea pia miongoni mwa Wakristo wa asili ya Ethiopia, ingawa inawakilisha dhana tofauti na changamano, akimaanisha kitaswira Mtakatifu [[Maria,]] lakini pia kwa Ethiopia kama ngome ya Ukristo ikiwa imezungukwa na Uisilamu na dini zingine, kama [[Mlima Zayuni]] katika Biblia. Inatumika pia kumaanisha [[Aksum,]] mji mkuu wa kale na kituo cha dini ya Ukristo wa Orthodoksi ya Ethiopia, au kanisa lake la kwanza liitwalo [[Church of Our Lady Mary of Zion.]] <ref>[210] ^ Taddesse Tamrat, ''Church and State.'' </ref> Kimsingi [[imani]] ya [[Bahá'í]] imeenea zaidi mjini Adis Ababa, lakini pia katika viunga vya Yeka, Kirkos na Nefas Silk Lafto. <ref>{{cite web|url=http://news.bahai.org/story/486 |title=Families and youth identified as keys to reducing poverty |publisher=News.bahai.org |date= |accessdate=2009-03-16}}</ref>
 
 
 
===Kalenda ya Ethiopia===
{{Main|Ethiopian calendar}}
Ethiopia ina kalenda yake ya kipekee, ambayo inatokana na [[kalenda ya Coptic,]] na iko nyuma ya kalenda ya Gregory kwa karibu miaka minane.
 
 
 
==Afya==
{{Main|Health in Ethiopia}}
Kwa mujibu wa msimamizi wa Programu ya ulimwengu ya VVU/UKIMWI ya [[Benki]] ya [[Dunia]], Ethiopia ina daktari mmoja kwa kila watu 100,000. <ref> [[BBC, The World Today,]] Julai 24, 2007</ref>
Hata hivyo, [[Shirika la Afya Duniani]] kwenye ripoti yake ya afya ya mwaka 2006 inatoa takwimu ya jumla ya madaktari 1936 (kufikia 2003), <ref>{{cite web | title = Global distribution of health workers in WHO Member States | work = The World Health Report 2006 | publisher = World Health Organization | date = | url = http://www.who.int/whr/2006/annex/06_annex4_en.pdf | format = PDF | accessdate = 2008-02-02}}</ref> ambayo inakadiriwa kuwa madaktari 2.6 kwa kila watu 100,000. Inadaiwa kuwa utandawazi umeathiri nchi ya Ethiopia, huku kukiwa na wataalamu wengi wanaogura nchi hiyo kutafuta nafasi za kazi nzuri katika nchi za [[Magharibi.]]
 
 
Matatizo mengi ya kiafya ya Ethiopia ni yale ya magonjwa ya kuambukiza yanasababishwa na uchafu na utapiamlo. Hali hii imekuwa mbaya zaidi kutokana na uhaba wa wafanyakazi wenye ujuzi na vifaa vya uuguzi. <ref>{{cite web|url=http://countrystudies.us/ethiopia/75.htm |title=Ethiopia - Health and Welfare |publisher=Countrystudies.us |date= |accessdate=2009-03-16}}</ref>
 
 
Kuna hospitali 119 (12 zikiwa mjini Adis Ababa peke yake) na vituo vya afya 412 katika nchi ya Ethiopia. <ref> [http://www.etharc.org/publications/june2005whoestimate_eth.pdf etharc.org - Ethiopia]</ref>
Kiwastani kiwango cha matumaini ya kuishi nchini Ethiopia kiko chini ikiwa ni miaka 45. <ref name="Aids Action 1999">[221] ^ Aids Action (Gazeti la Kimataifa kuhusu UKIMWI Kinga na Usimamizi): Toleo la 46, Afya Link World Wide (Oktoba-Desemba 1999)</ref> Idadi ya vifo vya watoto wachanga iko juu sana ikiwa ni zaidi ya 8% ya watoto wachanga wanaofariki kwa muda wa kipindi kifupi baada ya kuzaliwa, <ref name="Aids Action 1999"></ref> (ingawa hali hii ni ndogo zaidi ikilinganishwa na asilimia 16% mwaka 1965) aidha, wanawake wanaathiriwa na matatizo yanayotokana na uzazi kama vile [[fistula]]ya uzazi. [[Ukimwi]] pia umeenea nchini Ethiopia.
 
 
 
===Dawa za jadi za Ethiopia===
Ukosefu wa wataalamu wa afya na vifaa vya mafunzo ya matibabu vya kisasa, pamoja na ukosefu wa fedha kugharamia huduma za afya, umesababisha ongezeko la waganga wa jadi wasioaminika na ambao hutumia tiba za nyumbani kuponya maradhi ya kawaida.
 
 
Kitendo kimoja cha kiafya ambacho hutekelezwa bila ya kujali dini ama kiwango cha uchumi ni ukeketaji wa wasichana, kitendo ambacho baadhi ya sehemu za siri za mwanamke zinakatwa ama kuchomwa kabisa ili kumzuia asizini. Mara nyingi tishu ambazo hufunika uke huwa zinaondolewa. Ukeketaji huu mara nyingi hutekelezwa bila dawa za kumaliza maumivu, na vitu vifaa vibaya kama vile glasi iliyovunjika, mkasi ama visu hutumika kwa mwanamke anayetahiriwa. Ukeketaji huu hutekelezwa mara nyingi wakati mshichana angali mchanga. <ref name="Pankhurst2">[223] ^ Pankhurst, Richard.: A Historical Examination of Traditional Ethiopian Medicine. Ethiopian Medical Journa, 3:157-172 (1965).</ref> Kufikia mwaka 1965, karibu kwa kila wanawake watano wanne walikuwa wametahiriwa. <ref name="Pankhurst2"></ref>
 
 
 
==Elimu==
{{Main|Education in Ethiopia}}
{{See also|List of universities and colleges in Ethiopia}}
Nchini Ethiopia elimu ilitawaliwa na kanisa Orthodoksi la Ethiopia kwa karne nyingi, hadi elimu isiyofungamana na imani yoyote ilipoanzishwa mapema miaka ya 1900. Wasomi, wengi wakiwa ni Wakristo na watu wa jamii ya Waamhara wapatikanao katikati mwa Ethiopia, walifaidika sana hadi mwaka 1974, wakati serikali ilipojaribu kuendeleza elimu vijijini. Mfumo wa elimu wa sasa unafuata mpango sawa wa upanuzi wa shule hadi vijijini kama ilivyokuwa mfumo wa zamazi wa miaka ya 1980, na kuufanya kuonekana kuwa wa eneo mahsusi; na elimu ya vijijini kuendeshwa kwa lugha za kwanza kuanzia chekechea baada ya sekta ya elimu kutengewa fedha nyingi. Msururu wa elimu ya Ethiopia kwa ujumla; ni miaka sita ya shule ya msingi, miaka minne shule ya upili daraja la kwanza na miaka miwili ya shule ya upili daraja la juu. <ref> # Damtew Teferra na Filipo. G. Altbach, wahariri., ''African Higher Education: An International Reference Handbook'' Indiana University Press, 2003), uk. 316-325</ref> mwaka 2004 idadi ya wanafunzi waliokuwa wamesajiliwa ilikuwa ndogo ikilinganishwa na nchi zingine barani Afrika. <ref> http://www.ibe.unesco.org/International/ICE47/English/Natreps/reports/ethiopia_scan.pdf</ref> Nusu ya Waethiopia [[hawajui]] kusoma na kuandika. <ref> http://globalis.gvu.unu.edu/indicator_detail.cfm?country=ET&amp;indicatorid=27</ref>
 
 
 
==Upishi==
[[File:Alicha 1.jpg|thumb|right|Vyakula asilia vya Ethiopia: Injera (kama mkake) na aina kadhaa ya wat (nyama iliyochemshwa).]]
{{Main|Ethiopian cuisine}}
Chakula kinachojulikana zaidi nchini [[Ethiopia]] ni [[mchanganyiko wa ]]mboga za aina mbalimbali [[au vyakula ]]vingine vya nyongeza ni kama nyama, kawaida huwa ni''[[wat]]'' , au [[nyama ya mchuzi mzito]] ambayo hutumiwa kama kitoweo cha [[Injera, mkate mwembamba uliotiwa chachu]] uliookwa kwa unga wa [[teff]]. Mtu hatumii vyombo kula badala yake hutumia mkate wa Injera kuchotea mchuzi na vyalula vingine. Tihlo, chakula ambacho hutayarishwa kwa kuchoma unga wa shayiri, ni maarufu sana miongoni mwa Waamhara, Waagame, na Waawlaelo (Tigrai). Chakula cha jadi cha Ethiopia hakijumuishi [[nyama ya nguruwe]] au [[samaki mwenye magamba]] wa aina yoyote, kwa sababu ni haramu kwa dini za imani ya [[Kiislamu, Kiyahudi,]] na [[Wakrito wa Kiorthodoksi ya Kiethiopia]]. Ni kawaida kuwaona watu wakila katika sahani moja katikati mwa meza.
 
 
 
==Muziki==
{{Main|Music of Ethiopia}}
[[File:Mahmoudahmedfeature.jpg|thumb|left|Mahmoud Ahmed, mwanamziki wa Ethiopia mzawa wa Gurage, mwaka 2005.]]
Muziki wa [[Ethiopia]] ni wa aina tofauti tofauti, huku kila moja ya jamii 80 zikihusishwa na zana za muziki za kipekee Muziki wa Ethiopia hutumia [[mfumo wa muundo tofauti kabisa]][[]] ambao una [[toni tano ]]zenye kuachana na kuwa na muda wa kupumua baina ya baadhi ya mapigo yake. Kumekuwa na taathira kutokana na muziki wa zamani wa Kikiristo na Kiislamu na muziki wa kitamaduni kutoka sehemu nyiingine za Upembe wa Afrika, hususan Sudan na Somalia. Wanamuziki wazee na wa kizazi kipya wanaojulikana ni pamoja na [[Teddy Afro]] (Tewodros Kasahune), [[Tilahun Gessesse, Aster Aweke,]] Hamelmal Abate, Tewodros Tadesse, Kemer Yusuf, Ephrem Tamiru, [[Muluken Muddyb Blast Producer,]] Bizunesh Bekele, Hirut Bekele, [[Mahmoud Ahmed, Tadesse Alemu, Alemayehu Eshete,]] Neway Debebe, [[Asnaketch Worku, Ali birra, Gigi,]] Dawit (Messay) Mellesse, [[Mulatu Astatke]] na [[Gossaye Tesfaye.]]
 
 
 
==Michezo==
{{Main|Sport in Ethiopia}}
Michezo ambayo imeendelea sana nchini Ethiopia ni soka na riadha. Wanariadha wa Ethiopia wameshinda nishani nyingi za dhahabu kwenye michezo ya Olimpiki kwenye mbio za nyika na uwanjani, hata hivyo, timu ya taifa ya kandanda haijapata mafanikio.
Baadhi ya wanariadha watajika wa Ethiopia ni [[Abebe Bikila, Mamo Wolde, Miruts Yifter, Haile Gebrselassie, Derartu Tulu, Kenenisa Bekele, Tirunesh Dibaba]] na [[Meseret Defar.]]
 
 
 
==Akiolojia==
{{Main|Archaeology in Ethiopia}}
 
 
 
==Watu na lugha==
 
===Mataifa, uraia na watu===
{{columns
|col1=
*[[Aari people|Aari]]
*[[Afar people|Afar]]
*[[Anuak]]
*[[Agaw]]–[[Awi]]
*[[Agaw]]–[[Himra]]
*[[Alaba people|Alaba]]
*[[Amhara people|Amhara]]
*[[Arbore people|Arbore]]
*[[Argobba people|Argobba]]
*[[Beta Israel]]
*[[Basketo people|Basketo]]
*[[Bench people|Bench]]
*[[Berta people|Berta]]
*[[Birale people|Birale]]
*[[Bodi people|Bodi]]
*[[Burji people|Burji]]
*[[Chara people|Chara]]
*[[Danta people|Danta]] (also called Dubamo)
*[[Dawro people|Dawro]]
*[[Daasanach]]
|col2=
*[[Dime people|Dime]]
*[[Dirashe people|Dirashe]]
*[[Dizi people|Dizi]]
*[[Dorze]]
*[[Fadashi people|Fadashi]]
*[[Gamo people|Gamo]]
*[[Gedeo people|Gedeo]]
*[[Goffa]]
*[[Gawwada people|Gawwada]]
*[[Gumuz]]
*[[Gurage]]
*[[Hadiya]]
*[[Hamer people|Hamer]]
*[[Harari]]
*[[Irob people|Irob]]
*[[Kambaata]]
*[[Kabena]]
*[[Kachama people|Kachama]]
*[[Kafficho people|Kafficho]]
|col3=
*[[Konso people|Konso]]
*[[Konta people|Konta]]
*[[Koorete people|Koorete]]
*[[Kulla people|Kulla]]
*[[Kunama]]
*[[Kwagu]]
*[[Kwama people|Kwama]]
*[[Libido people|Libido]] (also called Mareko)
*[[Majangir]]
*[[Maale]]
*[[Mao people|Mao]]
*[[Me'en people|Me'en]]
*[[Mello people|Mello]]
*[[Mocha people|Mocha]]
*[[Murle]]
*[[Mursi]]
*[[Nuer]]
*[[Nyangatom]]
*[[Oromo people|Oromo]]
|col4=
*[[Oyda people|Oyda]]
*[[Qemant]]
*[[Saho people|Saho]]
*[[Shakacho]]
*[[Sheko]]
*[[Shinasha]]
*[[Shita]]
*[[Sidama]]
*[[Silt'e people|Silt'e]]
*[[Somali people|Somali]]
*[[Surma]]
*[[Tigray-Tigrinya people|Tigrayan]]
*[[Timbaro people|Timbaro]]
*[[Tsamai people|Tsamai]]
*[[Werji people|Werji]]
*[[Weyto people|Weyto]]
*[[Wolayta]]
*[[Yem people|Yem]]
*[[Zay people|Zayse]]
*[[Zergula]]
}}
 
 
 
==Tazama pia==
{{Portal|Africa|Africa_satellite_orthographic.jpg}}
{{Main|Outline of Ethiopia|Index of Ethiopia-related articles}}
{{clear}}
 
 
 
==Marejeo==
{{reflist|2}}
 
 
 
==Bibliografia==
{{loc}}<br>
{{CIA World Factbook}}
 
*{{cite book |last=Bahru Zewde|first= |title=A History of Modern Ethiopia, 1855–1974 |authorlink= |coauthors= |year=1991 |publisher=Ohio University Press |location=Athens, OH |isbn=0852550677 }}
*{{cite book |last=Haile Selassie I. |first= |title=My Life and Ethiopia's Progress: The Autobiography of Emperor Haile Selassie I |authorlink=Haile Selassie I of Ethiopia |others=Translated by Edward Ullendorff |year=1999 |publisher=Frontline |location=Chicago |isbn=0948390409 }}
*{{cite book |last=Henze |first=Paul B. |title=Layers of Time: A History of Ethiopia |authorlink= |coauthors= |year=2004 |publisher=Shama Books |location= |isbn=1-931253-28-5 |pages= }}
*{{cite book |last=Marcus |first=Harold G. |title=The Life and Times of Menelik II: Ethiopia, 1844–1913 |authorlink= |coauthors= |year=1975 |publisher=Clarendon |location=Oxford, U.K. |isbn= }} Kilichapishwa kwa mara nyingine, Trenton, NJ: Red Sea, 1995. ISBN 1569020094.
*{{cite book |last=Marcus |first=Harold G. |title=A History of Ethiopia |edition=updated |authorlink= |coauthors= |year=2002 |publisher=University of California Press |location=Berkeley |isbn=0520224795 }}
*{{cite book |last=Mockler |first=Anthony |title=Haile Selassie's War |authorlink= |coauthors= |year=1984 |publisher=Random House |location=New York |isbn= |pages= }} Kilchapishwa mara nyingine, New York: Utanzu wa Olive, 2003. ISBN 1902669533.
* Pankhurst, Richard. {{cite web |title=History of Northern Ethiopia — and the Establishment of the Italian Colony or Eritrea |work=Civic Webs Virtual Library |url=http://www.civicwebs.com/cwvlib/africa/ethiopia/pankhurst/history_of_northern_ethiopia.htm |dateformat=dmy |accessdate=5 April 2008}}
*{{cite book|last=Rubenson|first=Sven|title=The Survival of Ethiopian Independence|edition=4th|authorlink=|coauthors=|year=2003|publisher=Tsehai|location=Hollywood, CA |isbn=0972317279}}
* Siegbert Uhlig na wengine. (wahariri.) (2003). [[Encyclopaedia Aethiopica,|''Encyclopaedia Aethiopica,'' ]] Vol. 1: AC. Wiesbaden: Harrassowitz Verlag.
* Siegbert Uhlig na wengine. (wahariri.) (2005). [[Encyclopaedia Aethiopica,|''Encyclopaedia Aethiopica,'' ]] Vol. 2: D-Ha. Wiesbaden: Harrassowitz Verlag.
* Siegbert Uhlig na wengine. (wahariri) (2007). [[Encyclopaedia Aethiopica,|''Encyclopaedia Aethiopica,'' ]] Vol. 3: Yeye-N. Wiesbaden: Harrassowitz Verlag.
 
 
 
==Viungo vya nje==
{{sisterlinks|Ethiopia}}
{{Wikinews|Category:Ethiopia}}
{{Wikisource1911Enc|Abyssinia}}
 
*[http://report.globalintegrity.org/ethiopia ]Global Integrity Report: Ethiopia inaripoti kuhusu utawala na ufisadi.
*{{CIA World Factbook link|et|Ethiopia}}
 
 
 
*{{dmoz|Regional/Africa/Ethiopia}}
*{{wikiatlas|Ethiopia}}
*[http://www.tourismethiopia.org Tume ya Utalii ya Ethiopia] Wizara ya Utalii na Utamaduni
*{{wikitravel}}
*[http://www.jimmatimes.com/Directory/ Ethio File] Kitabu kamili cha Muongozo kuhusu Ethiopia
*[http://www.ena.gov.et/ Ethiopia News Agency] shirika la habari la serikali
*[http://www.citypictures.org/k-africa-143-ethiopia-301.htm Picha za Ethiopia]
 
 
{{Template group
|list=
{{Ethiopia topics}}
}}
{{Template group
|title=Geographic locale
|list=
{{Countries of Africa}}
}}
{{Template group
|title=International membership
|list=
{{African Union (AU)}}
}}
{{Template group
|title=Languages
|list=
{{Afro-Asiatic-speaking nations}}
}}
 
 
[[Category:Ethiopia]]
[[Category:Nchi za Afrika]]
[[Category:Nchi za utawala wa majimbo]]
[[Category:Himaya za awali]]
[[Category:Upembe wa Afrika]]
[[Category:Nchi wanachama za Umoja wa Afrika]]
[[Category:Nchi zilizozungukwa na nchi kavu]]
[[Category:Nchi zilizo na maendeleo duni zaidi]]
 
 
[[ace:Ethiopia]]
Line 420 ⟶ 867:
[[als:Äthiopien]]
[[am:ኢትዮጵያ]]
[[an:Etiopia]]
[[ar:إثيوبيا]]
[[an:Etiopia]]
[[arc:ܟܘܫ]]
 
[[arz:اثيوبيا]]
[[en:Ethiopia]]
[[roa-rup:Ethiopia]]
[[frp:Ètiopie]]
[[ast:Etiopía]]
[[az:Efiopiya]]
[[bat-smg:Etiuopėjė]]
[[bcl:Etyopya]]
[[be:Эфіопія]]
[[be-x-old:Этыёпія]]
[[bg:Етиопия]]
[[bm:Etiopia]]
[[bn:ইথিওপিয়া]]
[[zh-min-nan:Ityop'iya]]
[[be:Эфіопія]]
[[be-x-old:Этыёпія]]
[[bcl:Etyopya]]
[[bo:ཨའེ་ཟི་འོ་པི་ཡ།]]
[[bpy:ইথিওপিয়া]]
[[br:Etiopia]]
[[bs:Etiopija]]
[[br:Etiopia]]
[[bg:Етиопия]]
[[ca:Etiòpia]]
[[cv:Эфиопи]]
[[ceb:Etiopia]]
[[crh:Abeşistan]]
[[cs:Etiopie]]
[[cu:Єѳїопі́ꙗ]]
[[cv:Эфиопи]]
[[cy:Ethiopia]]
[[da:Etiopien]]
[[de:Äthiopien]]
[[dv:ޙަބުޝްކަރަ]]
[[diq:Etyopya]]
[[nv:Iitáʼoobiyá]]
[[dsb:Etiopiska]]
[[et:Etioopia]]
[[dv:ޙަބުޝްކަރަ]]
[[el:Αιθιοπία]]
[[enes:EthiopiaEtiopía]]
[[eo:Etiopio]]
[[es:Etiopía]]
[[et:Etioopia]]
[[eu:Etiopia]]
[[fa:اتیوپی]]
[[fihif:EtiopiaEthiopia]]
[[fiu-vro:Etioopia]]
[[fo:Etiopia]]
[[fr:Éthiopie]]
[[frp:Ètiopie]]
[[fy:Etioopje]]
[[ga:An Aetóip]]
[[gangv:埃塞俄比亞Yn Eetoip]]
[[gd:An Aetiòp]]
[[gl:Etiopía - Ityop'iya]]
[[gvgan:Yn Eetoip埃塞俄比亞]]
[[ko:에티오피아]]
[[ha:Ethiopia]]
[[haw:‘Aikiopia]]
[[hehy:אתיופיהԵթովպիա]]
[[hifhsb:EthiopiaEtiopiska]]
[[hr:Etiopija]]
[[hsbio:EtiopiskaEtiopia]]
[[htig:EtyopiEthiopia]]
[[huilo:EtiópiaEtiopia]]
[[bpy:ইথিওপিয়া]]
[[hy:Եթովպիա]]
[[id:Ethiopia]]
[[ia:Ethiopia]]
[[id:Ethiopia]]
[[ie:Ethiopia]]
[[igos:EthiopiaЭфиопи]]
[[ilo:Etiopia]]
[[io:Etiopia]]
[[is:Eþíópía]]
[[it:Etiopia]]
[[jahe:エチオピアאתיופיה]]
[[jbo:itiopias]]
[[jv:Etiopia]]
[[kn:ಇತಿಯೋಪಿಯ]]
[[pam:Ethiopia]]
[[ka:ეთიოპია]]
[[kg:Itiopia]]
[[kk:Ефиопия]]
[[kn:ಇತಿಯೋಪಿಯ]]
[[ko:에티오피아]]
[[ku:Etiyopya]]
[[kv:Эфиопия]]
[[kw:Ethiopi]]
[[ky:Эфиопия]]
 
[[la:Aethiopia]]
[[kv:Эфиопия]]
[[kg:Itiopia]]
[[ht:Etyopi]]
[[ku:Etiyopya]]
[[lad:Etiopia]]
[[la:Aethiopia]]
[[lv:Etiopija]]
[[lb:Ethiopien]]
[[lt:Etiopija]]
[[lij:Etiòpia]]
[[li:Ethiopië]]
[[lij:Etiòpia]]
[[lmo:Etiopia]]
[[ln:Etiopi]]
[[ltjbo:Etiopijaitiopias]]
[[lvlmo:EtiopijaEtiopia]]
[[mghu:EtiopiaEtiópia]]
[[mhr:Эфиопий]]
[[mk:Етиопија]]
[[mg:Etiopia]]
[[ml:എത്യോപ്യ]]
[[mn:Этиоп]]
[[mr:इथियोपिया]]
[[msarz:Habsyahاثيوبيا]]
[[mt:Etjopja]]
[[mzn:اتیوپی]]
[[nams:EthiopiaHabsyah]]
[[mn:Этиоп]]
[[nah:Etiopia]]
[[ndsna:ÄthiopienEthiopia]]
[[nl:Ethiopië]]
[[nnja:Etiopiaエチオピア]]
[[no:Etiopia]]
[[nn:Etiopia]]
[[nov:Etiopia]]
[[nv:Iitáʼoobiyá]]
[[oc:Etiopia]]
[[mhr:Эфиопий]]
[[om:Ethiopia]]
[[osuz:ЭфиопиEfiopiya]]
[[pam:Ethiopia]]
[[pl:Etiopia]]
[[pms:Etiòpia]]
[[pnb:ایتھیوپیا]]
[[ps:اېتوپيا]]
[[pms:Etiòpia]]
[[nds:Äthiopien]]
[[pl:Etiopia]]
[[pt:Etiópia]]
[[qucrh:IthiyupyaAbeşistan]]
[[rm:Etiopia]]
[[ro:Etiopia]]
[[roa-ruprm:EthiopiaEtiopia]]
[[qu:Ithiyupya]]
[[ru:Эфиопия]]
[[sa:ईथ्योपिया]]
[[sah:Этиопия]]
[[se:Etiopia]]
[[sm:Ethiopia]]
[[sa:ईथ्योपिया]]
[[sc:Etiòpia]]
[[stq:Äthiopien]]
[[sq:Etiopia]]
[[scn:Etiopia]]
[[se:Etiopia]]
[[sh:Etiopija]]
[[simple:Ethiopia]]
[[sk:Etiópia]]
[[cu:Єѳїопі́ꙗ]]
[[sl:Etiopija]]
[[smszl:EthiopiaEtjopijo]]
[[so:Itoobiya]]
[[sq:Etiopia]]
[[sr:Етиопија]]
[[stqsh:ÄthiopienEtiopija]]
[[fi:Etiopia]]
[[sv:Etiopien]]
[[szltl:EtjopijoEtiyopiya]]
[[ta:எதியோப்பியா]]
[[tt:Хәбәшстан]]
[[te:ఇథియోపియా]]
[[tg:Этиупия]]
[[th:ประเทศเอธิโอเปีย]]
[[ti:ኢትዮጵያ]]
[[tltg:EtiyopiyaЭтиупия]]
[[tr:Etiyopya]]
[[ts:Ethiopia]]
[[tt:Хәбәшстан]]
[[ug:Éfiopiye]]
[[uk:Ефіопія]]
[[ur:ایتھوپیا]]
[[uzug:EfiopiyaÉfiopiye]]
[[vec:Etiopia]]
[[vi:Ethiopia]]
[[vo:Lätiopän]]
[[fiu-vro:Etioopia]]
[[zh-classical:衣索比亞]]
[[war:Etiyopya]]
[[wo:Ecoopi]]
[[ts:Ethiopia]]
[[yi:עטיאפיע]]
[[yo:Ethiopia]]
[[zh:埃塞俄比亚]]
[[zh-classical:衣索比亞]]
[[zh-min-nan:Ityop'iya]]
[[zh-yue:埃塞俄比亞]]
[[diq:Etyopya]]
[[bat-smg:Etiuopėjė]]
[[zh:埃塞俄比亚]]