Conakry : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: yo:Conakry |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: ro:Conakry; cosmetic changes |
||
Mstari 13:
}}
[[
'''Conakry''' (pia: Konakry) ina wakazi 2,000,000 (mwaka 2002) ni [[mji mkuu]] wa [[Guinea]]. Mji una bandari mwambaoni wa [[Ghuba ya Guinea]] ya [[Atlantiki]].
== Historia ==
Chanzo cha Conakry ni kwenye kisiwa cha Tombo kilicho karibu sana na rasi ya [[Kaloum]]. Mji ulianzishwa baada ya kisiwa kuhamishwa kutoka utawala wa Uingereza chini ya Ufaransa. Wafaransa waliunganisha mwaka 1887 vijiji vinne vya Conakry, Boulbinet, Krutown na
== Conakry leo ==
Leo kisiwa cha Tumbo kimeunganishwa na rasi ya Kaloum kwa barabara. Mji umeenea kufunika rasi yote. Kuna beledi tano mjini ambayo ni Kaloum (kitovu cha mji), Dixinn (penye chuo kikuu na balozi nyingi), Ratoma (penye vilabu na mabaa), Matam na Matoto penye uwanja wa ndege wa Gbessia.
Mahali pa kuangalia ni makumbusho ya kitaifa, masoko, jengo la Jumba la Watu, msikiti mkuu na visiwa vya Los.
[[
[[
[[
[[
[[
[[af:Conakry]]
Mstari 87:
[[pms:Conakry]]
[[pt:Conacri]]
[[ro:Conakry]]
[[roa-rup:Conakry]]
[[ru:Конакри]]
|