Windhoek : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: yo:Windhoek |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: bo:ཝིན་ཌི་ཧོཡིཀ།; cosmetic changes |
||
Mstari 13:
}}
[[
'''Windhoek''' ni [[mji mkuu]] wa [[Namibia]], na iko mahali pa [http://kvaleberg.com/extensions/mapsources/index.php?params=22_56_S_17_09_E_ 22.56 S 17.09 E]. Idadi ya wakazi wake ni takriban 230,000. Mji huo ni kituo muhimu kwa biashara ya ngozi za kondoo. Zamani ulikuwa makao makuu ya mtemi wa kabila la [[Nama]] aliyewashinda kabila la [[Waherero]] wakati wa karne ya 19. Mwaka wa 1885, nchi ilivamiwa na wakoloni kutoka [[Ujerumani]], na mji wa Windhoek ukawa makao makuu ya serikali ya ukoloni mwaka wa 1892. Wakati wa [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] nchi ilivamiwa na majeshi ya Makaburu kutoka [[Afrika ya Kusini]] ambao wametawala nchi ya Namibia hadi mwaka wa 1990. Namibia ilipopata uhuru, mji wa Windhoek ukawa mji mkuu wa Jamhuri ya Namibia.
[[
[[
[[
[[
[[af:Windhoek]]
Mstari 26:
[[ar:ويندهوك]]
[[bg:Виндхук]]
[[bo:ཝིན་ཌི་ཧོཡིཀ།]]
[[br:Windhoek]]
[[bs:Windhoek]]
|