Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 5:
 
----
{{boxboxtop}}
 
Jina langu kamili ni [[Moses]] [[Kehengu]]. Mimi ni mwanafunzi wa [[chuo kikuu cha Dar es Salaam]] ninayesomea shahada ya sayansi ya komputa. Nitamaliza elimu yangu mnamo mwezi wa tano mwaka [[2010]]. Napendelea kusoma vitabu hasa vile vinavyozungumzia mada ambazo ni nje na masomo yangu. Kwa kusoma hivyo huwa inanisaidia kujua mambo mengine zaidi.
 
Mstari 13:
 
Nimeaumua kushiriki katika shindano hili la kuandika [[makala]] za [[Kiswahili]] kwa sababu mimi mpenzi wa lugha yangu ya Kiswahili na nina mengi ya kutoa kwa jamii hasa yale ambayo naamini ni mageni ya kufurahisha. Naamini kwa kuendeleza kupitia shindano hili na baada ya shindano tutaweza kuongeza kwa kiasi kikubwa idadi ya makala za kiswahili na kuongeza watumiaji wa lugha yetu ya thamani ya kiswahili katika mtandao.
{{boxboxbottom}}
 
--'''[[Mtumiaji:Moseskehengu|Moseskehengu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Moseskehengu|majadiliano]])''' 17:27, 17 Desemba 2009 (UTC)