Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 2:
{{User sw}}
{{boxboxbottom}}
{{User udsm}}
 
Jina langu kamili ni [[Moses]] [[Kehengu]]. Mimi ni mwanafunzi wa [[chuo kikuu cha Dar es Salaam]] ninayesomea shahada ya sayansi ya komputa. Nitamaliza elimu yangu mnamo mwezi wa tano mwaka [[2010]]. Napendelea kusoma vitabu hasa vile vinavyozungumzia mada ambazo ni nje na masomo yangu. Kwa kusoma hivyo huwa inanisaidia kujua mambo mengine zaidi.
Line 14 ⟶ 13:
 
--'''[[Mtumiaji:Moseskehengu|Moseskehengu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Moseskehengu|majadiliano]])''' 17:27, 17 Desemba 2009 (UTC)
 
{{User udsm}}