Mawasiliano : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Translated from http://en.wikipedia.org/wiki/Communication (revision: 325941783) using http://translate.google.com/toolkit. |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: ckb:ڕاگەیێنی; cosmetic changes |
||
Mstari 7:
== Muhtasari ==
Mawasiliano ni mchakato ambapo habari hupakiwa na kutumwa na kupashwa na anayetuma kwa anayepokea kupitia kwa njia maalum. Kisha anayepokea hupakua ujumbe ule na kumpatia aliyetuma (ma)jibu. Aina zote za mawasiliano huhitaji anayetuma, ujumbe, na anayepokea.
Mawasiliano huhitaji kwamba wale wanaohusika katika mawasiliano wawe na jambo linalowaunganisha kimawasiliano. Kuna [[njia zinazohusisha kusikia]], kama vile unenaji, wimbo, na toni ya sauti, na kuna [[zile zisizohusisha kusikia]], kama vile [[miondoko ya mwili, lugha ishara, kugusa, kuwasiliana kwa macho,]] na [[kuandika.]]
Mstari 35:
== Aina za mawasiliano ==
Kuna sehemu tatu kuu katika mawasiliano ya binadamu ya ana kwa uso ambayo ni miondoko ya kimwili, toni ya sauti, na maneno. Kulingana na utafiti: <ref> Mehrabian na Ferris (1967). "Inference of Attitude from Nonverbal Communication in Two Channels". Katika: ''The Journal of Counselling Psychology'' Vol.31, 1967, pp.248-52.</ref>
Mstari 44:
Lugha za [[Binadamu]] zinazozungumzwa na kuandikwa zinaweza hufafanuliwa kama [[mfumo]] wa [[ishara]] (zinazojulikana wakati mwingine kama [[leksia) na sarufi
Mstari 51:
=== Mawasiliano kwa Ishara ===
[[Mawasiliano kwa ishara]] ni mchakato wa kuwasiliana kwa njia ya kutuma na kupokea [[ujumbe]] usiohusisha maneno. Ujumbe kama huo unaweza kuwasilishwa kupitia [[ishara za uso au mikono, miondoko ya kimwili]] au [[jinsi ya kukaa; ishara ya uso na]] kutazamana machoni [[, mawasiliano kwa vitu kama vile mavazi uliyovalia,, jinsi
Mstari 105:
=== Mawasiliano ya Kutazama ===
[[Mawasiliano ya kutazama]] kama jina linavyopendekeza ni mawasiliano kwa njia ya vielelezo. Ni kupitisha wa mawazo na habari katika aina ambazo zinaweza kusomwa au kutazamwa. Kimsingi yanahusishwa na vipimo vya aina [[
Mstari 113:
=== Aina nyingine ya mawasiliano ===
Aina nyingine za mawasiliano maalum ni kama vile:
Mstari 129:
== Mawasiliano ya Mdomo ==
Mstari 146:
== Maumbo ya mawasiliano ==
[[
Mawasiliano kwa kawaida hufafanuliwa kwa kuzingatia mitazami michache mikuu: Ujumbe (mambo ya aina gani yanayosemwa), chanzo / mtumaji / Msemaji / [[Mfumbaji]] (ambaye anatuma), aina (ujumbe ni wa aina gani), njia (unatumwa kupitia njia gani), unapokwenda / mpokeaji / lengo / [[mpokeaji]] (anayepokea ujumbe), na lengo au kipengele cha kipragramatiki. Kati ya vikundi, mawasiliano yanahusisha vitendo vinavyotunukia maarifa na tajriba, kupatia mawaidha na amri, na kuuliza maswali. Matendo haya yanaweza kuchukua sura nyingi, katika mojawapo ya njia mbalimbali za mawasiliano. Sura hizi hutegemea uwezo wa kikundi kinachowasiliana. Pamoja, maudhui na sura za mawasiliano kukamilisha [[ujumbe]] unaotumwa mahali. Mpokeaji anayelengwa anaweza kuwa msemaji mwenyewe, [[mtu]] mwingine au kiumbe kingine, kikundi kingine (kama vile shirika au kikundi cha viumbe).
Mstari 153:
Mawasiliano yanaweza kuonekana kama mchakato wa [[kusambaza habari]] unaoongozwa na viwango vitatu vya sheria za [[elimu ishara]]:
# [[Kiwango cha kisintaksia]] (sifa rasmi za ishara na viashiria),
# [[Kiwango cha kipragmatiki]] (kinahusika na mahusiano kati ya ishara / maneno na watumiaji wake) na
# [[Kiwango cha kisemantiki]] (utafiti wa uhusiano kati ya ishara na viashiria na yale vinayowasilisha).
Mstari 161:
Katika mfano rahisi, habari au maudhui (mfano ujumbe katika [[lugha asilia)]] hutumwa katika njia fulani (kama [[lugha ya mazungumzo)]] kutoka kwa mtumaji / msemaji / [[mfumbaji]] kwa mahali maalum / mpokeaji / [[mfumbuaji.]] Katika njia changamano zaidi, msemaji na mpokeaji huwa wameunganishwa kwa wakati mmoja. Mfano mmoja wa mawasiliano ni kama [[tendo usemi.]] Namna ya kutafsiri ujumbe ya msemaji inaweza kuwa tofauti na ya msikilizaji kulingana na desturi na tamaduni za eneo walilomo, au jinsia; mambo ambayo yanaweza kuathiri ujumbe uliokusudiwa. Uwepo wa [["kelele za mawasiliano"]] katika njia inayotumiwa (ikiwa ni hewa, katika kesi hii), mapokezi na ufumbuaji wa ujumbe unaweza kuathiriwa, hivyo basi tendo usemi linaweza kutofikia matokeo yaliyotarajiwa. Tatizo moja la mfano huu wa kupakia-kutuma-kupokea-kupakua ni kwamba mchakato wa kupakia na kupakua huashiria kwamba mtumaji na mpokeaji, kila mmoja ana kitu kinachofanya kazi kama [[kitabu cha kodi
Mstari 179:
=== Mimea na kuvu ===
Miongoni mwa mimea, mawasiliano huonekana ndani ya mmea wenyewe , yaani, ndani ya na kati ya [[seli za mimea]], kati ya mimea ya spishi moja au spishi zinazohusiana, na kati ya mimea na viumbe visivyohai, hasa katika sehemu ya mizizi. [[Mizizi ya mimea]] huwasiliana na [[bakteria za rhizobia]], na [[kuvu]] pamoja na wadudu walio kwenye [[ardhi.]] Mitagusano hii sambamba inayohusisha ishara na inayoongozwa na kanuni za kisintaksia, kipragmatiki na kisemantiki hutokea kwa sababu ya "mfumo wa neva" wa mimea uliogatuka. Maana asilia ya neno nyuro katika Kigiriki ni "nyuzinyuzi za mboga" na kama utafiti wa hivi karibuni unavyoonyesha, mengi ya mawasiliano ya ndani ya mmea hufanana na ya [[nyuro.]] <ref>{{cite book |last1=Baluska |first1=F. |last2=Marcuso |first2=Stefano |last3=Volkmann |first3=Dieter |title=Communication in plants: neuronal aspects of plant life |url=http://books.google.com/books?id=IH9N4SKWTokC&pg=PA19&dq=plant+communication+processes+are+neuronal-like#v=onepage&q=plant%20communication%20processes%20are%20neuron-like&f=false |page=19 |year=2006 |publisher=Taylor & Francis US |isbn=3540284758 |quote=...the emergence of plant neurobiology as the most recent area of plant sciences.}}</ref> Mimea pia kuwasiliana kupitia kwa [[mivuke]] katika kisa cha tabia za wakati wa mashambulizi na wanyama wala mimea, ili kuonya mimea jirani. Sambamba na hayo, mimea hiyo hutoa mivuke ya kuvivutia [[vimelea]] ambavyo huwashambulia wale wanyama. Katika [[hali ya dhiki]] mimea inaweza kubadilisha [[kodi ya kinasaba]] iliyorithi kutoka kwa wazazi wao na kurudi kwa ile ya mababu zao. <ref> Witzany, G. (2006 Plant Communication from Biosemiotic Perspective. Plant Signaling na Behavior 1 (4): 169-178.</ref>
Mstari 196:
== Marejeleo ==
{{Reflist}}
[[
[[ar:اتصال]]▼
[[an:Comunicazión]]
▲[[ar:اتصال]]
[[bat-smg:Kuomonėkacėjės]]▼
[[bg:Комуникации]]▼
[[bm:Kunafonilaseli]]
[[bs:Komunikacija]]▼
[[br:Kemennadur]]
▲[[bs:Komunikacija]]
▲[[bg:Комуникации]]
[[ca:Comunicació]]
[[ckb:ڕاگەیێنی]]
[[cs:Dorozumívání]]
[[cy:Cyfathrebu]]
[[da:Kommunikation]]
[[de:Kommunikation]]
[[en:Communication]]▼
[[et:Kommunikatsioon]]▼
[[el:Επικοινωνία]]
[[
[[eo:Komunikado]]
[[es:Comunicación]]
▲[[et:Kommunikatsioon]]
[[eu:Komunikazio]]
[[fa:ارتباطات]]
[[fi:Viestintä]]▼
[[fr:Communication]]
[[fur:Comunicazions]]
[[gl:Comunicación, función da linguaxe]]
[[gu:પ્રત્યાયન]]
[[
[[he:תקשורת]]
[[hr:Komunikacije]]
[[ht:Kominikasyon]]▼
[[hu:Kommunikáció]]▼
[[id:Komunikasi]]
[[is:Samskipti]]
[[it:Comunicazione]]
[[
[[jv:Komunikasi]]
[[ka:კომუნიკაცია]]▼
[[kaa:Kommunikatsiya]]
[[kl:Attaveqatigiinneq]]
[[ko:통신]]
▲[[ka:კომუნიკაცია]]
▲[[ht:Kominikasyon]]
[[la:Communicatio (informatica)]]
[[lb:Kommunikatioun]]
[[li:Kommunikasie]]
[[lt:Bendravimas]]
[[
▲[[hu:Kommunikáció]]
[[mk:Комуникација]]
[[ms:Komunikasi]]
[[ne:सञ्चार]]▼
[[nl:Communicatie]]
[[nn:Kommunikasjon]]▼
▲[[ne:सञ्चार]]
[[no:Kommunikasjon]]
▲[[nn:Kommunikasjon]]
[[oc:Comunicacion]]
[[pl:Komunikacja interpersonalna]]▼
[[ps:اړيكى]]
▲[[pl:Komunikacja interpersonalna]]
[[pt:Comunicação]]
[[
[[ro:Comunicaţie]]
[[ru:Общение]]
[[sah:Билсии]]
[[scn:Cumunicazzioni]]▼
[[sco:Communication]]
[[
▲[[scn:Cumunicazzioni]]
[[simple:Communication]]
[[sl:Komuniciranje]]
[[sq:Komunikimi]]
[[sr:Комуникација]]▼
[[srn:Sabi fu prati]]
▲[[sr:Комуникација]]
[[su:Komunikasi]]
▲[[fi:Viestintä]]
[[sv:Kommunikation]]
[[tl:Komunikasyon]]▼
[[ta:தொடர்பாடல்]]
[[te:సమాచార మార్పిడి]]
[[th:การสื่อสาร]]
▲[[tl:Komunikasyon]]
[[tr:İletişim]]
[[uk:Комунікація]]
Mstari 281:
[[war:Komunikasyon]]
[[yi:קאמוניקאציע]]
▲[[bat-smg:Kuomonėkacėjės]]
[[zh:通信]]
|