Joshua Nkomo : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Sahihisho dogo tu...
Mstari 1:
'''Joshua Mqubuko Nyongolo Nkomo''' (June [[19 Juni]], [[1917) ]]<ref name="bio">Jessup, John E. ''An Encyclopedic Dictionary of Conflict and Conflict Resolution, 1945-1996.'' Page 533.</ref>&ndash;July [[1 Julai]], [[1999]]) alikuwa nimwananisiasa, kiongozi na mwanzilishi wa chama cha [[Zimbabwe African People’s Union)]] na pia ni mtu wa kabila la Kalanga. .<ref name="ethnicity">Hill, Geoff. ''The Battle for Zimbabwe: The Final Countdown'', 2003. Page 52.</ref>Nchini kutoka nchini [[Zimbabwe]]. Huyu alikuwa anajulikana kama, baba wa [[Zimbabwe]] au katika Lugha ya Zimbabwe ‘’umdala Wethu, Umafukufuku au chibwechitedza’’ jiwe linaloteleza au (the slipery rork)
 
 
==Maisha ya awali==
Nkomo alizaliwa katika sehemu ya Somokwe katika ardhi ya Matebel] makamwaka 1917, katika familia ya watoto nane. Baba yake alikuwa anaitwa Thomas Nyongolo Letswansto Nkomo, aliokuwa akifanya kazi kama mchungaji na pia alikuwa ni mfanyakazi katika Chama cha KimeshenariKimishonari cha [[London]] au London Missionary Society.
Baada ya kumaliza elimu yake ya msingi katika jimbo la Rhodeshia alijifunza masomo ya ufundi useremala katika shule ya Viwanda ya Tsholotso ambapo alisoma hapo kwa muda wa mwaka mmoja na baadae akawa dereva.
Baadae alifanya kazi kama mfugaji na baadae akawa mwalimu na alikuwa mahususi katika maswala ya useremala katika shule ya Manyame katika jimbo la Kezi.
Mwaka 1942, akiwa na miaka 25, na bado akiwa na kazi yake kama mwalimu, aliamua kwenda [[Afrika ya Kusini]] kwa ajili ya kujiendeleza kimasomo na hatimaye kuwa fundi seremala mahususi.
Alijiunga na chuo cha Adams na Chuo cha Ufundi cha Jan Hofmeyer nchini Afrika ya Kusini.<ref name="bio"/> Akiwa hapo alikutana na [[Nelson Mandela]] na viongozi wengine mbalimbali waliokuwa katika chuo kukuu cha Fort Hare University of Fort Hare japokuwa hakuwa akisoma katika chuo kikuu hicho. Ni katika chuo cha ufundi cha Hofmeyr.Hofmeyr School of Social Work ambapo ndipo alipopata shahada yake ya kwanza katika maswala ya Sayansi ya Jamii mwaka1952.
 
===Ndoa===
Nkomo alimuoa Mke wala anaitwa Johanna Mafuyana tarehe 01/10/1949.
Baada ya kurudi kutoka [[Bulawayo]] mwaka 1947, alikuwa moja kati ya wapigania haki wafanyakazi wa shirika la Reli na Baadae kuwa kiongozi wa Umoja wa wafanyakazi wa Reli na baadae kuwa kiogozi wa [[African National Congress]] mwaka 1952. Mwaka 1960, alikuwa raisi wa chama cha [[National Democratic Part]] ambacho baadae kilifungiwa na serikali ya [[Rhodesia]]. Pia Nkomo amekuwa ni moja kati ya wajasiriamali matajiri zaidi katika eneo la Rhodesia.
 
 
===Mapinduzi ya Silaha===
Nkomo alitiwa Kizuizini katika kambi ya Gonakudzingwa na serikali ya Ian Smith mwaka 1964, wanamapinduzi wenzake kamam vile Ndabaningi Sithole, Edger Tekere Maurice Nyagubo na Robert Mugabe hadi mwaka 1974, lakini baadae waliachiwa baada ya shinikizo kutoka na Raisi wa Afrika ya Kusini.[[during the apartheid era|South African]] B.J.Vorster.
Line 27 ⟶ 25:
 
 
===siasaSiasa===
[[Image:Nkomo-ZAPU.jpg|thumb|200px|left|[[ZAPU]] election badge, c1980]]
Nkomo alianzisha chama cha National Democratic Part (NDP) , na mwaka ambao waziri Mkuu wa Uingereza bwana Harold Macmillan alipoongelea “upepo wa mabadiliko” unavuma katika Afrika [[Robert Mugabe]] aliungana nae. Chama cha NDP kilifungiwa na serikali ya kibabe ya Smith na baadae chama cha Zimbabwe African People Union ZAPU ambacho pia kilianzishwa na Joshua Nkomo pamoja na Robert Mugabe mwaka 1962, kilichua nafasi ya NDP. Lakini pia kilizuiwa mapema.
Chama cha ZAPU, kiligawanyika mwaka 1963, wakati wengine wahisi mgawanyiko huo ulikuwa ni kutokana na masuala ya Kikabila, lakini zaidi inaonesha kuwa mgawanyiko huo ulitokana na kushindwa kwa Sithole, Mugabe, Takawira na Malianga kuchukua madaraka ya ZAPU kutoka kwa Nkomo. ZAPU kikabaki chama chenye mjumuisho wa makabila. Mengi hadi kupatika kwa uhuru
Line 64 ⟶ 62:
 
==Marejeo==
{{Reflistreflist}}
*''Nkomo: The Story of My Life'', Joshua Nkomo, Nicholas Harman (Author); 1984; ISBN 0413545008,ISBN 978-0413545008, Autobiography
*''The Zimbabwe African People's Union 1961-1987: A Political History of Insurgency in Southern Rhodesia''.
*''Terence O. Ranger, ‘Nkomo, Joshua Mqabuko Nyongolo (1917–1999)'', Oxford Dictionary of National Biography, Oxford University Press, 2004 [http://www.oxforddnb.com/view/article/72535, accessed 18 June 2006]
 
==viunga vya ndani==
*[http://zimbabwemetro.com/2008/07/05/we-who-fought-against-these-things-now-practise-them-why-why-why/ We who fought against these things now practise them. Why? Why? A speech by Joshua Nkomo at the burial of Lookout Masuku]
*[http://home.iprimus.com.au/rob_rickards/viscounts/hunyani.htm The Hunyani Disaster (about the first Viscount shootdown)]
*[http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/382848.stm BBC Obituary]
*[http://www.bulawayo1872.com/history/nkomoj.htm Joshua M Nkomo: A Bulawayo man who became "Father Zimbabwe"]
*[http://zimbabwemetro.com/2007/11/22/joshua-nkomos-letter/ Nkomo's Letter,"Zimbabwe Metro"]
*[http://zimbabwemetro.com/2007/12/03/joshua-nkomos-letter-part-two/ Nkomo's Letters Part 2]
*[http://zimbabwemetro.com/2007/12/12/joshua-nkomos-letter-the-conclusion/ Nkomo's Letters,The Conclusion]
 
{{Zimbabwean political parties}}
 
{{DEFAULTSORT:Nkomo, Joshua}}
[[Jamii:CancerWanasiasa deaths inwa Zimbabwe]]
 
[[Jamii:PeopleWaliozaliwa from Matabeleland South1917]]
[[Jamii:ZimbabweanWaliofariki politicians1999]]
[[Jamii:Converts to Roman Catholicism]]
[[Jamii:Zimbabwean Roman Catholics]]
[[Jamii:Deaths from prostate cancer]]
[[Jamii:Rebels]]
[[Jamii:Zimbabwean revolutionaries]]
[[Jamii:ZANU-PF leaders]]
[[Jamii:Cancer deaths in Zimbabwe]]
[[Jamii:1917 births]]
[[Jamii:1999 deaths]]
 
[[ar:جوشوا نكومو]]