Hijra : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: ar:هجرة (إسلام), scn:Eggira |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Badiliko: ko:히즈라 (이슬람); cosmetic changes |
||
Mstari 4:
Maana ya kiasili ya neno lenyewe ni "kuachana" au "kutengana" , kutokana na historia ya Muhammad limechukua pia maana ya "kukimbilia" au "kuhamia".
== Historia ya Hijra ==
Muhammad alianza kuhubiri habari za [[Qurani]] na za [[Uislamu]] katika mji wa Makka alipozaliwa na kuishi. Lakini hakupata wafuasi wengi. Kinyume chake kabila lake yeye mwenyewe la [[Waquraishi]] walimchukia na kumtesa kwani viongozi waliogopa ataharibu biashara kubwa iliyoletwa na [[Kaaba]] iliyokuwa kama hekalu ya kidini mjini.
Mstari 15:
Pia hesabu ya miaka ilianzishwa wakati wa [[khalifa]] wa pili [[Umar]] ikihesabu kuanzia tarehe ile ya kuhamia kwake Muhammad Madina.
[[
[[als:Hedschra]]
Mstari 41:
[[jv:Hijroh]]
[[ka:ჰიჯრა]]
[[ko:
[[ku:Hîcret]]
[[la:Hegira]]
|