Meno : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Badiliko: en:Tooth (human)
d roboti Nyongeza: sco:Tuith; cosmetic changes
Mstari 9:
 
== Muundo wa Jino ==
[[FilePicha:Tooth-anatomy.gif |thumb|250px|right|Muundo wa jino]]
 
Meno hukaa kwa uthabiti ndani ya [[vitundu vya mataya]]. Kila jino lina sehemu mbalimbali. Sehemu ambayo huonekana kinywani ni [[kichwa cha jino]], na sehemu iliyomo ndani ya taya ni [[shina la jino]]. Karibu jino zima ni la [[pembe]]. Kichwa chake ni cha ufupa mgumu sana wenye rangi nyeupe ya kung’aa, nacho kwa [[lugha ya kitaalam]] huitwa [[enamel]]. Kazi yake ni kulinda [[pembe ya ndani]]. Pembe ya shina hulindwa na tabaka aina ya [[saruji]] ijulikanayo kwa jina la kitaalamu kama [[cementum]].
Mstari 23:
=== Kiseyeye ===
 
Zaidi ya kuoza kwa meno kuna ugonjwa wa [[mishipa inayozunguka meno]], ndiyo [[kiseyeye]] (Pyrrohoea). Katika ugonjwa huu [[ufizi]] unaweza kuvimba na kutoka damu ukiguswa kidogo tu, kama kwa mfano mtu anaposafisha meno yake kwa [[mswaki]]. Ugonjwa ukizidi ule mfupa unaozunguka jino utaharibika na jino litalegea na mwishowe hata kutoka lenyewe. Ugonjwa huu husababishwa na ukosefu wa [[vitamini C]] mwilini.
 
=== Magonjwa mengine yanayosababishwa na meno mabovu ===
Mstari 49:
* [http://users.forthnet.gr/ath/abyss/dep1151.htm Muundo wa aina za Meno]
* [http://library.thinkquest.org/22484/noframes/teeth_.html Aina za Meno]
 
 
[[Jamii:Biolojia]]
Line 117 ⟶ 116:
[[ru:Зубы человека]]
[[scn:Denti]]
[[sco:Tuith]]
[[simple:Tooth]]
[[sk:Zub]]