Paul Ereng : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 10:
Katika mwaka wa 1991, Ereng alishinda tena taji lake la mbio ya ndani ya ukumbi akiwa [[Seville]] lakini akawa # 4 katika Mbio ya Dunia ya Ubingwa mjini [[Tokyo]]. Ereng hakuwa tisho tena katika mbio za kimataifa baada ya hiyo na akashindwa katika semi fainali ya Olimpiki ya 1992.
===Masomo na
Ereng alifuzu kutoka Virginia katika mwaka wa 1993 akiwa na shahada ya digrii ya ukapera katika masomo ya kidini na shahada ndogo ya elimu ya jamii(sociolojia). Yeye anamiliki shamba la ekari 50 Kitale. Mkewe, Fatima,alikuwa mkuu wa mauzo katika Kundi la Nation Media.
|