Zilda Arns : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
dNo edit summary
dNo edit summary
Mstari 1:
[[Picha: Zilda Arns.jpeg |thumb| ''Zilda Arns'']]
'''Zilda Arns Neumann''' ([[25 Agosti ]], [[1934]] - [[12 Januari ]], [[2010]]) alikuwa daktari wa watoto na Mfanyakazi wa misaada kutoka nchi ya [[Brazil]]. Pia alikuwa mwanzilishi wa shirika la [[Pastoral da Criança]] ([[Kiswahili]]: Uangalizi wa kichungaji wa Matoto]]). Yeye alikufa baada ya tetemeko la ardhi nchini [[Haiti]].