Mita : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: hy:Մետր |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: roa-tara:Metre; cosmetic changes |
||
Mstari 3:
Kutokana na maana hiyo "mita" inataja pia mitambo ya kupima maji, umeme na kadhalika. Hapo matumizi ya Kiswahili kinafanana na Kiingereza "meter".
[[
== Mita ya asili ==
Mita imeundwa kama kipimo wakati wa [[mapinduzi ya Kifaransa]] mwaka 1793. Nia ilikuwa kumaliza vipimo vya kale kutokana na viungo vya mwili kama hatua, mkono, mguu na kadhalika. Vipimo hivi asilia vilitofautiana kila mahali; [[Ujerumani]] ilikuwa na na futi zaidi ya kumi katika mikoa na majimbo mbalimbali. "Mita" imeamuliwa ni sehemu moja kati ya sehemu milioni 40 za [[meridiani]] ya [[Paris]] (mstari kutoka [[ikweta]] hadi [[ncha ya kaskazini]] unaopita mji wa Paris).
Mita ya asili ilichongwa kama reli ya [[shaba]] baadaye ya [[platini]] ambayo ni metali ngumu sana.
Nchi zote duniani hutumia vipimo vya mita hata kama nchi mbalimbali bado hutumia vipimo vya asilia kufuatana na utamaduni wao. Kwa mfano nchi za mapokeo ya Kiingereza hupenda inchi na futi.
== Elezo ya mita leo ==
Tangu 1960 mita imepataniwa ni umbali wa njia inayotembelewa na nuru katika anga pasipo na hewa katika muda wa [[sekonde]] 1/299,792,458.
== Sehemu ndogo na wingi za mita ==
{| class="wikitable"
Mstari 114:
|}
=== Vipimo vya kawaida: ===
Kilomita
Sentimita
Millimita
▲[[Category: Vipimo vya urefu]]
▲[[Category:Vipimo sanifu vya kimataifa]]
▲[[Category: Fizikia]]
[[af:Meter]]
Line 213 ⟶ 211:
[[qu:Mitru]]
[[ro:Metru]]
[[roa-tara:Metre]]
[[ru:Метр]]
[[scn:Metru]]
|