Antibiotiki : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 1:
'''Antibaotiki''' (Kiingereza antibiotics, mara nyingine ''Kiua Vijasumu'') ni kemikali ambazo hutumika kuua au kuzuia ukuaji wa vijidudu vinavyosababisha magonjwa. Mwanzo neno ''antibaotiki'' lilitumika kuelezea kemikali zinazotengenezwa na [[bakteria]] au kalibu, ambazo ni sumu kwa viumbe wengine. Kwa sasa neno linatumika kujumuisha [[kampaundi za oganiki]] (kemikali za kaboni zinazopatikana katika viumbe hai) zinazotengenezwa na zile zinazopatikana kwa kuchanganya asilia na zile za bandia. Antibaotiki nyingi huwa ni sumu kwa [[bakteria]]; hatahivyo kwa kuwa neno limekuwa likituma pia kuelezea madawa ambayo hutumika pia kuzuia [[magonjwa]] kama [[malaria]], na yale yanayosabibishwa na [[virusi]] au [[protozoa]]. Antibaotiki zote zina tabia ya kuwa na uchaguzi inapotumika kama sumu. Zinakuwa hatari sana kwa viumbe vinavyoingia ndani ya kiumbe kingine kuliko vile zinavyokuwa ndani ya mnyama au binadamu ambaye hutumia kama tiba. [[Penicillin]] ni miongoni mwa antibaotiki zinazofahamika sana na imekuwa ikitumika kupambana na magonjwa mengi ya kuambukiza kama vile [[kaswende]], [[kisonono]] na [[pepopunda]]. Antibaotiki nyingine, ''[[streptomycin]]'' imekuwa inatumika kupambana na [[kifua kikuu]].
 
[[Picha:Picha:Penicillin.jpg|thumb|300px|right|Madawa ya antibaotiki]]
 
==Historia==