Mdumu mwitu : Tofauti kati ya masahihisho
Created page with '{{refimprove|date=June 2009}} thumb|right|300px|Picha ya Mdumu mwitu anayeitwa ''Nepenthes distillatoria'' '''Mdumu mwitu''' ni mmea unaokula...' |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 10:12, 29 Januari 2010
Makala hii, au sehemu za makala hii, inahitaji vyanzo au marejeo yoyote. Tafadhali saidia kuboresha makala hii kwa kuweka vyanzo vya kuaminika. Habari zisizowekewa vyanzo zinaweza kuwekewa alama na kuondolewa. (June 2009) |
Mdumu mwitu ni mmea unaokula nyama kwa kutumia mtego uliochimbuka wenye maji ndani. Imedhaniwa kuwa mitego hii yenye maji ndani iliibuka kutoka matawi yaliyojinkunja, huku mabadiliko ya viumbe yakipendelea matawi yenye michimbuko mikubwa zaidi katika kipindi cha miaka mingi.
Hata hivyo, baadhi ya midumu mwitu wa jenasi kama ile ya Nepenthes) wanajumuishwa katika kikundi tofauti cha mimea wenye matawi kama karatasi yenye gundi. Hili linaonyesha kuwa mtazamo kuwa wa midumu mwitu kuibuka kutoka matawi yaliyojikunja huenda hukawa si wa kweli.
Bila kujali jinsi mmea huu ulivyobadilika, wadudu wanaotambaa na wanaoruka ikiwemo nzi huvutiwa kwa mchimbuko huo ulioundwa na tawi, mara nyingi kwa rangi na maji yenye suakri. Pande za tawi huenda zikawa zinatelezwa na kuumbwa kwa njia inayowafanya wadudud washindwe kutoka pindi wanapoingia ndani.
-
Midumu mwitu wa Marekani ya kaskazini ni wa jinasi ya Sarracenia na wao huwa na matawi yanayosimama wima.
-
Mdumu mwitu wa Albany ndiye mdumu mwitu wa kipekee wa jenasi ya Australia ya Cephalotus.
Marejeo
Marejeleo zaidi
- Schnell, Donald (2003). Carnivorous Plants of the United States and Canada. Second Edition. Timber Press, Oregon, U.S.A.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |