Macbeth : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Created page with '250px|thumb|Picha ya tamthilia ya Macbeth. '''''Macbeth'' ''' ni tamthilia ya William Shakespeare inayohusu mauaji y...' |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[File:Thomas Keene in Macbeth 1884 Wikipedia crop.png|250px|right|thumb|Picha ya tamthilia ya Macbeth.]]
'''''Macbeth'' ''' ni tamthilia ya [[William Shakespeare]] inayohusu mauaji ya mfalme na athari yake. Ni [[tamthiliya fupi kabisa ya]] Shakespeare inayoaminika kuandikwa katika miaka kati ya 1603 na 1607.
Mstari 32:
==Kuhusu tamthilia hii==
[[File:Macbeth3.jpg|thumb|Macbeth pindi anapokumbana na wachawi]]
Tamthilia hii inaanza pindi wachawi watatu wanapokutana kujadiliana siku ambayo wataonana na Macbeth. Kuna radi na umeme. Baadaye, jeshi la Macbeth limeshinda vita dhidi ya jeshi la Norway. Macbeth, ambaye ni mkuu wa jeshi, anasifiwa kwa kazi yake.
Baadaye, Macbeth na Banquo wanakutana na wachawi watatu wanaomwambia Macbeth kuwa atakuwa kiongozi wa "Glamis" na wa "Cawdor" halafu baadaye atakuwa Mfalme.
Kisha, anamwandikia mkewe barua kumwelezea kuhusu taarifa ya wachawi. Lady Macbeth anatunga njama ya kumuua Mfalme Duncan ili mumewe aupate ufalme. Ingawa Macbeth anaogopa kumuua mfalme, Lady Macbeth anamhimiza kwa kuchokoza ujanadume wake. Macbeth anakubali njama hii.
Usiku wa ziara ya mfalme katika nyumba ya Macbeth, Macbeth unamuua Duncan. Kulingana na mpango wake, anawasingizia watumishi wa Duncan waliolala kwa kuwaekea visu vilivyotapakaa damu. Mapema asubuhi iliyofuata, Lennox, ambaye ni diwani, na [[Macduff,]] ambaye ni kiongozi wa [[Fife,]] wanawasili.
Lady Macbeth anababaishwa na vitendo vya kikatili yeye na mumewe walivyofanya.. Yeye anaanza kubabaika mpaka akiwa usingizini, akiongea akisema mambo aliyoyafanya ilhali akiwa amelala.
|