Otago Daily Times : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 23:
==Historia==
Gazeti la ''ODT'' lilianza kuchapishwa mnamo tarehe 15 Novemba, 1861. Hili ndilo gazeti kongwe kabisa la kuchapishwa kila siku nchini [[New Zealand]]. Gazeti jingine kongwe ni la Christchurch , ''The Press'', ambalo ni kongwe kuliko ''ODT'' kwa miezi sita , lilikuwa gazeti la kuchapishwa kila wiki katika miaka yake ya kwanza lakini likabadilika na kuwa la kila siku.(Hivyo basi ''ODT'' ndilo kongwe katika sekta ya magazeti ya kila siku.)
Gazeti la ''ODT'' lilianzishwa na W.H. Cutten na Julius Vogel (hapo baadaye
Kutoka kuanzishwa kwake, ''ODT'' lilikuwa na msimamo
Gazeti la ''ODT'' huonekana kama gazeti baba kwa magazeti mengine manne makuu ya kila siku ya New Zealand. Gazeti hili lina usambazaji wa nakala 43,000 na wasomaji takriban 110,000.
==Sera zake==
|