Dehradun : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Mji ya Uhindi using AWB
(Hakuna tofauti)

Pitio la 19:57, 29 Januari 2010


Dehradun ni jina la mji mkuu wa jimbo la Uttarakhand katika Uhindi. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2001, mji una wakazi wapatao 450,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 657 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Jiji la Dehradun
Majiranukta: 30°19′N 78°3′E / 30.317°N 78.050°E / 30.317; 78.050
Nchi Uhindi
Jimbo Uttarakhand
Wilaya Dehradun
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 447,808
Tovuti:  dehradun.nic.in

Viungo vya nje


  Makala hii kuhusu maeneo ya Uhindi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Dehradun kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.