Eneo bunge la Karachuonyo : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Created page with ''''Jimbo la Uchaguzi la Karachuonyo''' ni Moja lkati ya majimbo ya Uchaguzi nchini Kenya. JImbo hili linapatikana katika Wilaya ya Rachuonyo Mk...'
(Hakuna tofauti)

Pitio la 21:42, 29 Januari 2010

Jimbo la Uchaguzi la Karachuonyo ni Moja lkati ya majimbo ya Uchaguzi nchini Kenya. JImbo hili linapatikana katika Wilaya ya Rachuonyo Mkoani Nyanza na ni moja ya Majimbo mawili ya Uchaguzi katika Wilaya hiyo.

Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Historia

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 1963.

Wabunge

Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1963 Elijah Omolo Agar KANU
1969 David Okiki Amayo KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1974 David Okiki Amayo KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1979 Phoeba Muga Asiyo KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1983 Phoeba Muga Asiyo KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1988 David Okiki Amayo KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1992 Phoeba Muga Asiyo Ford-Kenya
1997 Peter Adhu Awiti NDP
2002 Peter Adhu Awiti NARC
[[2007 James Kwanya Rege ODM

Wodi

Wodi
Wodi Wapiga Kura Waliojiandikisha Utawala wa Mitaa
Central Karachuonyo 3,847 Rachuonyo County
Gendia / Awach 3,331 Kendu Bay (mji)
Kumba / Jieri 4,121 Kendu Bay (mji)
Kanyaluo 6,371 Rachuonyo County
Kibiri 6,205 Rachuonyo County
North West Karachuonyo 8,076 Rachuonyo County
Rambira 2,283 Kendu Bay (mji)
Simbi / Kogembo 3,282 Kendu Bay (mji)
Wang'chieng / Karabondi 7,905 Rachuonyo County
West Karachuonyo 7,053
Jumla 52,474
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia

Virejeleo

Viungo vya Nje