Eneo bunge la Aldai : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Created page with ''''Jimbo la Uchaguzi la Aldai''' ni mojawapo ya majimbo ya Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili linpatikana katika Wilaya ya Nandi miongoni mwa maj...' |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 21:43, 29 Januari 2010
Jimbo la Uchaguzi la Aldai ni mojawapo ya majimbo ya Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili linpatikana katika Wilaya ya Nandi miongoni mwa majimbo manne ya Wilaya hiyo.
Jamhuri ya Kenya |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
Nchi zingine · Atlasi |
Historia
Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 1966.
Wabunge
Uchaguzi | Mbunge [1] | Chama | Vidokezo |
---|---|---|---|
1966 | John K. Cheruiyot | KANU | |
1969 | Simeon Kiptum arap Choge | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
1974 | Simeon Kiptum arap Choge | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
1979 | Samuel Kibiebei arap Ngeny | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
1983 | Samuel Kibiebei arap Ngeny | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
1988 | John Kiplagat Cheruiyot | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
1992 | J. Paul Titi | KANU | |
1997 | Simeon Kiptum Choge | KANU | |
2002 | Jimmy Choge | KANU | |
2007 | Sally Kosgey | ODM |
Wodi
Wodi | |
Wodi | Wapiga KUra Waliojiandikisha |
---|---|
Chemase | 2,630 |
Chepkumia | 5,831 |
Kabwareng | 6,588 |
Kaptumo | 4,553 |
Kemeloi | 6,017 |
Kibwareng / Chebilat | 6,317 |
Koyo | 2,736 |
Maraba | 4,022 |
Ndurio | 3,573 |
Terik | 6,526 |
Jumla | 48,793 |
*Septemba 2005 [2].
|
Tazama Pia
Virejeleo
- ↑ Center for Multiparty Democracy: Politics and Parliamenterians in Kenya 1944-2007
- ↑ Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency