Eneo bunge la Butula : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Created page with ''''Jimbo la Uchaguzi la Butula''' ni mojawapo ya majimbo ya Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili hupatikana katika [[Wilaya ya Busia, Kenya|Wilaya ya B...' |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 21:47, 29 Januari 2010
Jimbo la Uchaguzi la Butula ni mojawapo ya majimbo ya Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili hupatikana katika Wilaya ya Busia nchini Kenya, miongoni mwa majimbo manne katika wilaya hiyo. Lina wodi nne ambazo huwachagua madiwani kwa baraza la Busia County.
Jamhuri ya Kenya |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
Nchi zingine · Atlasi |
Historia
Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi mkuu wa 1997.
Wabunge
Uchaguzi | MP [1] | Chama | Vidokezo |
---|---|---|---|
1997 | Yekoyada F. O. Masakhalia | KANU | |
2002 | Christine Abungu Mango | NARC | |
2007 | Alfred Odhiambo | ODM |
Wodi
Wodi | |
Wodi | Wapiga Kura Wliojisajili |
---|---|
Marachi Central | 9,245 |
Marachi East | 8,671 |
Marachi North | 9,762 |
Marachi West | 7,951 |
Jumla | 35,629 |
*Septemba 2005 [2].
|
Tazama Pia
Virejeleo
- ↑ Center for Multiparty Democracy: Politics and Parliamenterians in Kenya 1944-2007
- ↑ Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency